Hebu taja family moja ilikuja hadharani na kusema Baba yangu au Mama yangu alichukuliwa na hatujui yuko wapi? ondoa ujinga wako na history za magumashi hizi kuwajaza watu ujinga na kuamini tulikuwa tunateswa ila leo tuna raha.
Hivi inahitaji degree kujua ya kuwa hizi huduma unazoziona hapo zilikuwa zinawafikia wachache tu? tena ni wale wanaowanufaisha/watumikia Watawala?.
Hujaona picha nyingine Wazazi wako wamefungwa minyororo kama tumbili?. au ndio yale yale Mswahili ukishapata raha wewe wenzako wapambane na hali yao.