CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,589
- 1,396
Vifurushi wakati mwingine tunatumia mabus na malori na vinafika pasi na shaka.Kiukweli hao posta wanabebwa tu na serikali ila ni kama imejifia tu.
Maana siku hizi tunatumia email na simu kuwasiliana,kutuma pesa tunatumia Mpesa.
Labda kutuma vifurushi kimataifa na bado kuna DHL ambao ndio wako smart kwa hiyo task.
Kutuma pesa kimataifa kuna Western union inafanya hiyo kazi.
Ishu za kutuma barua siku hizi ni very rare au hakuna
Yes hata mm mwenyewe nikiwa na vifurushi natumia njia za bus,nilimtumia wife simu kwa njia hii na ilifika salama baada ya siku moja tu.Vifurushi wakati mwingine tunatumia mabus na malori na vinafika pasi na shaka.
Iv redio call wanakuag na process za kuunga bundle au wao n kupiga tu na kuongea freeZilikuwepo mkuu, buzz na tritel zilikuwa 2g (ilianza 1991 hii 2g) ambayo tayari ni Digital na sauti na sms zinakuwa converted kuwa data(bits). Nyuma ya Hapo ndio walikuwa wanatumia Analog ambayo ilikuwa kama unavyoona Radio call za Police, hizi zilikuwa ndio hazijaunganishwa unapiga tu simu kwenye range ya Mnara.
Kupiga na kuongea tu, sema ruhusa za mamlaka lazima ziwepo ili frequency zisigongane.Iv redio call wanakuag na process za kuunga bundle au wao n kupiga tu na kuongea free
Hizo optical fibres mkuu sio zile fibres za copper! Hizi zinazosambaza internet duniani zimeundwa kwa technology ya maana sana, optical fibers hizi zinatumia light kutransfer data! Si unajua mwanga speed ake? Ingia Google/Hasa YouTube tafuta channel inaitwa Learn Engineering kuona venye zimetengenezwa ndo utaelewa kwanini tunatumia fibres na sio satellite, Learn Engineering wamechimbua kila kitu kuhusu hizi technologies za mawasiliano na internet!Kumbe duniani Bado sana! Bado tunatumia mi waya!
Mkuu hivi hawa Tritel washaenda wapi na walikua wanafanya aje kazi? Nakumbuka back in 2015 nilkua nasoma Udom pale nilkua natumia Vodacom kuna muda mtandao ulikua unazingua nikiwa Room sasa nikawa naona voda ikizingua automatic ina roam kwenye Tritel na mtandao unakua na nguvu balaa...Zilikuwepo mkuu, buzz na tritel zilikuwa 2g (ilianza 1991 hii 2g) ambayo tayari ni Digital na sauti na sms zinakuwa converted kuwa data(bits). Nyuma ya Hapo ndio walikuwa wanatumia Analog ambayo ilikuwa kama unavyoona Radio call za Police, hizi zilikuwa ndio hazijaunganishwa unapiga tu simu kwenye range ya Mnara.
Hii minara sijui ni ya serikali? Nafikiri hata smart walikuwa wanatumia hii minara.Mkuu hivi hawa Tritel washaenda wapi na walikua wanafanya aje kazi? Nakumbuka back in 2015 nilkua nasoma Udom pale nilkua natumia Vodacom kuna muda mtandao ulikua unazingua nikiwa Room sasa nikawa naona voda ikizingua automatic ina roam kwenye Tritel na mtandao unakua na nguvu balaa...
Duuh [emoji23] kama ulikufa basi ni siku nyingi sana, make kwa Dodoma voda ilkua inasumbua sana kule chuoni lakini iki roam kwenye Tritel nilikua napata speed nzuri sana ya 3G na mtandao ulikua unasoma Tritel.comHii minara sijui ni ya serikali? Nafikiri hata smart walikuwa wanatumia hii minara.
Tritel kama mtandao wa simu ulikufa siku nyingi.
Mhandisi Mzalendo
Hata sisi tumeutumia sana Udom, kuna kipindi meli sijui iligonga fiber internet ikawa ya tabu ulituokoa sana.Duuh [emoji23] kama ulikufa basi ni siku nyingi sana, make kwa Dodoma voda ilkua inasumbua sana kule chuoni lakini iki roam kwenye Tritel nilikua napata speed nzuri sana ya 3G
Kwahiyo baharini kuna nyaya za kwenda maeneo tofauti tofauti? Si zitakuwa nyingi sanahakuna eneo maalumu maana kazi yake ni kuzungusha tu hizo data kwenda maeneo mbalimbali, mfano
- unaangalia youtube, umesearch video ya kiba, ile request yako itapelekwa na waya hadi server za youtube marekani, kisha kule marekani itachukuliwa ile video na huo waya na kuletwa hadi Tanzania.
-unachat na rafiki yako china kwa snapchat, inamaana waya utapeleka msg yako kwenye server za snapchat marekani, kisha waya mwengine utachukua na kumpelekea msg yule rafiki yako wa china
hivyo kazi za hizo waya ni kusafirisha tu taarifa baina ya watumiaji na servers mbalimbali duniani, internet inazunguka dunia nzima hakuna aneimiliki ni kama vile barabara, Tanzania tuna miundo mbinu yetu, Kenya wana yao, Usa wana yao, China wana yao etc then kuna makampuni ya kimataifa yanaunganisha miundo mbinu ya nchi mbalimbali pamoja
Kwa wenzetu huko zipo nyingi, huku kawaida tu,Kwahiyo baharini kuna nyaya za kwenda maeneo tofauti tofauti? Si zitakuwa nyingi sana
Kwahiyo baharini kuna nyaya za kwenda maeneo tofauti tofauti? Si zitakuwa nyingi sana
Kumbe duniani Bado sana! Bado tunatumia mi waya!
Duu nimecheka balaaDuh,ubepari kitu kibaya.
Yaani mtu anaamua kuuza mb400 kwa buku hajui hata waya wa cable unaompa data una unene gani.
What produce internet!? What is internet!? Source of internet!??hakuna eneo maalumu maana kazi yake ni kuzungusha tu hizo data kwenda maeneo mbalimbali, mfano
- unaangalia youtube, umesearch video ya kiba, ile request yako itapelekwa na waya hadi server za youtube marekani, kisha kule marekani itachukuliwa ile video na huo waya na kuletwa hadi Tanzania.
-unachat na rafiki yako china kwa snapchat, inamaana waya utapeleka msg yako kwenye server za snapchat marekani, kisha waya mwengine utachukua na kumpelekea msg yule rafiki yako wa china
hivyo kazi za hizo waya ni kusafirisha tu taarifa baina ya watumiaji na servers mbalimbali duniani, internet inazunguka dunia nzima hakuna aneimiliki ni kama vile barabara, Tanzania tuna miundo mbinu yetu, Kenya wana yao, Usa wana yao, China wana yao etc then kuna makampuni ya kimataifa yanaunganisha miundo mbinu ya nchi mbalimbali pamoja