Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Watataka kujitoa na ICC??
Nchi inapelekwa kibabe hawataki kusemeshwa wala kuulizwa??
Huo ndo utwala bora, kujitoa African Court ili waendeleze dhuluma na maonevu??
Hayo kamati kuu ya CCM inayajua, Pole Pole na Bashiru wanajua??
Kwani Watanzania ni watumwa wamenunuliwa wafanyiwe watawala watakavyo??
Ehee Mungu iokoe Tanzania!!!
Nchi inapelekwa kibabe hawataki kusemeshwa wala kuulizwa??
Huo ndo utwala bora, kujitoa African Court ili waendeleze dhuluma na maonevu??
Hayo kamati kuu ya CCM inayajua, Pole Pole na Bashiru wanajua??
Kwani Watanzania ni watumwa wamenunuliwa wafanyiwe watawala watakavyo??
Ehee Mungu iokoe Tanzania!!!