Comparisons unqzoweka za mfumuko wa bei zinasaidia nini ugumu wa maisha ya Mtanzania?
Kwa hiyo unamaanisha, pamoja na shida zetu ambazo zinaweza kutatulika kupitia resources zilizopo badala yake unatubainishia kwamba mbona fulani na fulani wana shida kuliko sisi?
Unajua Marekani wana Social Security Fund inayowapa posho jobless? Kwao mfumuko wa bei unatibika.
Uache ujinga wa kutuona sisi hamnazo. Tunafanya research na tunajua kuwa hii serikali inawaminya wananchi wake bila huruma.
Pesa haipo kwenye mzunguko na inakwapua kwa nguvu bila huruma kupitia tozo zisizo halali