vyuma nimekudharau sana. Unafanya mambo ya kitoto humu JF. Hiyo kitu unayofanya siyo sawa kabisa. Ni ujinga na ushamba. Haiwezekani Uje na Sumu yako kuja kutulisha humu then unajifanya kureply wakati source ni wewe mwenyewe.
Tukija kwenye Topic yetu, issue ya usalama burundi ndio kitu cha kwanza kwa sasa na should be very urgent.
Mauaji ya kuvizia yanaendelea mpaka sasa, kila siku kuna watu wanaokotwa wamekufa, na hakuna upande unaokubali kuhusika.
Kama ni waasi wanafanya hayo kwanini Jeshi la serikali linashindwa kuzuia hayo?
Na kama jeshi la serikali ndio linafanya mauaji hayo, nani atazuia hayo yasitokee?
Na kama hakuna viashiria vya vita kwanini wakimbizi kutoka Burundi wanazidi kuja Tanzania, Rwanda, Kongo nk?
Na hapo ndipo haja ya Jeshi la AU la kulinda Amani linapaswa haraka sana liwepo Burundi, kwa maslahi ya kila upande na warundi wote.