Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

By the way hao jamaa wa Gotham Consultants wanawakilishwa na the so called local consultant (mjukuu wake JKN) ambaye alishawekwa kwenye magazeti na Usalama wa Taifa kuwa ni tapeli ambaye anatumia jina la hiyo ofisi(nadhani nyie watu wa jikoni mnajua who i am talking about here).


ninahisi huyu mtu ndo yule bwana anayejiita hapa mjini MAKONGORO NYERERE, kama ni yeye ni tapeli mkubwa kwanza kwa kifupi hana uhusiano wowowte na JKN ni kwa sababu tu walikuwa wanakaa karibu na mwalimu hapa msasani na hivyo ikampelekea kukua na watoto wa mwalimu toka utotoni mpaka hivi sasa , so huyu jamaa anachukuliwa kama mtoto wa mwalimu ,lakini kiukweli ana lolote,ukimwona mjini benzi kubwaa lakini mfukoni hana kitu
LOWASSA
 
Mwanasiasa,
Makongoro Nyerere ni mtoto wa marehemu Chifu Makongoro. Mdogo wake Issa na Hassan Makongoro kama unawafahamu. Mwalimu aliwafadhili pale Ikulu enzi zake lakini huyu alianza utapeli na kulitumia jina la Mwalimu zamani sana.
 
Jasusi,

Makongoro huyu aliyekuwa mbunge wa NCCR Arusha?

Makongoro wa NCCR ni mtoto wa Mwalimu. Huyu "Mako" mtoto wa mjini ni mdogo wa Issa Makongoro alikuwa Yanga. "Mako" alikuwa na kiofisi pale jirani na New Africa Hotel na alikuwa akiendesha kibanda wazi na kubanjua kina dada kama mmenya karanga!

I am sure Bob Mkandara atamkumbuka "Mako"!
 
By the way hao jamaa wa Gotham Consultants wanawakilishwa na the so called local consultant (mjukuu wake JKN) ambaye alishawekwa kwenye magazeti na Usalama wa Taifa kuwa ni tapeli ambaye anatumia jina la hiyo ofisi(nadhani nyie watu wa jikoni mnajua who i am talking about here).


ninahisi huyu mtu ndo yule bwana anayejiita hapa mjini MAKONGORO NYERERE, kama ni yeye ni tapeli mkubwa kwanza kwa kifupi hana uhusiano wowowte na JKN ni kwa sababu tu walikuwa wanakaa karibu na mwalimu hapa msasani na hivyo ikampelekea kukua na watoto wa mwalimu toka utotoni mpaka hivi sasa , so huyu jamaa anachukuliwa kama mtoto wa mwalimu ,lakini kiukweli ana lolote,ukimwona mjini benzi kubwaa lakini mfukoni hana kitu
LOWASSA

KWANZA SI KWELI KUWA MEMBE NA LOWASA NI MAADUI,HAWA NI MARAFIKI TENA WA SIKU NYINGI,MRADI WA VITAMBULISHO NI MUHIMU SANA KWA TAIFA LUTU AMBALO KWA SASA YUNA TATIZO KUBWA LA WAHAMIAJI HARAMU,PILI ATA WATANZANIA WENGI WANAPATA SHIDA SANA KTK MABENKI KWA KUKOSA VITAMBULISHO NA PIA ATA KUWEKEA DHAMANA JAMMAA NA NDUGU WENYE KUHITAJI.JACK HAJAWAHI KUJIITA MJUKUU WA NYERER BALI NYERERE NDIO ALIKUWA AKIMWITA MJUKUU WAKE KWA VILE ALIMCHUMBIA MJUKUU WA NYERERE NA KUFANYA TARATIBU ZOTE ZA NDOA,JACK GOTHAM HAJAPATA KUKAA MSASANI BALI MAGOMENI NA BABA WA JACK AMBAE ALIKUWA NI MGILIKI ALIKUWA NI RAFIKI MKUBWA WA NYERERE NA ATA WAKATI AKIONDOKA MWAKA 1975 ALIMKABIDHI JACK KWA NYERERE.JACK GOTHAM NI KWELI ALISHINDA TENDA YA VITAMBULISHO KAM CONULTANT TOKA MWAKA 2002.JACK NA MEMBE NI MARAFIKI WA MUDA MREFU SANA,NA WALA WAKATI JACK ANASHINDA HIO TENDA MEMBE HAKUWA SERIKALINI
 
Makongoro, jina lake maarufu mjini huwa ni Magambo " M---- F---", duh jamaa long time mjini na super vile vile, hana noma na mtu ni mtu wa kujitafutia na kuhangaika sana among all the Nyereres na ni mkali vile vile, mwacheni mkuu hana noma na mtu! Kama Mwalimu, ni baba yake au sio sijui lakini najua jamaa alikuwa anatua ndani huko Ikulu na kina Super Deo!
 
Nakupata mkuu.
Sijui hawa wenzetu huwa hawajisikii wivu wakipita nchi zilizoendelea na kukua hakuna vumbi, lami tu!
Sasa hapa wanashindania tenda ya vitambulisho ili wale 10%, yaani zile za umeme hewa bado hazijawatosha tu!
Uroho mwingine bwana!

You are dame right! Actually kutokana na uzoefu wangu na viongozi ambao nimewahi kukutana nao nje ya nchi huwa wanaadmire sana wakienda wakaona sehemu nyigine.

Vilevile huwa wanaonekana washamba washmba mpaka wanatia huruma. Confidence yao iko chini sana wakiwa nje ya nchi kulinganisha na viongozi wa other African countries. Lakini tatizo nafikiri ni la Vigogo wengi wa nyumbani wanafikiri kuwa na pesa nyingi ni kuukata bila kuangalia quality ya maisha yao.

Ndiyo sababu kila mtu yuko busy kutengeneza pesa tu wakati quality ya maisha yake haipandi!!! Kama mtu anabisha akaangalie nyumba za hao vigogo, nyumba inaweza ikawa hekalu kwelikweli lakini the finishing part yake utachoka.

Sometime milango hafungiki vizuri, vyoo vya kuchuchumaa havikosekani, tiles ziko upandeupande, you name it!
 
KWANZA SI KWELI KUWA MEMBE NA LOWASA NI MAADUI,HAWA NI MARAFIKI TENA WA SIKU NYINGI,MRADI WA VITAMBULISHO NI MUHIMU SANA KWA TAIFA LUTU AMBALO KWA SASA YUNA TATIZO KUBWA LA WAHAMIAJI HARAMU,PILI ATA WATANZANIA WENGI WANAPATA SHIDA SANA KTK MABENKI KWA KUKOSA VITAMBULISHO NA PIA ATA KUWEKEA DHAMANA JAMMAA NA NDUGU WENYE KUHITAJI.JACK HAJAWAHI KUJIITA MJUKUU WA NYERER BALI NYERERE NDIO ALIKUWA AKIMWITA MJUKUU WAKE KWA VILE ALIMCHUMBIA MJUKUU WA NYERERE NA KUFANYA TARATIBU ZOTE ZA NDOA,JACK GOTHAM HAJAPATA KUKAA MSASANI BALI MAGOMENI NA BABA WA JACK AMBAE ALIKUWA NI MGILIKI ALIKUWA NI RAFIKI MKUBWA WA NYERERE NA ATA WAKATI AKIONDOKA MWAKA 1975 ALIMKABIDHI JACK KWA NYERERE.JACK GOTHAM NI KWELI ALISHINDA TENDA YA VITAMBULISHO KAM CONULTANT TOKA MWAKA 2002.JACK NA MEMBE NI MARAFIKI WA MUDA MREFU SANA,NA WALA WAKATI JACK ANASHINDA HIO TENDA MEMBE HAKUWA SERIKALINI

Duh! You really are the man behind the name!
 
You are dame right! Actually kutokana na uzoefu wangu na viongozi ambao nimewahi kukutana nao nje ya nchi huwa wanaadmire sana wakienda wakaona sehemu nyigine. Vilevile huwa wanaonekana washamba washmba mpaka wanatia huruma. Confidence yao iko chini sana wakiwa nje ya nchi kulinganisha na viongozi wa other African countries. Lakini tatizo nafikiri ni la Vigogo wengi wa nyumbani wanafikiri kuwa na pesa nyingi ni kuukata bila kuangalia quality ya maisha yao. Ndiyo sababu kila mtu yuko busy kutengeneza pesa tu wakati quality ya maisha yake haipandi!!! Kama mtu anabisha akaangalie nyumba za hao vigogo, nyumba inaweza ikawa hekalu kwelikweli lakini the finishing part yake utachoka. Sometime milango hafungiki vizuri, vyoo vya kuchuchumaa havikosekani, tiles ziko upandeupande, you name it!!!!!


Shame on them!
 
But worldwide, the Bar Code technology is being slowly phased out, consequently replaced by Smart Card, according to experts. For the project to be carried out two to three years to come, is not the Smart Card a better idea? the same experts say Smart Card is a hold all thing and more of an electronic thing.

The 1967 Arusha declaration could have taken care of those leaders who want to amass wealth by doing business while in public offices. But it was phased out by Zanzibar declaration of 1992, and i stand to be corrected.

WE had a good chance to note these effects in 1992...rather than now. We stood there and did nothing when the big bellies were amending these declarations...now they are at it!! Poor Tanzania.

If at all these guys are doing business, its not news. We know that Karamagi is a businessminister, Kapuya is a mineminister, and...many more if that will please you fellow members. So, is Benny right to do business or should he get Tanzania a fair deal?
 
Makongoro, jina lake maarufu mjini huwa ni Magambo " M---- F---", duh jamaa long time mjini na super vile vile, hana noma na mtu ni mtu wa kujitafutia na kuhangaika sana among all the Nyereres na ni mkali vile vile, mwacheni mkuu hana noma na mtu! Kama Mwalimu, ni baba yake au sio sijui lakini najua jamaa alikuwa anatua ndani huko Ikulu na kina Super Deo!


mkuu umenena...huyu magambo makongoro nammanya...na issa..wana ndugu zao wengine walikuwa wakiishi goliondoi road arusha..na miaka ya 1980 makongoro original alipotoka vitani na kuamua kuja kuweka makazi arusha ..akikaa ikulu ndogo ..kabla hajapatiwa nyumba jirani na ikulu..alikuwa akijichnganya sana uswazi na hawa washkaji..maeneo ya cave ets...

wakati wa kuaga mwili london wa baba wa taifa huyu mgambo alitambulishwa kama mmoja wa wanafamilia wa mwalimu in line na watoto wake....kumbuka pia pia kuna watu kama RAS IBETIBI ambao nao walikuwepo na mwalimu alikuwa akiwaona wanae tu....
 
Tunatoka nje ya mada ama inakuwaje ? Mbona Membe , Lowasa na kampeni za vitambulisho sasa inakuwa ukoo wa Nyerere ? Ama ni mimi nielewi? Hapa kuna ya vitambulisho , umuhimu na namna wanavyo taka kuafuta pesa kwa kugombania tenda . Je are on the right track ?
 
Mjadala huu ni mzuri lakini nasikitika kwamba umejikita zaidi katika mambo ambayo si tu kwamba hayan utafiti wa kina bali ni uongo mkubwa ambao umelenga tu kuchafua majina ya watu na ninaogopa hili linaweza kuharibu heshima ya JF ambayo inasifika kwa kuwa kisima cha mijadala ya kina nailiyojikita kwenye utafiti na ukweli.

Membe na Urais

Kwanza limekuwa ni jambo la kufikirika na hisia miongoni mwa watu kwamba Mheshimiwa huyu ana ambition ya Urais. Ushahidi pekee kama aweza kuita hivyo au link yake na Urais ni kuwa kwake Waziri wa Mambo ya Nje na mazoea ya kwamba wawili kati ya Marais wetu walishika nafasi hiyo kabla. Yeye mwenyewe hajawahi kutamka wala kuonyesha kwa namna yoyote kwamba anapanga kuwania nafasi hiyo. Lakini pia yeye mwenyewe ametamka wazi kwenye kipindi cha Hamza Kassongo (Channel 10) wiki mbili zilizopita kwamba hana nia hiyo na kwamba amefika kilele cha mafanikio au utumishi wake serikalini. kwa hiyo hofu au fikra za ambition hiyo sioni kama zina msingi wowote.

Vitambulisho

Kama mchangiaji mmoja alivyosema, mradi huu ulianza toka wakati wa awamu ya pili na ni kweli kwamba wizara inayohusika ni ile ya Mambo ya Ndani ambayo Membe alikwa Naibu Waziri kwa kipindi cha miezi isiyofika au kuzidi kumi. Inawezekana katika kipindi hicho cha utumishi wake hapo alipata kuhusika lakini nafikiri ni kwa kipindi kidogo sana ambacho kwa vyovyote vile hakikuwa cha mchakato wowote wa uteuzi wa Mkandarasi wa kusupply au hata kufanya feasibility study. Hata hiyo kampuni ya Gotham International amabyo inazungumziwa hapa na ambayo ina utaaalam wa kutosha sana na ambayo ilistahili kupata tenda hiyo ya feasibility study na consultancy ilipata tenda hiyo wakati wa utawala wa awamu ya tatu ambayo membe hakuwa mmoja wao zaidi ya kuwa mbunge kwa kipindi cha miaka mitano ya mwisho ya awamu hiyo. Kwa vyovyote vile Membe asingeweza (hata angetaka) kuwa na influence ya kufanikisha uteuzi wa kampuni hiyo.

Kampuni ya Mwikalo

Ni ukweli ulio wazi na ambao hata mtoa hoja wa kwanza anaujua ni kwamba Membe hana hisa wala uhusika katika kampuni yoyote achilia mbali hiyo inayotajwa ya Mwikalo ambayo hata hivyo haifahamiki na wala hatuna uhakika kama ipo. Kwa hiyo kwa maoni yangu kufahamiana na Mwikalo au yeyote mwenye uwaniaji au kampuni hakuwezi kumfanya Membe ahusike na kampuni hiyo. Kwa ujumla ni uzushi ulio wazi kusema kwamba kampuni ya Mwikalo au kampuni yoyote kama ipo ina uhusiano na Membe au kwamba yeye anahusika na suala la vitambulisho. Kinachoonekana hapa ni kujaribu kuchafua jina la mtu si kwa kile alichofanya bali kwa hofu ya kwamba ana ambition ya urais ambayo ni perceived and not real. UKWELI NI KWAMBA MEMBE HANA INTEREST NA KAMPUNI YOYOTE INAYOOMBA KUCHUKUA MRADI HUU!

Kutokulewana na Waziri Mkuu

Ni uongo ulio wazi na mweupe kwamba Membe haelewani na Waziri Mkuu au vinginevyo. Waziri Mkuu kama kiongozi wa Membe amekuwa na uhusiano mzuri na Membe na wote hao wanafanya kazi kwa karibu bila tatizo. mahusiano yao ya kikazi na kijamii yamekuwa mazuri na yameendelea kuimarika. Kinachojitokeza ni hila za watu kuwagombanisha au ku-create na kuchochea migongano kati yao ambayo wao kama watu wazima wamekuwa wakiipuuza. Sasa kama WM ana nia ya kugombea kiti kikubwa amabyo ni haki ya kila mmoja naye akiwemo, hiyo haiwezi kuwa sababu ya ugomvi wao.

NASHAURI WACHANGIAJI WA JF TUWE WAKWELI NA WATAFITI WA KINA. TULINDE HESHIMA YA FORUM KWA KUJA NA HOJA ZA UKWELI NA ZENYE USHAHIDI WA KUTOSHA.
 
Ni ujumbe wako wa kwanza na umekuja kwa ajili ya hili pekee .Lakini nasema karibu na asante kwa ufafanuzi . Lisemwalo lipo na halipo basi laja . Kwanza kutajwa Mwilako na TG . Najua TG ni mtu makini na muda mwingi si mzushi .

Kuna watu wengi huko London aliko GT na US mbona asije hapa na jila na Lunyungu ? Kila kiongozi ana marafiki na ndugu zake lakini this na kwa Mwikalo.Nakuona kwa mwelekeo ama ni msemaji wa Mwikalo ama Membe lakini hapa ni JF , leo mtasema uongo kesho ukweli itajulikana.

Endelea kuwa hapa na muda ukifika GT athibitisha haya ama wengineo watasema wayajuayo.
 
Mjadala huu ni mzuri lakini nasikitika kwamba umejikita zaidi katika mambo ambayo si tu kwamba hayan utafiti wa kina bali ni uongo mkubwa ambao umelenga tu kuchafua majina ya watu na ninaogopa hili linaweza kuharibu heshima ya JF ambayo inasifika kwa kuwa kisima cha mijadala ya kina nailiyojikita kwenye utafiti na ukweli.

Membe na Urais

Kwanza limekuwa ni jambo la kufikirika na hisia miongoni mwa watu kwamba Mheshimiwa huyu ana ambition ya Urais. Ushahidi pekee kama aweza kuita hivyo au link yake na Urais ni kuwa kwake Waziri wa Mambo ya Nje na mazoea ya kwamba wawili kati ya Marais wetu walishika nafasi hiyo kabla. Yeye mwenyewe hajawahi kutamka wala kuonyesha kwa namna yoyote kwamba anapanga kuwania nafasi hiyo. Lakini pia yeye mwenyewe ametamka wazi kwenye kipindi cha Hamza Kassongo (Channel 10) wiki mbili zilizopita kwamba hana nia hiyo na kwamba amefika kilele cha mafanikio au utumishi wake serikalini. kwa hiyo hofu au fikra za ambition hiyo sioni kama zina msingi wowote.

Vitambulisho

Kama mchangiaji mmoja alivyosema, mradi huu ulianza toka wakati wa awamu ya pili na ni kweli kwamba wizara inayohusika ni ile ya Mambo ya Ndani ambayo Membe alikwa Naibu Waziri kwa kipindi cha miezi isiyofika au kuzidi kumi. Inawezekana katika kipindi hicho cha utumishi wake hapo alipata kuhusika lakini nafikiri ni kwa kipindi kidogo sana ambacho kwa vyovyote vile hakikuwa cha mchakato wowote wa uteuzi wa Mkandarasi wa kusupply au hata kufanya feasibility study. Hata hiyo kampuni ya Gotham International amabyo inazungumziwa hapa na ambayo ina utaaalam wa kutosha sana na ambayo ilistahili kupata tenda hiyo ya feasibility study na consultancy ilipata tenda hiyo wakati wa utawala wa awamu ya tatu ambayo membe hakuwa mmoja wao zaidi ya kuwa mbunge kwa kipindi cha miaka mitano ya mwisho ya awamu hiyo. Kwa vyovyote vile Membe asingeweza (hata angetaka) kuwa na influence ya kufanikisha uteuzi wa kampuni hiyo.

Kampuni ya Mwikalo

Ni ukweli ulio wazi na ambao hata mtoa hoja wa kwanza anaujua ni kwamba Membe hana hisa wala uhusika katika kampuni yoyote achilia mbali hiyo inayotajwa ya Mwikalo ambayo hata hivyo haifahamiki na wala hatuna uhakika kama ipo. Kwa hiyo kwa maoni yangu kufahamiana na Mwikalo au yeyote mwenye uwaniaji au kampuni hakuwezi kumfanya Membe ahusike na kampuni hiyo. Kwa ujumla ni uzushi ulio wazi kusema kwamba kampuni ya Mwikalo au kampuni yoyote kama ipo ina uhusiano na Membe au kwamba yeye anahusika na suala la vitambulisho. Kinachoonekana hapa ni kujaribu kuchafua jina la mtu si kwa kile alichofanya bali kwa hofu ya kwamba ana ambition ya urais ambayo ni perceived and not real. UKWELI NI KWAMBA MEMBE HANA INTEREST NA KAMPUNI YOYOTE INAYOOMBA KUCHUKUA MRADI HUU!

Kutokulewana na Waziri Mkuu

Ni uongo ulio wazi na mweupe kwamba Membe haelewani na Waziri Mkuu au vinginevyo. Waziri Mkuu kama kiongozi wa Membe amekuwa na uhusiano mzuri na Membe na wote hao wanafanya kazi kwa karibu bila tatizo. mahusiano yao ya kikazi na kijamii yamekuwa mazuri na yameendelea kuimarika. Kinachojitokeza ni hila za watu kuwagombanisha au ku-create na kuchochea migongano kati yao ambayo wao kama watu wazima wamekuwa wakiipuuza. Sasa kama WM ana nia ya kugombea kiti kikubwa amabyo ni haki ya kila mmoja naye akiwemo, hiyo haiwezi kuwa sababu ya ugomvi wao.

NASHAURI WACHANGIAJI WA JF TUWE WAKWELI NA WATAFITI WA KINA. TULINDE HESHIMA YA FORUM KWA KUJA NA HOJA ZA UKWELI NA ZENYE USHAHIDI WA KUTOSHA.


You gotta love JF

Karibu sana mheshimiwa WAZIRI au sijui niseme msemaji wa MEMBE bwana ASSA MWAMBENE kuja kujibu hizo hoja zilizoletwa hapo juu japo hujajibu ya WEBSITE YA FOREIGN

anyway sababu ya kuhisi kuwa wewe ni mmoja kati ya hao niliowataja hapo juu ni hii hapa:

MBOPO-DOSSIER.jpg
[/IMG]

umenena kama vile ni VETERAN wa hii forum lakini inaonekana kuwa hii ni post yako ya kwanza!
 
Nilimpa onyo kubwa hakuelewa .Hebu sasa let him understand this is a very hard way .Tuendelee kushusha mizigo .
 


Ahh well,

BERNARD MEMBE:
Membe alipotoka Singapore akaingiwa na huu wazimu wa ID cards kama zinazotumika kule Singapore. Mind you Singapore ni moja kati ya totalitarian states duniani...na uchumi wake umekuwa at the expense of civil liberties.

Idea aliyoipata Membe toka kule singapore ilikuwa ni ya Technology ya Smart Car /RFID ambayo wataala wanasema kuwa haitaweza kufanikiwa Tanzania.

Tatizo lingine ni kuwa proposal ya huu mradi wa Membe hautokuwa na masalahi kwa taifa kwani ni expensivesana. Bwana membe aliiendelea na shopping trips zake na kila aendako alikuwa anapata cheaper alternative wakati yeye alitaka expensive ili apate pesa nyingi zaidi.

By the way hao jamaa wa Gotham Consultants wanawakilishwa na the so called local consultant (mjukuu wake JKN) ambaye alishawekwa kwenye magazeti na Usalama wa Taifa kuwa ni tapeli ambaye anatumia jina la hiyo ofisi(nadhani nyie watu wa jikoni mnajua who i am talking about here).

LOWASSA


Waziri wetu mkuu mheshimiwa, ndugu yetu Edward Lowassa kupitia mwanae wenyewe wana propose technology ya 2D bar coding ambayo ni affordabale and applicabel kwa Tanzania...sasa Membe anawafanyia fitna kwa JK ili kampuni ambayo ana maslahi nayo ipewe

MUNGAI

By the way sasa Mungai nae ana jaaa zake wa TehnoBrain. Hapa iko kazi...naye ashaanza ku lobby ili kampuni yake ipewe

Kwani nikipewa huo mradi mimi itakuwa nongwa?
mmbona hawa wakubwa zetu wanakula matunda ya uhuru pasina sisi kutubakishia?? wajue kuwa cheo ni dhamana, wanapaswa wajikane nafsi zao kwanza kisha waje kutuomba kura...
 
Mjadala huu ni mzuri lakini nasikitika kwamba umejikita zaidi katika mambo ambayo si tu kwamba hayan utafiti wa kina bali ni uongo mkubwa ambao umelenga tu kuchafua majina ya watu na ninaogopa hili linaweza kuharibu heshima ya JF ambayo inasifika kwa kuwa kisima cha mijadala ya kina nailiyojikita kwenye utafiti na ukweli.

Membe na Urais

Kwanza limekuwa ni jambo la kufikirika na hisia miongoni mwa watu kwamba Mheshimiwa huyu ana ambition ya Urais. Ushahidi pekee kama aweza kuita hivyo au link yake na Urais ni kuwa kwake Waziri wa Mambo ya Nje na mazoea ya kwamba wawili kati ya Marais wetu walishika nafasi hiyo kabla. Yeye mwenyewe hajawahi kutamka wala kuonyesha kwa namna yoyote kwamba anapanga kuwania nafasi hiyo. Lakini pia yeye mwenyewe ametamka wazi kwenye kipindi cha Hamza Kassongo (Channel 10) wiki mbili zilizopita kwamba hana nia hiyo na kwamba amefika kilele cha mafanikio au utumishi wake serikalini. kwa hiyo hofu au fikra za ambition hiyo sioni kama zina msingi wowote.

Vitambulisho

Kama mchangiaji mmoja alivyosema, mradi huu ulianza toka wakati wa awamu ya pili na ni kweli kwamba wizara inayohusika ni ile ya Mambo ya Ndani ambayo Membe alikwa Naibu Waziri kwa kipindi cha miezi isiyofika au kuzidi kumi. Inawezekana katika kipindi hicho cha utumishi wake hapo alipata kuhusika lakini nafikiri ni kwa kipindi kidogo sana ambacho kwa vyovyote vile hakikuwa cha mchakato wowote wa uteuzi wa Mkandarasi wa kusupply au hata kufanya feasibility study. Hata hiyo kampuni ya Gotham International amabyo inazungumziwa hapa na ambayo ina utaaalam wa kutosha sana na ambayo ilistahili kupata tenda hiyo ya feasibility study na consultancy ilipata tenda hiyo wakati wa utawala wa awamu ya tatu ambayo membe hakuwa mmoja wao zaidi ya kuwa mbunge kwa kipindi cha miaka mitano ya mwisho ya awamu hiyo. Kwa vyovyote vile Membe asingeweza (hata angetaka) kuwa na influence ya kufanikisha uteuzi wa kampuni hiyo.

Kampuni ya Mwikalo

Ni ukweli ulio wazi na ambao hata mtoa hoja wa kwanza anaujua ni kwamba Membe hana hisa wala uhusika katika kampuni yoyote achilia mbali hiyo inayotajwa ya Mwikalo ambayo hata hivyo haifahamiki na wala hatuna uhakika kama ipo. Kwa hiyo kwa maoni yangu kufahamiana na Mwikalo au yeyote mwenye uwaniaji au kampuni hakuwezi kumfanya Membe ahusike na kampuni hiyo. Kwa ujumla ni uzushi ulio wazi kusema kwamba kampuni ya Mwikalo au kampuni yoyote kama ipo ina uhusiano na Membe au kwamba yeye anahusika na suala la vitambulisho. Kinachoonekana hapa ni kujaribu kuchafua jina la mtu si kwa kile alichofanya bali kwa hofu ya kwamba ana ambition ya urais ambayo ni perceived and not real. UKWELI NI KWAMBA MEMBE HANA INTEREST NA KAMPUNI YOYOTE INAYOOMBA KUCHUKUA MRADI HUU!

Kutokulewana na Waziri Mkuu

Ni uongo ulio wazi na mweupe kwamba Membe haelewani na Waziri Mkuu au vinginevyo. Waziri Mkuu kama kiongozi wa Membe amekuwa na uhusiano mzuri na Membe na wote hao wanafanya kazi kwa karibu bila tatizo. mahusiano yao ya kikazi na kijamii yamekuwa mazuri na yameendelea kuimarika. Kinachojitokeza ni hila za watu kuwagombanisha au ku-create na kuchochea migongano kati yao ambayo wao kama watu wazima wamekuwa wakiipuuza. Sasa kama WM ana nia ya kugombea kiti kikubwa amabyo ni haki ya kila mmoja naye akiwemo, hiyo haiwezi kuwa sababu ya ugomvi wao.

NASHAURI WACHANGIAJI WA JF TUWE WAKWELI NA WATAFITI WA KINA. TULINDE HESHIMA YA FORUM KWA KUJA NA HOJA ZA UKWELI NA ZENYE USHAHIDI WA KUTOSHA.


Ahsante sana mheshimiwa waziri, tumekupata ila bado kibarua unacho maana hoja zako ndizo zimekosa msingi na hazina tafiti ndani yake
 
Mimi nadhani hii ni UDAKU.

Kuna uthibitisho gani kuwa Membe ana kampuni na anamtumia Mwikalo kama front man wake?, Ina maana Mwikalo akiamua kuwa na kampuni yake na ujuzi anao, asipewe kwasababu anamjua/kufahamina na Membe?!

Acheni wivu jamani!
FIKIRADUNI acha unafiki na kukingia ujinga na ufisadi.

kuna member alileta hoja humu kuwa Suzane Mungy anatapewa ukurugenzi na Tido Mhando kwenye Taasisi ya Utangazaji Tanzania. wewe ukabisha na kusema udaku, hatimaye Suzane Mungy kapewa ile kazi.umefyata kimya kama Mkandala, hata slaa aliposema kuna ufisadi BOT watu walisema udaku.

kama unakula na Membe au Lowassa umeumia.
 
Nungwi kweli wewe ni mzanaki haswa. Unapasuka tu . Nakusoma hebu tuendelee . Kumbe FD ulibisha juu ya Ukurugenzi wa Mungy ?
 
Back
Top Bottom