Tanzania yadhibiti mfumuko wa bei

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,984
4,083

Nchi ya Tanzania kuelekea 2025 Rais Samia Suluhu amedhibiti mfumuko wa bei|| US, UK, Uturuki, Ujerumani hali ni mbaya.​

===

Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia hii nayo ni muhanga wa hili,

Marekani inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya zaidi wa bei kuwahi kutokea katika historia ya nchi hiyo unaofikia asilimia 6.8,

Ahueni ni kwamba,Tanzania sisi tumesalia kwenye mfumuko wa bei uliyo kati ya asilimia 3 & 5.

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 40 iliyopita,

Nchi ya Marekani kwa mara ya mwisho ilishuhudia mfumuko wa bei unaokaribiana na huu mwaka 1982,

Watanzania lazima mwelewe vizuri kadhia hii ya mfumuko wa bei Si kwa Tanzania na Marekani tu,UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya kuliko Tanzania,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kote,

Watanzania lazima mwelewe,Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Covid -19 bei ya bidhaa na huduma karibu dunia nzima iko juu sana,

Ushauri wa bure kwa Watanzania wenzangu tufanye bidii kuelewa yanayoendelea huko duniani sio kulalamika na kuilalamika serikali yenu pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 ambayo ni nzuri na yaafya,

Kenya wao inflation ilifikia asilimia 6.06 huku Rwanda ikipaa na kufikia asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao hali ni mbaya zaidi kwani wanashika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986,

Kwa Upande wa Africa Zimbabwe wanashika mkia kwa asilimia 56.8 ,

Zimbabwe wanaifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji kupanda,

Hili limechangiwa zaidi na kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani pia kupanda kwa malighafi mbalimbali,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaanisha haya,

Watanzania lazima tutambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA"

Kupanda kwa bei za bidhaa si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan wala CCM, ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza au CHADEMA bali " Nijambo la dunia nzima" Tushikamane,

" Kilio cha wengi hugeuka sherehe "
photo_2022-01-06_02-16-36.jpg

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
 

US inflation rate rose to 6.8% in 2021, its highest since 1982​

For six months in a row prices increased across many sectors, including gas, food and housing
People shop on Thursday in Los Angeles, California.


The US inflation rate rose to 6.8% over the last year to its highest point since 1982, the Bureau of Labor Statistics reportedFriday morning.

The consumer price index for all urban consumers (CPI-U) rose by 0.8% in November after rising 0.9% in October.

Price increases were seen across many sectors, including gas, food and housing. This was the sixth month in a row of price increases.

Gasoline prices rose by 58.1% in November – the largest increase over 12 months since 1980.

Within the food index, grocery store prices increased across the board for a third month in a row.

Meat, poultry, fish and eggs saw a 0.9% increase in November while cereals and bakery products saw price increases of 0.8%.

The price index that does not include food and energy rose 0.5% in November after a 0.6% increase in October.

The prices of used and new cars, household furnishings, apparel and airline fares all notably rose last month.

Ahead of Friday’s data release, Joe Biden released a statement saying that the inflation rate “does not reflect today’s reality”.

“It does not reflect the expected price decreases in the weeks and months ahead, such as in the auto market,” Biden said in the statement.

As inflation has become a line of attack from the administration’s critics over the last few months, the White House has maintained that today’s inflation is “transitory”, or a temporary rise in prices, because of the pandemic.

The Federal Reserve last month took its first step to curb some of its pandemic assistance after pressure from critics around inflation.

The central bank in November ended some of its stimulus programs, in which it bought bonds to stimulate the economy.

But the Fed held off from adjusting interest rates – its main tool to control rising prices.

Rising prices tend to be a political sore spot for the party in power, though its causes are complex.

Republicans are already blaming Biden for Friday’s number, with the Senate minority leader, Mitch McConnell, criticizing Democrats on Twitter for responding to inflation “by ramming through another massive socialist spending package”, referring to the $1.75tn social and climate spending bill that is in negotiations.

While economists have been divided over the concern the federal government should have over inflation, some have pointed out that while inflation has been rising, the unemployment rate has remained low and wages have been increasing.

And while consumer confidence has dropped because of inflation, spending has been strong with retail sales rising in October.

The article was amended on 17 December 2021 to clarify in the headline and text that the annualised inflation rate rose to 6.8%,

===
SIO TANZANIA TU UINGEREZA NAKO MAMBO SIO SAWA,
photo_2022-01-07_09-22-51.jpg

UK inflation hits 10-year high ahead of key Bank of England meeting

The Consumer Price Index rose by 5.1% in the 12 months to November, up from 4.2% in October, which was itself the steepest incline for a decade and more than double the central bank's target.
The inflation data comes ahead of a key meeting of the Bank of England on Thursday.

GP: Oxford Street UK shoppers
Shoppers wearing protective face masks walk through the rain on Oxford Street in London on June 18, 2020, as some non-essential retailers reopen from their coronavirus shutdown.

===
LONDON — U.K. inflation climbed to a 10-year high in November as consumer prices continued to soar ahead of the Bank of England's crunch monetary policy meeting on Thursday.

The Consumer Price Index rose by 5.1% in the 12 months to November, up from 4.2% in October, which was itself the steepest incline for a decade and more than double the central bank's target.


Economists polled by Reuters had expected a reading of 4.7% for November, and the Bank of England had projected that inflation would hit 5% in the spring of 2022 before moderating towards its 2% target in late 2023.

On a monthly basis, U.K. inflation rose 0.7% in November from October, above a Reuters poll for a 0.4% increase.

Core CPI, which excludes volatile energy, food, alcohol and tobacco prices, rose by 4% year-on-year against a Reuters forecast of 3.7%, and 0.5% month-on-month versus a 0.3% projection.

The Bank of England's Monetary Policy Committee meets Thursday to decide whether to tighten monetary policy, with inflation surging and the labor market remaining robust, but the rapid spread of the omicron Covid-19 variant has cast fresh uncertainty over the economic recovery in the short term.

The MPC defied market expectations in November by voting 7-2 to hold interest rates at their historic low of 0.1%, but analysts are split on whether it will pull the trigger on rate hikes on Thursday in light of the emergence of omicron.

"Unfortunately for consumers, peak inflation may still be a few months off. Today's CPI data only serves to increase the pressure on the Bank of England to raise interest rates at its MPC meeting tomorrow," said Richard Carter, head of fixed interest research at Quilter Cheviot.

"However, the Bank of England may well decide that discretion is the better part of valour and instead opt to wait until next year given the current uncertainty surrounding the impact of the Omicron variant on the economy, coupled with the risk that further restrictions may need to be introduced before long."
 
photo_2022-01-06_01-18-44.jpg


African countries with the highest inflation rates in 2021

8 African countries with the highest inflation rates in 2021 (Image Source: Reuters)

8 African countries with the highest inflation rates in 2021 (Image Source: Reuters)

Many African economies are currently pressured by high inflation.

This is a major problem because inflation erodes the value of money.

Inflation is measured by the rate at which prices of goods and services increase within a given timeframe.
In this article, we compared and analysed African countries' inflation rates as of August, 2021.

Figures were obtained from very reliable sources such as Statista.
Inflation is perhaps the biggest enemy to wealth creation.

This is because of how it silently [but consistently] erodes the value of money. Across Africa, inflation is an ever present problem, although many of those it affects do not know that it's affecting them.

Just to paint a picture of the havoc inflation can cause, let's quote Nigerian financial expert, Damilola Alonge, who wrote this in 2019:


“If you had N1 million in 2008 and it wasn’t invested, and the average inflation rate was 12% over the ten year period, your N1 million has now become N321, 973.24 in value. Meaning, your N1 million is now worth about N321, 000 today.”



African countries with the highest inflation rates in 2021
===
Whereas inflation is a general problem across much of Africa, some countries have it worse.

So, for today's listicle, we shall be looking at eight countries with the highest inflation rates on the continent.

As always, this piece is intended to keep you informed, even as you make wise business and financial decisions.

Also note that the list was derived from data compiled by Statista and other reliable sources.

EIGHT COUNTRIES WITH THE HIGHEST INFLATION RATE IN AFRICA || TANZANIA IS NOT MENTIONED

===

1.Sudan: The Republic of Sudan, which is located in the Northeastern part of the continent, has the highest inflation rate on the continent. According to Reuters, the country's inflation rate stands at a staggering 387.56%

2. Zimbabwe: At 50%, Zimbabwe's inflation rate is the second highest in Africa.

3. South Sudan: This country's inflation rate stands at 40%, making it the third highest in Africa.

4. Ethiopia: This country in the Horn of Africa saw its inflation rate rise to 37.6% in August, no thanks to ongoing armed conflicts which have affected the economy.

5. Angola: Angola has the fourth highest inflation rate in Africa at 29.7%.

6. Zambia: This country has an inflation rate of 22.1%.

7. Nigeria: Africa's biggest economy has an inflation rate of 17.59%.

8. Sierra Leone: Sierra Leone's inflation rate as at August stood at 10.88%, according to information verified from the country's statistics department.
 
Hii Dunia kumbe bado inamazuzu kiwango hiki,ungekuwa hulelewi na shemeji ungejua mfumuko wa bei,

Hata hivyo shemeji yako au Dada yako akirudi nyumbani jioni Muulize,Bei ya mafuta ya kula,sukari sembe na gesi.

Jibu utakalolipata kesho lete mrejesho.
 
===
Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inashuhudia mfumuko mkubwa wa bei unaofikia 6.8%, huku Tanzania tukisalia kwenye 3-5%

Mfumuko huu wa bei haujawahi kutokea kwa miaka 40 iliyopita kwani kwa mara ya mwisho ulishuhudiwa mwaka 1982

Wakati watanzania tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kwa ujumla wake,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya 3.4% mwaka 2021 wakati Kenya ikiwa na 6.06% Rwanda 13.16% na Uganda ni 3.0% japo inflation imeendelea kupanda,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao wakishika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya 9,986% na Zimbabwe wakifikia 56.8% na kuifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia 3.5% na kuifanya SADC kuwa annual inflation ya 46.9%

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji hasa baada ya kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya 3-5% hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaana hii na lazima Watanzania watambue kuwe kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA" wala sio jambo la Mama Samia Suluhu Hassan wala CCM au CHADEMA ni jambo la dunia nzima,
Nikiwa nimekaa hapa nikiota moto, imenijia akilini kuwa maadui wetu wa maendeleo TZ ni watatu tu.

• Uchawa ProMax wa Viongozi na Vijana wa UVCCM
• Kipaumbele Ni kwenye Next Election na sio Next Generation
• Presence of many Clueless Citizens

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui wasio na kipato Cha uhakika wanaonaje maisha ila Mimi binafsi kwa kuwa nina kazi naweza kusaport Uzi wako inawezekana NI kweli maisha mazuri Zaid yanakuja siwezi kumpinga mama samia suluhu maana NI boss wangu
 
Nikiwa nimekaa hapa nikiota moto, imenijia akilini kuwa maadui wetu wa maendeleo TZ ni watatu tu.

• Uchawa ProMax wa Viongozi na Vijana wa UVCCM
• Kipaumbele Ni kwenye Next Election na sio Next Generation
• Presence of many Clueless Citizens

Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawa ndio nini mkuu, Yaani hizi fact zote na reference kibao bado unaona hii ni kujikomba?
 
Back
Top Bottom