Legacy yote aliyoiweka baba wa taifa hili mwal. Nyerer imepoteza na jiwe kwa kipindi cha miaka 4 tu ya UTAWALA WAKE, )maana huyu jamaa sio kiongozi).. R,I,P mwalimu Nyerer. Ila wajue tu hata ALLY Bashiri aliisumbua sana mahakama ya ICC lakini leo yuko jela ya nchi yake mwenyewe, hakuna ubaya usio lipwa kwa ubaya.
RIP Kingunge. Ulitahadharisha vema wakakuona umeanza kuzeeka vibaya na kupoteza mental acuity! Mpaka dakika ya mwisho uliamini chama chako kimefanya makosa. I wish you were alive to witness how damn right you were.