Tanzania yadaiwa kujitoa kwenye Mahakama ya Afrika. Amnesty International na UN walaani hatua hiyo. Serikali yatoa ufafanuzi

Hii mahakama makao makuu yapo Arusha pale karibu na Makao makuu ya TANAPA. Kama Tanzania imeamua hivyo na wao wahamishe makao makuu wapeleke Nairobi. Hamna maana kukaa kwenye nchi ambayo haitambui mamlaka yako
Iondoke tu mahakama zetu zinatosha
 
Nitumie CV yako kwenye private message. Kumbe ni njaa tu inakusumbua.
We huniwezi hata kidogo
Mzee usinichukulie poa
Mm nna watu zaidi ya 30 nawalisha chaka huko
Wee tegemea vipesa vyako vya gawio toka lumumba hapo, budget yangu ya pombe tu kwa mwezi Yawezekana ndy mshahara wako

Ova
 
Keshapoteza hizo busara.ili adumu kwenye cabinet, Jiwe anachohitaji ni umakini kwenye kuyatajataja majina yake na kumsifu pamoja na kumwabudu kila siku kila mahali. Ndio udikteta wa kizalendo. Au sio Mr P.
Mahiga alisifiwa sana ooh mzee yule anaonekana ana busara sana sijui nini,haya sasa kazi kazi.

Watu wa chama kile wote wanafanana wanavyofikiria,wanavyotenda etc
 
We huniwezi hata kidogo
Mzee usinichukulie poa
Mm nna watu zaidi ya 30 nawalisha chaka huko
Wee tegemea vipesa vyako vya gawio toka lumumba hapo, budget yangu ya pombe tu kwa mwezi Yawezekana ndy mshahara wako

Ova

You are not serious.
 
Kazi ya Prof. Kabudi hiyo. Anachapa kazi kweli kweli ... First Class ya Sheria ya UDSM at work ...
 
Hii combination ya Meko, Jalalani, Mahiga na Kange ni ya hatari kabisa sio kwetu tuu hata kwa jirani.
Kuwa na jirani asiyefuata sheria ni hatari kwani anaweza kuzalisha wakimbizi wakakusumbua.
 
Unafahamu kwa nini hilo deni linakua? Kwa hiyo hilo neno accumulation of wealth limekupagaza? Nani amejifungia ndani kwake? Unaongelea basic economy, nchi haitegemei basic economy kwenye shughuli zake, FYI GDP inakua (the highest in the region). Hilo hulioni umekalia porojo.

BTW tumia lugha sanifu, Kuwa na Kua ni maneno mawili tofauti.

Naomba kujua kw anini linakuwa na ikiwa tunalipa 1Tril kwa mwezi kwasasa?
Wewe ni wale wale nchi gani isio tegemea basic economy? unawezaje kukuw ana watu wako hawakuhi?
kasome tena maana ya GDP then njoo usome nilichoandika hapo juu, hakika utatambua kuwa kwasasa tunaishi kwa mikopo na madeni.

By the way unajua matumizi ya serekali ni kiasi gani kwasasa na mapato ni ngapi? na je hizo za maendeleo zinatoka wapi kama sio mikopo?
 
Kama hili lina ukweli itabidi kuuliza ni nani wanaishauri serikali yetu kwenye masuala makubwa kama haya. Je, Bunge halipaswi kushirikishwa hata kama watapitisha kwa wingi wa kura?
 
Back
Top Bottom