Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,653
- 218,142
kuna mzee alininong'oneza kwamba Kagame ndiye anaongoza Tanzania nikaleta ubishi .
Hili nalo limekua engineered na Paramaganda Jalalani?
Hakika huko mbele tutakuja kujua jinsi tulivyo bahatisha kupata waziri wa hovyo na mbaya kuliko walio pata kuwepo katika wizara alizopitia kwa karne nzima
Lakini wanaogopa nini kiasi cha kuharibu image yetu ya kimataifa
Taarifa zinaonyesha kwamba wamepanga mauaji 2020 kwa vile wamekataliwa na wananchi , sasa wanaandaa mazingiraLakini wanaogopa nini kiasi cha kuharibu image yetu ya kimataifa
Nitafia kijijini kwetu ingawa hatuna umeme ila tuna mvua.Vipi unataka kuwa muasi? Tukuwahi kabla hujaliwa na simba huko porini?
ameandika na kukariri kilichoandikwa yeye hajatoa mdomoni mwake.Acha uchochezi dada ukiitwa utaweza kutoa ushahidi wa hicho unachokiandika hapa?
Tz siku zote imekua unique katika nchi zote za Africa lakini kama tumeanza kufuata nyao za Burundi hapo tumesha ishaImage gani? Fuatilia ujue uhalisia achana na wanamtandao uchwana wakina Erythrocyte katika Afrika ni nchi 9 tu ndiyo zilikuwa zimeridhia hiyo Mahakama. Halafu hao UN Human Rights waulize kwa nini Marekani siyo mwanachama kwenye hizo mahakama?
Erythocyte, haya matamko hayasaidii kwa madikiteita. matamko hayawatishi madikiteita, kinachowatisha ni mabomu na risasi kama Idd Amin, alikaa miaka 8 madarakani kwa vile matamko yalikuwa hayamtishi. Zilipoanza kumiminika risasi na mabomu masikio yakazibuka akaaza kupiga kelele za tupatanishwe, Nyerere akakataa (kama ulikuwa na akili za utu uzima enzi hizo... mimi nilikuwa nimemaliza form six nikiwa huko huko Kagera)
Wanakimbia kesi ya Muungano kule Arusha ,
Ali Adey na wazanzibari wenzake 40,000 wameishitaki Tanganyika kwa kuikalia Zanzibar kimabavu.
Hali si nzuri upande wao.