mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,379
- 1,550
Kawadanganyeni wajinga wenzako huko, Rais gani ambaye awahamashishi watu wake kuchapa kazi kwa bidii,ili waweze kuzalisha ziada,na kuwapa wakulima pembejeo na mborea wapate kuzalisha ziada,Samia baada ya kumsaidia mwananchi yeye ndio anamrundikia mizigo ya tozo kibao,vitu vimepanda mara dufu kwa kipindi cha Miezi 6 ya uongozi wake,kila siku ni kuamashisha cha ya corona utafikiri katengeneza yeye.Unataka akalime mkuu Wangu?
Urais ni taasisi chief