Tanzania yadhibiti mfumuko wa bei

Tanzania yadhibiti mfumuko wa bei

US inflation rate rose to 6.8% in 2021, its highest since 1982​

For six months in a row prices increased across many sectors, including gas, food and housing
People shop on Thursday in Los Angeles, California.


The US inflation rate rose to 6.8% over the last year to its highest point since 1982, the Bureau of Labor Statistics reportedFriday morning.

The consumer price index for all urban consumers (CPI-U) rose by 0.8% in November after rising 0.9% in October.

Price increases were seen across many sectors, including gas, food and housing. This was the sixth month in a row of price increases.

Gasoline prices rose by 58.1% in November – the largest increase over 12 months since 1980.

Within the food index, grocery store prices increased across the board for a third month in a row.

Meat, poultry, fish and eggs saw a 0.9% increase in November while cereals and bakery products saw price increases of 0.8%.

The price index that does not include food and energy rose 0.5% in November after a 0.6% increase in October.

The prices of used and new cars, household furnishings, apparel and airline fares all notably rose last month.

Ahead of Friday’s data release, Joe Biden released a statement saying that the inflation rate “does not reflect today’s reality”.

“It does not reflect the expected price decreases in the weeks and months ahead, such as in the auto market,” Biden said in the statement.

As inflation has become a line of attack from the administration’s critics over the last few months, the White House has maintained that today’s inflation is “transitory”, or a temporary rise in prices, because of the pandemic.

The Federal Reserve last month took its first step to curb some of its pandemic assistance after pressure from critics around inflation.

The central bank in November ended some of its stimulus programs, in which it bought bonds to stimulate the economy.

But the Fed held off from adjusting interest rates – its main tool to control rising prices.

Rising prices tend to be a political sore spot for the party in power, though its causes are complex.

Republicans are already blaming Biden for Friday’s number, with the Senate minority leader, Mitch McConnell, criticizing Democrats on Twitter for responding to inflation “by ramming through another massive socialist spending package”, referring to the $1.75tn social and climate spending bill that is in negotiations.

While economists have been divided over the concern the federal government should have over inflation, some have pointed out that while inflation has been rising, the unemployment rate has remained low and wages have been increasing.

And while consumer confidence has dropped because of inflation, spending has been strong with retail sales rising in October.

The article was amended on 17 December 2021 to clarify in the headline and text that the annualised inflation rate rose to 6.8%,

===
SIO TANZANIA TU UINGEREZA NAKO MAMBO SIO SAWA,
View attachment 2071623
UK inflation hits 10-year high ahead of key Bank of England meeting

The Consumer Price Index rose by 5.1% in the 12 months to November, up from 4.2% in October, which was itself the steepest incline for a decade and more than double the central bank's target.
The inflation data comes ahead of a key meeting of the Bank of England on Thursday.

GP: Oxford Street UK shoppers
Shoppers wearing protective face masks walk through the rain on Oxford Street in London on June 18, 2020, as some non-essential retailers reopen from their coronavirus shutdown.

===
LONDON — U.K. inflation climbed to a 10-year high in November as consumer prices continued to soar ahead of the Bank of England's crunch monetary policy meeting on Thursday.

The Consumer Price Index rose by 5.1% in the 12 months to November, up from 4.2% in October, which was itself the steepest incline for a decade and more than double the central bank's target.


Economists polled by Reuters had expected a reading of 4.7% for November, and the Bank of England had projected that inflation would hit 5% in the spring of 2022 before moderating towards its 2% target in late 2023.

On a monthly basis, U.K. inflation rose 0.7% in November from October, above a Reuters poll for a 0.4% increase.

Core CPI, which excludes volatile energy, food, alcohol and tobacco prices, rose by 4% year-on-year against a Reuters forecast of 3.7%, and 0.5% month-on-month versus a 0.3% projection.

The Bank of England's Monetary Policy Committee meets Thursday to decide whether to tighten monetary policy, with inflation surging and the labor market remaining robust, but the rapid spread of the omicron Covid-19 variant has cast fresh uncertainty over the economic recovery in the short term.

The MPC defied market expectations in November by voting 7-2 to hold interest rates at their historic low of 0.1%, but analysts are split on whether it will pull the trigger on rate hikes on Thursday in light of the emergence of omicron.

"Unfortunately for consumers, peak inflation may still be a few months off. Today's CPI data only serves to increase the pressure on the Bank of England to raise interest rates at its MPC meeting tomorrow," said Richard Carter, head of fixed interest research at Quilter Cheviot.

"However, the Bank of England may well decide that discretion is the better part of valour and instead opt to wait until next year given the current uncertainty surrounding the impact of the Omicron variant on the economy, coupled with the risk that further restrictions may need to be introduced before long."
Kaziiendelee Tanzania
 
===
Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya wa bei kuwahi kutokea katika nchi hio unaofikia asilimia 6.8, huku Tanzania sisi tukisalia kwenye mfumuko wa asilimia kati ya 3 & 5,

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa miaka 40 iliyopita kwani kwa mara ya mwisho ulishuhudiwa mwaka 1982,Si Marekani tu UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kwa ujumla wake kwa bei ya vitu huko ni juu zaidi, Watanzania tufanye bidii kuelewa yanayoendelea duniani sio kulalamika pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 wakati Kenya ikiwa na asilimia 6.06,Rwanda asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao wakishika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986 na Zimbabwe wakifikia asilimia 56.8 na kuifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji hasa baada ya kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaana hii na lazima Watanzania watambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA" wala si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan CCM,ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza wala CHADEMA ni jambo la dunia nzima,



View attachment 2070586
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Kazi nzuri sana Rais Samia Suluhu, We Real Love you Mama,
 
Comparisons unqzoweka za mfumuko wa bei zinasaidia nini ugumu wa maisha ya Mtanzania?

Kwa hiyo unamaanisha, pamoja na shida zetu ambazo zinaweza kutatulika kupitia resources zilizopo badala yake unatubainishia kwamba mbona fulani na fulani wana shida kuliko sisi?

Unajua Marekani wana Social Security Fund inayowapa posho jobless? Kwao mfumuko wa bei unatibika.

Uache ujinga wa kutuona sisi hamnazo. Tunafanya research na tunajua kuwa hii serikali inawaminya wananchi wake bila huruma.
Pesa haipo kwenye mzunguko na inakwapua kwa nguvu bila huruma kupitia tozo zisizo halali
Mkuu Msanii wewe hustahili kuandika haya
 
<<<< Pia Soma hapa >>>>





Wholesale Inflation Rises To 14.23% In November, Highest In 16 Years - NDTV




Tunatamani tuwe na watu kama hawa JF, Mama ni kweli anaupiga mwingi sana,
 
===
Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya wa bei kuwahi kutokea katika nchi hio unaofikia asilimia 6.8, huku Tanzania sisi tukisalia kwenye mfumuko wa asilimia kati ya 3 & 5,

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa miaka 40 iliyopita kwani kwa mara ya mwisho ulishuhudiwa mwaka 1982,Si Marekani tu UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kwa ujumla wake kwa bei ya vitu huko ni juu zaidi, Watanzania tufanye bidii kuelewa yanayoendelea duniani sio kulalamika pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 wakati Kenya ikiwa na asilimia 6.06,Rwanda asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao wakishika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986 na Zimbabwe wakifikia asilimia 56.8 na kuifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji hasa baada ya kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaana hii na lazima Watanzania watambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA" wala si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan CCM,ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza wala CHADEMA ni jambo la dunia nzima,



View attachment 2070586
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Hehehehehehehhe nimefurahi. Hongera Mh Rais...
 
===
Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya wa bei kuwahi kutokea katika nchi hio unaofikia asilimia 6.8, huku Tanzania sisi tukisalia kwenye mfumuko wa asilimia kati ya 3 & 5,

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa miaka 40 iliyopita kwani kwa mara ya mwisho ulishuhudiwa mwaka 1982,Si Marekani tu UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kwa ujumla wake kwa bei ya vitu huko ni juu zaidi, Watanzania tufanye bidii kuelewa yanayoendelea duniani sio kulalamika pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 wakati Kenya ikiwa na asilimia 6.06,Rwanda asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao wakishika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986 na Zimbabwe wakifikia asilimia 56.8 na kuifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji hasa baada ya kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaana hii na lazima Watanzania watambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA" wala si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan CCM,ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza wala CHADEMA ni jambo la dunia nzima,



View attachment 2070586
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Safi Sana aise CM 1774858
 
Kaziiendelee
===
Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya wa bei kuwahi kutokea katika nchi hio unaofikia asilimia 6.8, huku Tanzania sisi tukisalia kwenye mfumuko wa asilimia kati ya 3 & 5,

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa miaka 40 iliyopita kwani kwa mara ya mwisho ulishuhudiwa mwaka 1982,Si Marekani tu UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kwa ujumla wake kwa bei ya vitu huko ni juu zaidi, Watanzania tufanye bidii kuelewa yanayoendelea duniani sio kulalamika pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 wakati Kenya ikiwa na asilimia 6.06,Rwanda asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao wakishika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986 na Zimbabwe wakifikia asilimia 56.8 na kuifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji hasa baada ya kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaana hii na lazima Watanzania watambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA" wala si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan CCM,ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza wala CHADEMA ni jambo la dunia nzima,



View attachment 2070586
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
 
===
Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya wa bei kuwahi kutokea katika nchi hio unaofikia asilimia 6.8, huku Tanzania sisi tukisalia kwenye mfumuko wa asilimia kati ya 3 & 5,

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa miaka 40 iliyopita kwani kwa mara ya mwisho ulishuhudiwa mwaka 1982,Si Marekani tu UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kwa ujumla wake kwa bei ya vitu huko ni juu zaidi, Watanzania tufanye bidii kuelewa yanayoendelea duniani sio kulalamika pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 wakati Kenya ikiwa na asilimia 6.06,Rwanda asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao wakishika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986 na Zimbabwe wakifikia asilimia 56.8 na kuifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji hasa baada ya kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaana hii na lazima Watanzania watambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA" wala si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan CCM,ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza wala CHADEMA ni jambo la dunia nzima,



View attachment 2070586
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
 
Comparisons unqzoweka za mfumuko wa bei zinasaidia nini ugumu wa maisha ya Mtanzania?

Kwa hiyo unamaanisha, pamoja na shida zetu ambazo zinaweza kutatulika kupitia resources zilizopo badala yake unatubainishia kwamba mbona fulani na fulani wana shida kuliko sisi?

Unajua Marekani wana Social Security Fund inayowapa posho jobless? Kwao mfumuko wa bei unatibika.

Uache ujinga wa kutuona sisi hamnazo. Tunafanya research na tunajua kuwa hii serikali inawaminya wananchi wake bila huruma.
Pesa haipo kwenye mzunguko na inakwapua kwa nguvu bila huruma kupitia tozo zisizo halali
aaakh
 
Back
Top Bottom