Tanzania tuna akiba ya forex ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi sita au kutulisha wote kwa miezi mitatu

Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.​


"Hakuna kama Samia "​


Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.

Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,

Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,

Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,

Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,

Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,

Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Tatizo ni pesa za mikopo zote hizo alizo ongeza
 
Mwendazake alikuwa hana aibu mzee, hivi kuna aibu kubwa kama kuwazuia wabunge na wanachama wake kwenda kumuona Lissu hospitali Nairobi? Kuna aibu kubwa kama kulizuia bunge kumpa Lissu stahiki zake wakati muafaka? Mwendazake didnt give a shit about anything/anybody, ni muda tu ulikuwa bado as kesi ilianza august then tukaingia kwenye kampeni na uchaguzi, kabla hajajipanga vizuri Covid ikafanya yake!! BTW Mbowe asingerudi nchini kama Mwendazake angekuwa hai maana alishasepa zake to Dubai and Nairobi
Mwenye aibu simuoni pia maana kuendesha kesi kama ile inahitaji roho ngumu.
 
SSa

Samia hizo kazizalisha lini? wakati kila siku anashinda kwenye makongamano na walisha,na kupigia magoti wazungu ili apewe mkopo wa mashariti nafuu na IFM, baada ya kuwaza kutumia raslimali tulizopewa mwenyezi Mungu,yeye anawaza kukopa na kuomba msaada.
Unataka akalime mkuu Wangu?

Urais ni taasisi chief
 
Hii ni nusu budget ya pesa ya $5.8B ambayo spaceX kampuni ya elon musk imepanga kuitumia kuhakikisha starlink kampuni tanzu ya broband internet inayotumia satellite , zaidi ya sattelite 35,000 zatarajiwa kuwekwa baada ya kukamilika kwa ujenzi rocket za falcon heavy ambayo itatumika kuinstall sattelite katika orbit . tuendako nikuzuri kutakuwa na bando speed mbs 250
Na tutatumia satellite kupokea bando tuachane makabaji matoa huduma ya kibongo
Duuh
 
Unaomba msaada JF!!!

njooni kwa hoja ,CCM ya Sita sio mchezo,

Kila baada ya uchaguzi mmoja yanaanza maandalizi ya uchaguzi unaofuata,

So relax ndio kwanza tumeanza kazi,



#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Unajuwa kusoma lakini huna uwezo wa kuelewa ulichosoma?

Ni wapi nilipoomba msaada wa JF.

Nimewafahamisha tu kwamba wewe ni jizi unayetumia mali yao kujitangaza bila ya kutoa malipo stahiki.

Hiyo CCM unayojigamba nayo ni ipi, ya kutumia mapolisi na vyombo vingine vya dola?

Ninaposema wewe ni 'kiazi' ujuwe sikurupuki.
 

Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.​


"Hakuna kama Samia "​


Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.

Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,

Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,

Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,

Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,

Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,

Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Asante sana kwa kutuletea habari njema kama hizi.Unatufahamisha mengi,unatufanya tuzidi kumpenda Rais wetu Mpendwa,mama yetu,Samia.Sisi wananchi wa kawaida,huwa hatuzipati habari hizi,ila sasa twazipata kupitia kwako.
 
Asante sana kwa kutuletea habari njema kama hizi.Unatufahamisha mengi,unatufanya tuzidi kumpenda Rais wetu Mpendwa,mama yetu,Samia.Sisi wananchi wa kawaida,huwa hatuzipati habari hizi,ila sasa twazipata kupitia kwako.
Miezi ya mwanzo mwaka huu tuliambiwa tuna akiba ya miezi 6!Mbona hatuhoji kuambiwa akiba imeongezeka na sasa tuna akiba ya miezi 3?
Nimeuliza humu ikiwemo mleta mada lakini sijapata jibu!
 
Sio Specific kwa COVID-19 kama ugonjwa hapana,

Huu mkopo ni wakusisimua uchumi ( Economic stimulation Loan) hii ni baada ya uchumi kuvunjwa vunjwa na CORONA,


Wacha leo niwape shule kidogo Chadema naamini mtanielewa tu

#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Sisi wananchi wa kawaida,tunakuelewa vizuri.
 
Miezi ya mwanzo mwaka huu tuliambiwa tuna akiba ya miezi 6!Mbona hatuhoji kuambiwa akiba imeongezeka na sasa tuna akiba ya miezi 3?
Nimeuliza humu ikiwemo mleta mada lakini sijapata jibu!
Miezi Sita ni kuagiza nje miezi mitatu ni kula na kulala
 
Miezi Sita ni kuagiza nje miezi mitatu ni kula na kulala
 
Back
Top Bottom