Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Sababu ni simple, we dont support the the called human rights aka GAYHOOD/ LESBIANISM.
You get that fund if you constitutionally allow man to fvck man.
 
Swala ni kwamba Marekani ina haki ya kuamua nani impe msaada na nani isimpe hawezi kulazimishwa maanake pesa ni zake.

Pia Tanzania kuendelea kuwakumbatia watu kama Makonda na kutokuheshimu haki za binadamu hakuwezi kuwaacha salama au kwa kifupi wanapoteza sifa kila siku.

Tanzania is increasingly becoming a threat to the American foreign policy, very few can understand this.
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?


Shida ni hii; we are loosely roaming around -tukichapa kazi -without lock down of any sort, something shows that we are not serious for the pandemic. Unlike our neghbours who have tried to take at least some meagre initiatives to contain the pandemic.

Tusubiri Mkulu atangaze hatua zingine, labda wanaweza wakatufikiria.
 
Hivi mnamuelewa marekani kajitoa who anakuja na sanaa ingine, ila wakenya ni historia yao kuside na mabeberu

..hata sisi tumekuwa vibaraka na tuna-side na mabeberu, pamoja na wakoloni mamboleo.

..umesahau kwamba tumefungua ubalozi Israel?

..pia tumeacha kupinga Morocco kuikalia kimabavu Sahara Magharibi.

..sasa hivi serikali ya awamu ya 5 inakandamiza haki zetu humu ndani, na haitetei haki za wanaokandamizwa nje ya mipaka yetu.
 
Hii ni hatua ya kubwa la mabeberu, kuonyesha kuwa atatuadhibu kwa kutunyima vimisaada mbuzi vyake ili tumpigie magoti!.
We don't want ubeberu, uwe ni wa Americans, UK, UE or whoever with their blood stinking money!.
P
P mbona Zitto aliposhadidia zizuiwe zile za elimu hadi watu walitamani afe? Sasa hivi hizi mlizokinga mkono mkarukwa akapewa jirani zinanuka tena? Ikija round ya pili mkapewa zitakuwa na harufu mbayà tena au zitakuwa zimetakaswa na sanitizer?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni hatua ya kubwa la mabeberu, kuonyesha kuwa atatuadhibu kwa kutunyima vimisaada mbuzi vyake ili tumpigie magoti!.
We don't want ubeberu, uwe ni wa Americans, UK, UE or whoever with their blood stinking money!.
P
Unaelewa vizur kabisa unachokisema mkuu... au na wewe emotions zinakupelekesha....

Tuliza jazba mzee mwenzangu.....
Kwenye diplomacy everything is possible...
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Wewe acha upuuzi! Ni nyie na kug’ang’ania kupinga kila akifanyacho JPM mnaendesha kampeni dhidi ya Tanzania kwa
 
Mlishaitangazia dunia kua nyie ni dona kantri na mtaanza kugawa misaada ulaya na marekani kwa hiyo wanasubiri utekelezaji wa ahadi ya rais...........
Mpigeni chini kiongozi wenu alitekosa maarifa hata kwa impeachment km mnataka misaada....
 
Hii ni hatua ya kubwa la mabeberu, kuonyesha kuwa atatuadhibu kwa kutunyima vimisaada mbuzi vyake ili tumpigie magoti!.
We don't want ubeberu, uwe ni wa Americans, UK, UE or whoever with their blood stinking money!.
P
Msaada wenyewe sasa. Nchi kama Kenya ni ya kupiga magoti wapewe 1.2B kweli?
 
Viongozi wanaodhulumu haki za kuishi za watz ndiyo wamesababisha USA imetutenga.
 
Yani watu wanataka tupige magoti tupewe msaada wa masimango wa 1.2B kweli? Hatuwezi kuraise 1.2B humu ndani?
 
Ina maana wewe huoni uzembe ambao serekali inafanya dhidi ya kupambana na Corona?Wewe unaweza kutoa hela yako kwa nchi inayong'ang'ania maombi kama silaha ya kupambana na Corona huku ikiachia mikusanyiko mbalimbali isiyo na maana kama vile mikusanyiko ya ibada?
Instagram%20User_B_DCnGSAvIp.jpeg
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Source ya hii habari ni wewe?

Na majuha wenzako wengine wanashangilia!
 
Back
Top Bottom