Tanzania opposes AU intervention force in Burundi, pushes 'political solution'

Tanzania opposes AU intervention force in Burundi, pushes 'political solution'

Hilo swali la msingi ambalo hawatakujibu. Sasa hivi wameitelekeza Burundi wakati huku wakijiita super power wa EAC. Burundi imekua ikiwang'eng'ania Tanzania, ikagoma kujiunga na miradi ya CoW, sasa wapo kwenye matatizo, wananchi wake wanauawa kiholela. Umoja wa bara Uropa EU, Umoja wa Afrika AU na dunia yote wameona busara jeshi litumwe huko kuzuia maafa zaidi, halafu ghafla Tanzania ambao ndio ndugu zao wa karibu wameibuka na kupinga hilo wazo, huku hawaonekani kufanya lolote la msingi kuzuia hayo maafa.
najuwa hawawezi kulijibu! ila cha muhimu unachotakiwa kujuwa haya nimatokeo ya misheni za Kikwete na mpambe wake Membe... inanikumbusha mapadri wa kihuni wanaosema fanyeni nnayowaambia na sio nnayoyatenda... jamaa alienda Burundi akamshauri Nkurumbi kinafiki(kuzuga) eti akigombea tena vitaleta machafuko Burundi lakini kilivyo nuka tu huyo huyo ndiye aliyempa helicopter na kumrudisha Burundi akaendeleze mauwaji... ushauri wangu ni kwamba Magufuli asichukue ushauri wowote kutoka kwa wacheza madili kama vile Kikwete au Membe! ni chini ya utawala wao ndio tulianza kusikia Hima Empire hapa JF zikiambatana na safari zisizo isha za Membe kwenda Paris(ufaransa) wenye akili timamu tulikuwa tushajuwa kitakacho fuata, haikuchukuwa mda FDLR ikapewa dili la kwenda kufundisha Imbonerakure kufanya kazi(gukora) na baada ya hapo waje kusaidizana ku destabilize Rwanda kwa kupitia Burundi... but that won't happen even French guys know that... walijaribu kwa upande DRC tukawashikisha adabu, wakaona haitoshi wacha wajaribu kwa Nkurunziza kumbe ndio kwanza wanamtia kimavi! jMali, vyuma, Bukyanagandi
 
Last edited by a moderator:
Haiwezekani kibiashara mzigo unaokwenda Burundi eti uwe na option ya kupitia Mombasa unless kuna matatizo makubwa hapa Dar
Umbali kutoka Mombasa hadi Bujumbura ni karibu kilomita 2,000 wakati Dar -Bunjumbura ni kilomita 1,163


Hawa wakenya misifa achaneni nao
 
Haiwezekani kibiashara mzigo unaokwenda Burundi eti uwe na option ya kupitia Mombasa unless kuna matatizo makubwa hapa Dar
Umbali kutoka Mombasa hadi Bujumbura ni karibu kilomita 2,000 wakati Dar -Bunjumbura ni kilomita 1,163


Hawa wakenya misifa achaneni nao

Inategemea na ufanisi, na gharama. Maamuzi ya kiabashara yanahusu mambo mengi sana, sio umbali tu.
 
Hilo swali la msingi ambalo hawatakujibu. Sasa hivi wameitelekeza Burundi wakati huku wakijiita super power wa EAC. Burundi imekua ikiwang'eng'ania Tanzania, ikagoma kujiunga na miradi ya CoW, sasa wapo kwenye matatizo, wananchi wake wanauawa kiholela. Umoja wa bara Uropa EU, Umoja wa Afrika AU na dunia yote wameona busara jeshi litumwe huko kuzuia maafa zaidi, halafu ghafla Tanzania ambao ndio ndugu zao wa karibu wameibuka na kupinga hilo wazo, huku hawaonekani kufanya lolote la msingi kuzuia hayo maafa.
MK254, hujui kama kuna mkutano Entebe tar 28 Dec na January mwanzoni kutakuwa na mkutano mwingine Arusha, hizi ni juhudi za Tz za kujaribu kuachana kuletwa peacekeepers wa AU Burundi ila kutatua suala hili kidiplomasia na kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sijui kama umenielewa!! Burundi ina eneo kubwa - sasa inakuwaje vurugu zinazo tokea kwenye kiunga kimoja cha Bujumbura ndio tuchukulie kwamba kundi dogo hilo ndio wasemaji wa Warundi wote au ndio wanao juwa demokrasia kuliko majority ya Warundi - cha kujiuliza kuna nini nyuma ya pazia.

Ubakaji wa Demokrasia unaingiaje hapa kwani juzi juzi hapa Nkuruzinza hakupigiwa kura na Warundi wenzake? Sisi watu wa nje kwa nini tunamkalia kooni Nkuruzinza eti "amebaka demokrasia" kwa nini hatujiulizi hivi Nguezo kakaa madarakani kwa vipindi vingapi, Museveni na PK - hilo hamlioni!! Nkuruzinza si amesema hii ndio itakuwa term yake ya mwisho, kwa nini tikivuta subira na kuona akimaliza kipindi chake ataondoka madarakani au la?

Kuna kundi dogo la watu ndani na nje ya Burundi ambao wamepania ku-dramatise masuala ya kisiasa nchini Burundi, hao ndio wana sababisha mauuaji ili Burundi ionekane inakaribia ku-commit genocide wakati hiyo haina ukweli wowote, hivi tukitembelea vijiji vya Burundi na miji mingine si pako shwari tu - je hizo ni dalili za vita vya wenyewe kwa wenyewe kweli??

Nkuruzinza aliwahi kusema kipindi cha cha Uongozi wake wa kwanza baada ya kumalizika civil war kilikuwa ni kipindi cha mpito hivyo mananchi hawakumpigia kura - kwa akili za kawaida mtu uwezi kuchukulia kipindi cha mpito kama ni kipindi cha demokrasia kutokana na wananchi kutopewa fursa ya kupiga kura na kumchagua kiongozi wanaye mpenda, binafsi naona hatumtendei haki Nkuruzinza kwa kumshutumu kwamba amepania kug'ang'ania madarakani - kipindi cha mpito hakipaswi kujumuishwa - tuanzie kipindi ambacho Warundi walipiga kura kwa mara ya kwanza Chini ya Uongozi wa Nkuruzinza hiyo ndio maana halisi ya Demokrasia, kwa hiyo kihualisia Nkuruzinza yupo kwenye term yake ya pili na ya mwisho wa Uongozi wa Demokrasia Nchini Burundi,hilo kwa nini watu hawalioni/ignore. Chukulia Nchi kama Uganda hivi baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe(Museveni na Obote) Museveni alipo shinda vita iliwachukuwa muda gani Waganda kuchagua Viongozi wao kwa njia ya kidemokrasia/kupiga kura?? Sasa imekuwaje tena wakina M7 wamuone Nkuruzinza kakosea - wanajifanya wamesahau waliko toka.

Mkuu, kwa explanations like this, i believe you have passed through Burundi constitution as well as mkataba wa amani wa arusha. Haya uliyoyasema ndio haswaaa yenyewe na sio propaganda za mchambawima1 et all !
 
Tanzania kama kaka yao mkubwa kwa kila kitu lazima aingilie kati-let diplomacy work,asipofanya hivi hao wakimbizi hawaendagi nchi nyingine zaid ya tz
 
labda kwanza ungeanza kwa kutuambia mnacho kifanya huko Burundi kabla ya kuconclude na kujilinganisha na Russia huko Syria... au vipi? cc: vyuma

Kinajulikana, kama hujui basi muulize kanali Eduard Nshimimana , yupo hukohuko Kigali !
 
najuwa hawawezi kulijibu! ila cha muhimu unachotakiwa kujuwa haya nimatokeo ya misheni za Kikwete na mpambe wake Membe... inanikumbusha mapadri wa kihuni wanaosema fanyeni nnayowaambia na sio nnayoyatenda... jamaa alienda Burundi akamshauri Nkurumbi kinafiki(kuzuga) eti akigombea tena vitaleta machafuko Burundi lakini kilivyo nuka tu huyo huyo ndiye aliyempa helicopter na kumrudisha Burundi akaendeleze mauwaji... ushauri wangu ni kwamba Magufuli asichukue ushauri wowote kutoka kwa wacheza madili kama vile Kikwete au Membe! ni chini ya utawala wao ndio tulianza kusikia Hima Empire hapa JF zikiambatana na safari zisizo isha za Membe kwenda Paris(ufaransa) wenye akili timamu tulikuwa tushajuwa kitakacho fuata, haikuchukuwa mda FDLR ikapewa dili la kwenda kufundisha Imbonerakure kufanya kazi(gukora) na baada ya hapo waje kusaidizana ku destabilize Rwanda kwa kupitia Burundi... but that won't happen even French guys know that... walijaribu kwa upande DRC tukawashikisha adabu, wakaona haitoshi wacha wajaribu kwa Nkurunziza kumbe ndio kwanza wanamtia kimavi! jMali, vyuma, Bukyanagandi

Believe it or not, Tanzania is a big brother in east and central africa. Wameshasema hakuna jeshi lolote kupelekwa Burundi na itakuwa hivyo.Tanzanians believes in negotiations and not otherwise, sasa if you think you have a very well trained army lipelekeni Burundi muone cha moto.Muulizeni Kagame kilichomkuta na m23 yake !
 
Last edited by a moderator:
Believe it or not, Tanzania is a big brother in east and central africa. Wameshasema hakuna jeshi lolote kupelekwa Burundi na itakuwa hivyo.Tanzanians believes in negotiations and not otherwise, sasa if you think you have a very well trained army lipelekeni Burundi muone cha moto.Muulizeni Kagame kilichomkuta na m23 yake !

Big up vyuma

Do not let those Lunatics Fool peoples with their Bogus propaganda.I've Many friends In Burundi,what they told Me is Quite different From what I've Heard In Media or social networks

I guess this Issue Has been Magnified.But all in all,when Tanzania decide,no any country in EAC Has right to oppose
 
Last edited by a moderator:
Believe it or not, Tanzania is a big brother in east and central africa. Wameshasema hakuna jeshi lolote kupelekwa Burundi na itakuwa hivyo.Tanzanians believes in negotiations and not otherwise, sasa if you think you have a very well trained army lipelekeni Burundi muone cha moto.Muulizeni Kagame kilichomkuta na m23 yake !
haujitambui! kwa hiyo Tanzania is against AU? why? naona hauelewi kinachoendelea... haya mazungumzo yanaenda sambamba na utumaji wa majeshi ya AU kusimamisha mauwaji iwapo ndugu zako wataendelea kama kawaida yao... kwa upande mwingine hata mkisimamisha mauwaji it is too late, majeshi lazima yatakwenda kusimamia utekelezaji wa mambo watakayo kuwa wamekubaliana kule Kampala... kwa kifupi ni hali kama ile iliyopelekea Nkurumbi kuomba UN imsindikize Burundi kutokana na kutowaamini warundi wenzake kipindi kile, kama unakumbuka baada ya makubaliano ya Arusha, alipewa wanajeshi wa SA kumuhakikishia usalama wake
 
haujitambui! kwa hiyo Tanzania is against AU? why? naona hauelewi kinachoendelea... haya mazungumzo yanaenda sambamba na utumaji wa majeshi ya AU kusimamisha mauwaji iwapo ndugu zako wataendelea kama kawaida yao... kwa upande mwingine hata mkisimamisha mauwaji it is too late, majeshi lazima yatakwenda kusimamia utekelezaji wa mambo watakayo kuwa wamekubaliana kule Kampala... kwa kifupi ni hali kama ile iliyopelekea Nkurumbi kuomba UN imsindikize Burundi kutokana na kutowaamini warundi wenzake kipindi kile, kama unakumbuka baada ya makubaliano ya Arusha, alipewa wanajeshi wa SA kumuhakikishia usalama wake

Hivi wewe,Majeshi ya kigeni yanawezaje kuingia Nchi Fulani Bila ruhusa ya Nchi Husika?
 
Big up vyuma

Do not let those Lunatics Fool peoples with their Bogus propaganda.I've Many friends In Burundi,what they told Me is Quite different From what I've Heard In Media or social networks

I guess this Issue Has been Magnified.But all in all,when Tanzania decide,no any country in EAC Has right to oppose

You are right mkuu, leo kulikuwa na maandamano makubwa sana Burundi kupinga kupelekwa jeshi la kulinda amani, wao (warundi) wanasema amani ipo tele hayo majeshi ya AU yanaenda kufanya nini ?
 
Last edited by a moderator:
You are right mkuu, leo kulikuwa na maandamano makubwa sana Burundi kupinga kupelekwa jeshi la kulinda amani, wao (warundi) wanasema amani ipo tele hayo majeshi ya AU yanaenda kufanya nini ?
to protect the minority and to bring law and order in that country...
 
Hivi wewe,Majeshi ya kigeni yanawezaje kuingia Nchi Fulani Bila ruhusa ya Nchi Husika?

Good question mkuu. Let me tell you one thing, si umemsikia kagame amesema hapeleki jeshi Burundi kulinda amani ? Huku nyuma anamsisitiza museveni ahimize majeshi yapelekwe ili kumpindua nkurunziza, cha ajabu Rwanda tu ndio inaona kuwa kuna vurugu Burundi nchi zingine hazioni ? Baada ya msimamo wa Tanzania warundi kwa wingi wao na umoja wao leo wamefanya maandamano makubwa kupinga uinguzwaji wa jeshi la kulinda amani Burundi maana wao hawana vita.
 
Good question mkuu. Let me tell you one thing, si umemsikia kagame amesema hapeleki jeshi Burundi kulinda amani ? Huku nyuma anamsisitiza museveni ahimize majeshi yapelekwe ili kumpindua nkurunziza, cha ajabu Rwanda tu ndio inaona kuwa kuna vurugu Burundi nchi zingine hazioni ? Baada ya msimamo wa Tanzania warundi kwa wingi wao na umoja wao leo wamefanya maandamano makubwa kupinga uinguzwaji wa jeshi la kulinda amani Burundi maana wao hawana vita.
once again, you just don't get it! we are very concerned as they collaborate with FDLR... our intelligence officers know how they got in there and the reason to be there... but if you don't believe us then you may ask Kikwete or Membe, they know much!
 
Big up vyuma

Do not let those Lunatics Fool peoples with their Bogus propaganda.I've Many friends In Burundi,what they told Me is Quite different From what I've Heard In Media or social networks

I guess this Issue Has been Magnified.But all in all,when Tanzania decide,no any country in EAC Has right to oppose
eh eh eh... misifa kemkem iwafikie! ila hiyo Tanzania unayoisema ingekuwa kama unavyotamani iwe basi hakika tusingewapona hapa JF... but again, misifa kemkem iwafikie kwa ku dream big!
 
Sisi watanzania tumejaa UJINGA, UNAFIKI na UWENDAWAZIMU. Serikali yetu nayo imekuwa hivyo hivyo. Tuna matatizo makubwa sana katika bongo zetu.

Hali ya Burundi ni mbaya sana, watu wanauwawa kila siku kama kuku, wanaofanya hayo mauaji ni Askari na Makundi yenye Silaha. Hakuna kupoteza tena muda na Blah blah za kisiasa, Jeshi la kulinda Amani la AU ni lazima linapaswa kupelekwa sasa ili kulinda maisha ya watu na mali zao. Huku hizo siasa zenu zikiendelea huku kwa wanafiki wanaojiita Watanzania.
 
Back
Top Bottom