Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,320
- 94,244
Dini inamtesa snMimi mwenyewe nakushangaa mjinga kama wewe, kila mada inayoletwa JF unaitazama kiudini.
Dini inamtesa snMimi mwenyewe nakushangaa mjinga kama wewe, kila mada inayoletwa JF unaitazama kiudini.
Udini (dini) ndiyo ujinga unaongoza duniani.Udini ndio njia pekee ya kufuta ujinga. Hutolielewa hilo kwa ujinga wako.
Nikikuuliza ni nini maana ya "udini" unapata kigugumizi kama wanasheria wenu wabovu.
Maana nimeambiwa mbeya huko ni viruko pia, hakuna lolote la maana, chumba kinanuka pombe.
Watu wa namna hii wanamchango mdogo sana katika taifa.Dini inamtesa sn
Dini zenyewe siyo za kwetu ni mapokeo tu ya wakoloniWatu wa namna hii wanamchango mdogo sana katika taifa.
Ni kukosa akili tuUdini (dini) ndiyo ujinga unaongoza duniani.
Sababu ambazo zinazoweza kuleta vita dini ipo.
Unaanzaje kumuua mwenzako kisa huyo mungu ambaye haujawahi kumuona?
Mimi niondoe sio mjinga,wajinga ni madalali wanao shadadia mikataba mibovu kwa kupewa buku jero kila siku.Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.
Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kenehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa.
Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote yanayojiri sasa hivi. Tumefikikia kubishana kijinga kabisa, kuna watu wanabishana kuhusu biashara, hajawahi kyufanbya biashara toka kuzaliwa. Kuna watu wanabishana kuhusu bandari hajawahi kuiona hata bahari. Ni ujinga tu.
Kuanzia jana nimekaa natazama wanasheria weu wamakwenda baraza la usuluhushi la Kimataifa, mpaka kichefuchefu, mtu unajiuliza walienda kufanya nini kama siyo kuendelea kututia hasara?
Hivi walilazimishwa kuongea Kingereza? Si wangeomba watapta? Mpala nimeona kichefuchefu, hivi waziri aliyewapeleka hauoni huu utu mbi wanaoufanya huko? Dah! Inatisha.
Naamini kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, hatuna adui umasikini, hatuna adui maradhi. Adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Watanzania tu wajinga wa hali ya juu.
Ujinga unatufanya tuwe na maradhi, ujinga unatufanya tuwe masikini, ujinga unatufanya tuwe wezi, ujinga unatufanya tuwe na kila baya.
Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?
Nasubiri majibu ya kijinga.
Hivi mfano wangekuwa ndio wazungu wamenunua hizo bandari ungesupport kama hiviKwani miaka yoyote ipo kwa nani? Imeleta faida gani? Zaidi ya watu kuiba kiholela tu.
Sasa huo uliouandika kama si ujinga ni nini?Udini (dini) ndiyo ujinga unaongoza duniani.
Sababu ambazo zinazoweza kuleta vita dini ipo.
Unaanzaje kumuua mwenzako kisa huyo mungu ambaye haujawahi kumuona?
Sasa unatofauti gani na mimi niliyeandika "kiudini"Ujinga mpaka asubuhi, unaanza kuleta ubishi wa kijinga. Huna zaidi ya ujinga tu.
"Huuoni" maana yake, una macho lakini hayaoni. Ni ujinga tu uliokujaa.
Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?
haya tueleze kwa kutokuwa "mjinga" umeshafanya nini cha kukuondoa kwenye ujinga?Mimi niondoe sio mjinga,wajinga ni madalali wanao shadadia mikataba mibovu kwa kupewa buku jero kila siku.
Alasiri njema, Mkuu.Elimu yote uijuayo leo hii hapa kwenu ililetwa na nani? Au hujaelewa maaana ya neno "udini"?
Huo ndiyo ujinga wa hali ya juu, hata ulichokiandika hakieleweki, "sisiemu" ndiyo nini?Ujinga Unaletwa na SISIEMU ,SISIEMU mtaji wao ni WAJINGA ,SISIEMU hawataki watu waondokane na UJINGA maana watu wakielimika ngumu sana kuwatawala.
Adui wa Mtanzania ni CCMHili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.
Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kenehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa.
Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote yanayojiri sasa hivi. Tumefikikia kubishana kijinga kabisa, kuna watu wanabishana kuhusu biashara, hajawahi kyufanbya biashara toka kuzaliwa. Kuna watu wanabishana kuhusu bandari hajawahi kuiona hata bahari. Ni ujinga tu.
Kuanzia jana nimekaa natazama wanasheria weu wamakwenda baraza la usuluhushi la Kimataifa, mpaka kichefuchefu, mtu unajiuliza walienda kufanya nini kama siyo kuendelea kututia hasara?
Hivi walilazimishwa kuongea Kingereza? Si wangeomba watapta? Mpala nimeona kichefuchefu, hivi waziri aliyewapeleka hauoni huu utu mbi wanaoufanya huko? Dah! Inatisha.
Naamini kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, hatuna adui umasikini, hatuna adui maradhi. Adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Watanzania tu wajinga wa hali ya juu.
Ujinga unatufanya tuwe na maradhi, ujinga unatufanya tuwe masikini, ujinga unatufanya tuwe wezi, ujinga unatufanya tuwe na kila baya.
Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?
Nasubiri majibu ya kijinga.
Hivi nani hasa walau mmoja kwa hapa Tanzania anaweza kuwa na akili kidogo, walau kidogo ?Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.
Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kenehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa.
Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote yanayojiri sasa hivi. Tumefikikia kubishana kijinga kabisa, kuna watu wanabishana kuhusu biashara, hajawahi kyufanbya biashara toka kuzaliwa. Kuna watu wanabishana kuhusu bandari hajawahi kuiona hata bahari. Ni ujinga tu.
Kuanzia jana nimekaa natazama wanasheria weu wamakwenda baraza la usuluhushi la Kimataifa, mpaka kichefuchefu, mtu unajiuliza walienda kufanya nini kama siyo kuendelea kututia hasara?
Hivi walilazimishwa kuongea Kingereza? Si wangeomba watapta? Mpala nimeona kichefuchefu, hivi waziri aliyewapeleka hauoni huu utu mbi wanaoufanya huko? Dah! Inatisha.
Naamini kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, hatuna adui umasikini, hatuna adui maradhi. Adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Watanzania tu wajinga wa hali ya juu.
Ujinga unatufanya tuwe na maradhi, ujinga unatufanya tuwe masikini, ujinga unatufanya tuwe wezi, ujinga unatufanya tuwe na kila baya.
Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?
Nasubiri majibu ya kijinga.