Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Tanzania 🇹🇿 kama taifa tumekuwa tukijivunia kupanda kwa akiba yetu ya fedha za kigeni na pia tumekuwa tukijivunia kiasi kikubwa cha chakula tulicho nacho kwenye maghala ya kuhifadhi nafaka.
Sijawahi kusikia tukisifia kiasi cha akiba cha mafuta ya nishati ambacho serikali inacho. Tunajua kwamba Marekani ana akiba kubwa ya mafuta kuliko nchi yoyote.
Pia sijawahi kujua kiasi cha akiba cha madini tulichonacho benki kuu, nchi nyingine hiweka akiba ya dhahabu na almasi.
Zaidi ya hayo nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ina akiba ya vitu gani vingine?
Sijawahi kusikia tukisifia kiasi cha akiba cha mafuta ya nishati ambacho serikali inacho. Tunajua kwamba Marekani ana akiba kubwa ya mafuta kuliko nchi yoyote.
Pia sijawahi kujua kiasi cha akiba cha madini tulichonacho benki kuu, nchi nyingine hiweka akiba ya dhahabu na almasi.
Zaidi ya hayo nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ina akiba ya vitu gani vingine?