Huyu nuksi ukimuona katinga ujue tunapigwa zaidi ya 2....Spidi ya kwenye zoezi ni tofauti na spidi ya mechi mkuu. Punguza maneno 2subiri 2one! Hivi baba riz1 atakuwepo? Kama YES mmeumia!
offcourse ..akija huyu ujue imekula kwetu na nina uhakika hawezi kujaHuyu nuksi ukimuona katinga ujue tunapigwa zaidi ya 2....
tuko pamoja mzeya..hakuna mechi inayopigwa hapo kabla ya pambano?Masuke nikiwa ndani ya uwanja wa Taifa, timu ndo zinapasha sahivi, nitakuwa nawaletea matukio muhimu tu.
<br />tuko pamoja mzeya..hakuna mechi inayopigwa hapo kabla ya pambano?