Tanzania opposes AU intervention force in Burundi, pushes 'political solution'

Tanzania opposes AU intervention force in Burundi, pushes 'political solution'

poor minded like you, used to say the same bullshit before the Genocide took place in Rwanda... wakati bado mpo mnabwabwaja na kujipa misifa kemkem... innocent people are dying in Burundi!

Genocide ni ujinga wenu huo. Mlikuwa mnaweza kukaa chini na kuweka tofauti ukabila wenu.

Kenya walipigana kama nyie tuliwanyamazisha na sasa wapo kimya.

BTW, msitumie Genocide kupata sympathy, huo ni ujinga wenu.
 
Kwa Africa Mashariki Tanzania pekee ndo tuko smart ukilinganisha na nchi zote,Mganda atasemaa nini juu ya Burundi,mnyarwanda atasema nini juu ya burundi ,angalau Kenya kwa mbali ndo wanaweza kutoa ushauri juu ya mstakabali Wa Burundi.ila kwasasa Jukumu la Burundi wamwachie Magufuli

You are very right mkuu !
 
Wadanganye watu ambao hawajaenda shule au wageni ambao hawajui hulka za baadhi yenu za kuhuma na kupuliza. Hakuna hata siku moja umewahi kuzungumza vitu +ve kuhusu Tanzania? - hakuna!! - Jaribu kufatilia kwa karibu nyuzi zako zote, zimejaa majigambo na kejeli za kitoto!! Hakuna Project hata moja ambayo ikiazishwa Tanzania bila ya wewe kuiona ni kama white elephant - masaa yote unajifanya ni bingwa wa kuzungumzia masuala ya Tanzania na kujitia una PANADOL/ASPRO ya kutibu matatizo yetu - ulaghai mtupu, kuja kwako Tanzania briefly kuweka nguzo za mawasiliano ndio kukufanye ufikiri unalijua Taifa letu kuliko kwenu Machakosi.

Sio kwamba nakuonea wewe ni mpuuzi sana - soma para yako ya mwisho what does that tell U about your PERSONA- umejaa inbuilt complex za aina fulani ambazo siwezi kizitaja hapa, wewe una moral Authority gani ya kuwapa somo Watanzania kuhusu reli ya kisasa/standard gauge wakati Tanzania tuna reli kama hiyo tangu mwaka 1975 -Train inaweza kusafiri kwenda Zambia,Zimbabwe, Botswana mpaka South Africa bila ya kubadirisha Locomotives au mabehewa - ua wewe hilo ulijui - wala sitashangaa kama hutakuja hapa ame put your foot in your mouth kuzungumzia TAZARA - ndio ulivyo!!

You have said it all.
 
Nkurunziza kafanya nini ? Kagame amejipa ufalme Rwanda lakini mmeufyata. Museveni je ? Kwa muhima kung'ang'ania madaraka sawa ila kwa mmbantu hapana, acheni unafiki!
Kagame hajafanya bali yuko kwenye mchakato na ndio maana wenye kkuelewa matokeo ya anachokifanya wameshampa onyo, nadhani umewasikia wamarekani katika hili. M7 anatumia mbinu fulani kuendelea kutawala na msichokijua kuhusu Uganda ni kuwa M7 ana busara za wazee wa Kiafrika na ndio maana anaenda nao sawa, lakini kwa upepo wa mabadiliko duniani yeye mwenyewe yuko makini sana na siku zake zinahesabika!
 
Wadanganye watu ambao hawajaenda shule au wageni ambao hawajui hulka za baadhi yenu za kuhuma na kupuliza. Hakuna hata siku moja umewahi kuzungumza vitu +ve kuhusu Tanzania? - hakuna!! - Jaribu kufatilia kwa karibu nyuzi zako zote, zimejaa majigambo na kejeli za kitoto!! Hakuna Project hata moja ambayo ikiazishwa Tanzania bila ya wewe kuiona ni kama white elephant - masaa yote unajifanya ni bingwa wa kuzungumzia masuala ya Tanzania na kujitia una PANADOL/ASPRO ya kutibu matatizo yetu - ulaghai mtupu, kuja kwako Tanzania briefly kuweka nguzo za mawasiliano ndio kukufanye ufikiri unalijua Taifa letu kuliko kwenu Machakosi.

Sio kwamba nakuonea wewe ni mpuuzi sana - soma para yako ya mwisho what does that tell U about your PERSONA- umejaa inbuilt complex za aina fulani ambazo siwezi kizitaja hapa, wewe una moral Authority gani ya kuwapa somo Watanzania kuhusu reli ya kisasa/standard gauge wakati Tanzania tuna reli kama hiyo tangu mwaka 1975 -Train inaweza kusafiri kwenda Zambia,Zimbabwe, Botswana mpaka South Africa bila ya kubadirisha Locomotives au mabehewa - ua wewe hilo ulijui - wala sitashangaa kama hutakuja hapa ame put your foot in your mouth kuzungumzia TAZARA - ndio ulivyo!!

Waumbueni hivyohivyo maana wanatufanya hatujui mambo !
 
Genocide ni ujinga wenu huo. Mlikuwa mnaweza kukaa chini na kuweka tofauti ukabila wenu.

Kenya walipigana kama nyie tuliwanyamazisha na sasa wapo kimya.

BTW, msitumie Genocide kupata sympathy, huo ni ujinga wenu.

Ninafurahi kuona jinsi mnavyozipangua propaganda zao. Hao jamaa ni full comedians !
 
Mkuu kinacho nisikitisha zaidi unakuta watu hao ni Watanzania wenzetu, hawaoni mbali hata kidogo - masaa yote wanafikiria masuala ya UKAWA, CCM na Lowassa!! Kama sio umahili wa TISS na JWTZ madui wetu wanaweza kijipenyeza Tanzania kirahisi na kutusambaratisha sisi tukiwa kwenye malumbano yasio na tija kuhusu vyama, hii ni hatari sana.

True said, na kagame alishaanza kujongea polepole kama kama kawaida yake.
 
Kagame kajitahid tahid sana kutaka kuwaaminisha watanzania kua yeye ni mtu safi,mpenda maendeleo,mwanademokrasia na mpenda watu lakin yaliyo nyuma ya pazia ni balaa tupu. .

Binafsi hua sipend hata kumuona akiwa karibu na viongozi wa nchi yangu.Ashjkuliwe Mungu aliisoma namba october 25 na bado ataendelea kuisoma prime namba huko Burundi anakong'ang'ania

BINGWA WA KUNG'ATA NA KUPULIZA "PK"
 
Kagame kajitahid tahid sana kutaka kuwaaminisha watanzania kua yeye ni mtu safi,mpenda maendeleo,mwanademokrasia na mpenda watu lakin yaliyo nyuma ya pazia ni balaa tupu. .

Binafsi hua sipend hata kumuona akiwa karibu na viongozi wa nchi yangu.Ashjkuliwe Mungu aliisoma namba october 25 na bado ataendelea kuisoma prime namba huko Burundi anakong'ang'ania

BINGWA WA KUNG'ATA NA KUPULIZA "PK"

Mkuu ubarikiwe sana kwa kuuona ukweli.
 
Wadanganye watu ambao hawajaenda shule au wageni ambao hawajui hulka za baadhi yenu za kuhuma na kupuliza. Hakuna hata siku moja umewahi kuzungumza vitu +ve kuhusu Tanzania? - hakuna!! - Jaribu kufatilia kwa karibu nyuzi zako zote, zimejaa majigambo na kejeli za kitoto!! Hakuna Project hata moja ambayo ikiazishwa Tanzania bila ya wewe kuiona ni kama white elephant - masaa yote unajifanya ni bingwa wa kuzungumzia masuala ya Tanzania na kujitia una PANADOL/ASPRO ya kutibu matatizo yetu - ulaghai mtupu, kuja kwako Tanzania briefly kuweka nguzo za mawasiliano ndio kukufanye ufikiri unalijua Taifa letu kuliko kwenu Machakosi.

Sio kwamba nakuonea wewe ni mpuuzi sana - soma para yako ya mwisho what does that tell U about your PERSONA- umejaa inbuilt complex za aina fulani ambazo siwezi kizitaja hapa, wewe una moral Authority gani ya kuwapa somo Watanzania kuhusu reli ya kisasa/standard gauge wakati Tanzania tuna reli kama hiyo tangu mwaka 1975 -Train inaweza kusafiri kwenda Zambia,Zimbabwe, Botswana mpaka South Africa bila ya kubadirisha Locomotives au mabehewa - ua wewe hilo ulijui - wala sitashangaa kama hutakuja hapa ame put your foot in your mouth kuzungumzia TAZARA - ndio ulivyo!!

Bukyanagandi Ipo siku mtanielewa, tatizo langu ni kwamba sijui kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, huwa naiweka wazi jinsi ilivyo. Wabongo nyie shida yenu mnapenda kulalamika kwa kila kitu, kwamba mnaonewa, yaani kila kitu ni nyie mnaeonewa. Hii mada ipo kwa ajili ya Burudni, jinsi ndugu zetu kule wanaendelea kuuawa kinyama, kwamba suluhu inafaa ipatikane haraka na kusitisha maafa zaidi. Halafu ghafla nyie mumeibuka na yale malalamiko yenu ya kawaida eti vurugu zimeanzishwa Burundi kusudi ndio mzuiwe kuwafikia Wakongo kwenye matumizi ya bandari.

Mimi nimefanya kazi na Wabongo kwa muda, na kwa kweli hilo la kulalamika ovyo hamjambo. Lipo sana ndani yenu. Unakuta hata boss Mtanzania na anawalipa mshahara sawa na wengine wote, lakini wageni humo wanajituma ila Wabongo siku kutwa ni malalamiko tu jinsi wanavyoonewa. Mara hiki mara kile, na muda mwingi hawajitumi, hawaonyeshi sababu za wao kuongezwa mishahara, bora hata ulalamike ilhali unajituma, boss ataona ubora wako na afanye kitu. Lakini hapa unalalamika muda wote, ila hata muda wa kuingia kazi hauzingatii, halafu kila mara unaomba ruhusa mara msiba, mara harusi mara mgonjwa n.k.

Fuatilia hii mada hapa chini uone kuna baadhi yenu wameliona hili na wapo tayari kubadilika, ila wengine mtaishi kulaumu tu https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-cha-wasomi-wezi-na-wavivu.html#post14951457
 
Last edited by a moderator:
...The fact is, Rwanda ndio imekuwa getway yetu kwenda Eastern DRC. Naongelea Goma na Bukavu and beyond. Kama uko kwenye biashara ya usafirishaji, hili si siri. Actually, more than realiable. Unafikiri Bwana Mkubwa alipokuwa anaongelea kuimarisha reli ya kati hadi Isaka halafu baadae Rwanda alikuwa anamaanisha nini?


...Hizi ni hisia zaidi ya ukweli halisi. Hao CoW kama wanataka Eastern DRC tayari wanayo through Rwanda, Burundi haina umaana sana kwao zaidi ya politics za "huyu nae mwenzetu"!

...Kagame siku zote amekuwa akiongelea umuhimu wa bandari hii kwa Rwanda, hivi karibuni Balozi wake nchini amesisitiza hilo. Volumes za njia inayoelekea Rwanda ndio za muhimu.

...Njia nyingine to Southern DRC ni through Zambia. Naongelea Lubumbashi and beyond.



...Hakuna route hiyo. Route ni Kenya-Uganda-Rwanda-DRC.

...Hawawezi ku-monopolize, kama ujumbe wa Kagame una maana yeyote! Ukweli ni kuwa sisi tunalazia damu hii route muda sasa. I hope tutaifanyia kazi faster.

Kaka hujanielewa na hautakaa unielewe na pia sidhani kama unajua ni nini kinachoendelea Burundi kwa sasa, Kaka CoW ipo na ina mipango mingi mno, ikiwemo ya kuiphase out Dar port once wakimanage kuichukua Burundi, hata kama wakiiingiza (Burundi) kwenye uwigo wao wa Biashara basi TZ itafanya biashara ya kinyonge mno kwa masharti na Kodi zisizotekelezeka

kwa taarifa yako tu Rwanda wako too fragile na unpredictable, anytime wanaweza kuchange na hawana cha kupoteza na walishawahi kuwadindishia Wabongo na truck zililala more than two weeks pale Border Rusumo, mpaka Tanzania ilipojishusha ndio njia ikawa wazi

usiwe mtu wa Kukariri tu kuwa hiyo route hakuna,
kwa Taarifa yako kuna Biashara kubwa sana ya Cargo kwenda Manyema province kupitia Kamvivira-Uvira-Baraka-Fizi-Maniema, fatilia utaona kaka kuna truck zaidi ya mia za Mafuta kwa week zinaenda huko, acha Cement na consumable zingine na hapo kuna mizigo mingi tu inatokea Mombasa

pia kuna posibility ya kufika Bukavu kupitia Burundi/Gatumba-Kamvivira-Kamanyola-Bukavu kisha Goma

Rwanda chini ya Kagame hawajawai kuikubali siasa ya Tanzania hasa kwenye hii East Afrika, hasa kwenye nyanja ya jinsi ya kuendesha uchumi na jinsi Tanzania anavyoitawala East Africa Kijeshi na pia issue ya SADC haijakubalika ndani ya EA
 
Tunachokifanya Tanzania nchini Burundo ni kama afanyacho Russia huko Syria
 
Wakati mpo busy kujisifu humu kwamba nyie ndio smart commandos wa mzozo wa Burundi, wenzetu kule wanaendelea kuuawa. Hivyo jameni tunaomba mharakishe huo usmart wenu ili hali itulie.
Mie nadhani washauri CoW waache kusupport vikundi vinavyoleta vurugu Burundi maana issue ya term limits ilishavunjwa hata na Museven na kagame. Kazi yetu watz ni kuhakikisha tu kuwa nkurunziza anamaliza miaka mingine mitano bila kuondolewa na CoW.
 
Kaka kama Mtanzania lazima ujue Geopolitics za East africa, Burundi ndio getway yetu reliable iliyobaki kuingia EAST DRC, watu wa COW wanalazimisha Burundi iwe chini ya raisi mwingine ambaye wanaweza kubully na kuiingiza Burundi ndani ya COW, kama Mtanzania lazimaufatilie kwa makini sana hapa tunazungumzia Bandari yetunya Dar na mustakabarimwa Taifa letu kwa ujumla wake

mgogoro wa Burundi una support kutoka Kenya, Rwanda, Uganda na DRC kwa mbali, Kenya/Mombasa wanapigania sana kuimonopoly biashara ya Mizigo kupitia route ya Mombasa-Uganda-Rwanda-Burundi-DRC

Soma na fatilia kaka usiwe mtu wa kukubali eti kwa sababu mzungu kasema

Thanks KITUKO. Unajua wapo Watanzania wegi wasofaihamu suala la GEOPOLITICS.
 
Unamaanisha Kuruzinza kubaka democrasia na kusababisha wakimbizi na mauaji ni sahihi? Kuruzinza anatakiwa atoke aidha kwa nguvu ama vyovyote vile nashukuru tu Wazanzibar wameamua kutumia hekima kwa kuwa na subira tofauti na hivyo hata Maalim Seifu nae mngesema anatumiwa na Kenya, Uganda na Rwanda kwa namna mlivyoashibishwa propaganda ambazo hata mtoto wa nursery anaweza kuziona mapema tu. Juzi tu kabla ya uchaguzi hata Lowassa alikuwa anatuhumiwa kuwa ni pandikizi mkiongozwa na marehemu Mtikila sasa kaamua kulinda amani kwa kuwajenga kisaikolojia mashabiki wake wakubaliane na matokeo na kuepusha umwagaji damu.
Lowasa hajakubali matokeo atawezaje kuwanenga wafuasi wake kisaikolojia wakubali matokeo?
Lowassa kukaa kimya sio kwamba ni mtu wa amani la hasha,umaarufu wake umeporomoka sana.
 
Bukyanagandi Ipo siku mtanielewa, tatizo langu ni kwamba sijui kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, huwa naiweka wazi jinsi ilivyo. Wabongo nyie shida yenu mnapenda kulalamika kwa kila kitu, kwamba mnaonewa, yaani kila kitu ni nyie mnaeonewa. Hii mada ipo kwa ajili ya Burudni, jinsi ndugu zetu kule wanaendelea kuuawa kinyama, kwamba suluhu inafaa ipatikane haraka na kusitisha maafa zaidi. Halafu ghafla nyie mumeibuka na yale malalamiko yenu ya kawaida eti vurugu zimeanzishwa Burundi kusudi ndio mzuiwe kuwafikia Wakongo kwenye matumizi ya bandari.

Mimi nimefanya kazi na Wabongo kwa muda, na kwa kweli hilo la kulalamika ovyo hamjambo. Lipo sana ndani yenu. Unakuta hata boss Mtanzania na anawalipa mshahara sawa na wengine wote, lakini wageni humo wanajituma ila Wabongo siku kutwa ni malalamiko tu jinsi wanavyoonewa. Mara hiki mara kile, na muda mwingi hawajitumi, hawaonyeshi sababu za wao kuongezwa mishahara, bora hata ulalamike ilhali unajituma, boss ataona ubora wako na afanye kitu. Lakini hapa unalalamika muda wote, ila hata muda wa kuingia kazi hauzingatii, halafu kila mara unaomba ruhusa mara msiba, mara harusi mara mgonjwa n.k.

Fuatilia hii mada hapa chini uone kuna baadhi yenu wameliona hili na wapo tayari kubadilika, ila wengine mtaishi kulaumu tu https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-cha-wasomi-wezi-na-wavivu.html#post14951457


makalio ya bata wewe
 
Last edited by a moderator:
Lowasa hajakubali matokeo atawezaje kuwanenga wafuasi wake kisaikolojia wakubali matokeo?
Lowassa kukaa kimya sio kwamba ni mtu wa amani la hasha,umaarufu wake umeporomoka sana.

Wakuu Mambo ya Lowassa yametokeo wapi
Acheni tofauti zenu za kisiasa,Uchaguzi umeisha sasa.

Huu ni Mda wa kuidhiirishia Dunia kuwa sisi Ndiyo Superpower wa EAC.
 
labda kwanza ungeanza kwa kutuambia mnacho kifanya huko Burundi kabla ya kuconclude na kujilinganisha na Russia huko Syria... au vipi? cc: vyuma

Hilo swali la msingi ambalo hawatakujibu. Sasa hivi wameitelekeza Burundi wakati huku wakijiita super power wa EAC. Burundi imekua ikiwang'eng'ania Tanzania, ikagoma kujiunga na miradi ya CoW, sasa wapo kwenye matatizo, wananchi wake wanauawa kiholela. Umoja wa bara Uropa EU, Umoja wa Afrika AU na dunia yote wameona busara jeshi litumwe huko kuzuia maafa zaidi, halafu ghafla Tanzania ambao ndio ndugu zao wa karibu wameibuka na kupinga hilo wazo, huku hawaonekani kufanya lolote la msingi kuzuia hayo maafa.
 
Back
Top Bottom