kwa hakika, Starz wanatakiwa kuwa makini na mashuti yanapigwa mbele: vilevile strikers inabidi waongeze juhudi na kucheza kwa kujiamini; all in all sijaona madhara makubwa kwa Starz.
Ya! Starz wametulia, lkn sina uhakika na mabeki kwani naona Kaseja yuko bize sana kuchomoa michomo inayochongwa na hawa wa-Arabu: kuna haja ya mabeki kujipanga sawasawa kuokoa baadhi ya hatari ili Kaseja asichoke sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.