Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
<br />
<br />
Hivi Moris sio mzanzibari kweli?
Soccer na SIASA viti viwili tofauti... hebu tuangalie timu yetu kwa ujumla acheni kuangalia nani mzenji nani mtanganyika
<br />
<br />
Hivi Moris sio mzanzibari kweli?
<br /><br />HongeraTaifa Stars! Tuache kulalama .. Algeria ni timu kubwa tu.. Ki mahesabu Poulsen = Capello (au tunaweza kusema Tanzania = England kimchezo); wote tumetoa draw na Algeria
Dah.......Dakika ya ngapi sasa na matokeo yakoje huko TZ??? Tujuilisheni jamani?