mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,387
- 1,556
Kawadanganyeni wajinga wenzako huko, Rais gani ambaye awahamashishi watu wake kuchapa kazi kwa bidii,ili waweze kuzalisha ziada,na kuwapa wakulima pembejeo na mborea wapate kuzalisha ziada,Samia baada ya kumsaidia mwananchi yeye ndio anamrundikia mizigo ya tozo kibao,vitu vimepanda mara dufu kwa kipindi cha Miezi 6 ya uongozi wake,kila siku ni kuamashisha cha ya corona utafikiri katengeneza yeye.Unataka akalime mkuu Wangu?
Urais ni taasisi chief
14|10|2021Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Mkuu Salama.Kawadanganyeni wajinga wenzako huko, Rais gani ambaye awahamashishi watu wake kuchapa kazi kwa bidii,ili waweze kuzalisha ziada,na kuwapa wakulima pembejeo na mborea wapate kuzalisha ziada,Samia baada ya kumsaidia mwananchi yeye ndio anamrundikia mizigo ya tozo kibao,vitu vimepanda mara dufu kwa kipindi cha Miezi 6 ya uongozi wake,kila siku ni kuamashisha cha ya corona utafikiri katengeneza yeye.
Mshamba sana weweKwa mtu 'kiazi' kama wewe haishangazi.
Wapi mkuu Wang?K
Kawadanganyeni wajinga wenzako huko
Haya, mimi ni mshamba.Mshamba sana wewe
14|10|2021
Kesho Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge karibu sana
Tanzania yavuka lengo la nchi za Afrika Mashariki kwa kujiwekea akiba ya fedha za kigeni
TANZANIA imeweka rekodi yake ya kuwa na akiba ya fedha za kigeni, sasa ikiwa na Dola za Marekani milioni 5,079.0, sawa na zaidi ya Sh trilioni 11, kiasi ambacho ni kikubwa zaidi tangu taifa hili lijipatie uhuru. Aidha, kwa kiwango hicho, Tanzania imevuka lengo la nchi wanachama wa Jumuiya ya...www.jamiiforums.com
14|10|2021Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Poa poa mkuuAhsante kwa taarifa...
Huyo mtu wako unayemshobokea hata akikukojolea mdomoni, utaleta habari zake hapa kutueleza tukio hilo. Watu kama nyie katika jamii ni hasara tupu!Mshamba sana wewe
14|10|2021
Kesho Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge karibu sana
Mbona huelewe mkuuHuyo mtu wako unayemshobokea hata akikukojolea mdomoni, utaleta habari zake hapa kutueleza tukio hilo. Watu kama nyie katika jamii ni hasara tupu!
maaHaya, mimi ni mshamba.
Naogopa hata kusema wewe ni kitu gani..., sijawahi kuona mtu anayejikomba zaidi yako kwa sababu tu ya ukoko sufuriani.
Unatia aibu sana na viji-mada vyako vya kipuuzi hapa.
Kwani kujaza kwako takataka unazoweka wewe hapa JF ndiyo kutafanya "asifeli"?Nikweli yakipuuzi kwako unaliyedhani Samia atafeli,
maa
Siku chadema mkisifia nachoandika naacha kuandikaKwani kujaza kwako takataka unazoweka wewe hapa JF ndiyo kutafanya "asifeli"?
Ona ulivyo mpuuzi. Una IDs ngapi hapa?Siku chadema mkisifia nachoandika naacha kuandika
Akili za kichadema hizi, Jibu hoja kama huna kaa kimya, Mimi siku nikiandika kitu na Chadema mkanisifia naacha kuandika,Ona ulivyo mpuuzi. Una IDs ngapi hapa?
Sasa umeniona mimi ni CHADEMA? Si ndio ukiazi huo ninaoukusemea hapa?
Kwa hiyo unajaza matakataka hapa ili CHADEMA wayajibu?
Unachati na mimi Mtoto wa Samia ID inakuhusu nini?Ona ulivyo mpuuzi. Una IDs ngapi hapa?
Sasa umeniona mimi ni CHADEMA? Si ndio ukiazi huo ninaoukusemea hapa?
Kwa hiyo unajaza matakataka hapa ili CHADEMA wayajibu?
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidiMbona Mama anasema hawezi kuvaa vile viatu nilijua vinampwaya kumbe vinambana,
Huyu Mama atatupeleka tulipo stahili muda mrefu sana,
Mungu amlinde kama kazi anaipiga kwelikweli atawapiku marais wote huyu
Hujui "ID inanihusu nini"?Unachati na mimi Mtoto wa Samia ID inakuhusu nini?
Wewe kama ni CCM unadharauje kazi hii inayofanywa na mwenzako?
Mkuu kwema?Hujui "ID inanihusu nini"?
Ulipokuwa unajibishana nami kama CM, halafu unageuka na kuwa "mtoto" huoni uhusiano hapo? Sikukosea tokea mwanzo nilipokuita wewe kuwa ni 'kiazi', tena kile mbatata hasa!
Unapenda sana kupachika watu vitu visivyowahusu kabisa. CCM ipi unayoifikiria kuwa naweza kuwa mwanachama wake, au hata shabiki tu? Hii iliyooza toka juu hadi chini? Hii ya vilaza kama wewe mnapotafutia shibe, halafu mnakuja hapa na majina ya ajabu ajabu, eti "mtoto wa Samina"?
Kama anaye mtoto kama wewe atakuwa anajuta sana.