Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Katika hiyo safu yake Makonda atakuwa waziri mkuu

Kama huyu mama (VP) anataka kufa mapema kabla ya wakati wake, arithi makosa ya kujitakia na ya makusudi kabisa ya Marehemu John Pombe Magufuli...

Ni Rais asiye timamu pekee anaweza kumweka mtu kama Paul Makonda kwenye nafasi yoyote ya uongozi iwe serikalini au chamani kana kwamba nchi hii haina watu walio kamili kiakili na kimaono...

Tujifunze tokana na makosa ili tuepuke adhabu ambazo si za lazima sana..
 
Katiba ipo wazi Makamu atamalizia kipindi chote kilichobaki
Hivi akishamaliza na akaamua kugombea tena na kushinda atatawala kwa mihula miwili Tena au. Hapa Nina maana kwa mfano Mama Samia akimalizia hii miaka minne alafu chama chake kikampendekeza Tena kugombea na akashinda atatawala miaka 10 au??? Hiyo ukijumkisha na hii minne Ina maana atatawala miaka 14 siyo???Kama ndivyo basi Huyu mama ana Zari la kufa mtu.
 
Wavae barakoa, tukubali chanjo. Tuliwaambia corona ipopiga hodi Sebuleni ( Kijazi), ilikuwa ni muda Tu itaingia master bedroom.Hawa watu walikuwa karibu Sana kiutendaji ni lazima wasogeleane, vitu waviguse wote kama ni fail NK. Na mbaya zaidi kumbe Mkuu hakuwa mzima kama tulichokuwa tukidanganywa na mapushap.
 
Hivi akishamaliza na akaamua kugombea tena na kushinda atatawala kwa mihula miwili Tena au. Hapa Nina maana kwa mfano Mama Samia akimalizia hii miaka minne alafu chama chake kikampendekeza Tena kugombea na akashinda atatawala miaka 10 au??? Hiyo ukijumkisha na hii minne Ina maana atatawala miaka 14 siyo???Kama ndivyo basi Huyu mama ana Zari la kufa mtu.
Ndivyo ilivyo Mkuu, huyu mama hajakoshewa mkaratusi..by Top in Town..Mama Zuchu
 
Wakati mwingine muwe mnaona maono ya faraja pia, sio kila siku maono ya majanga na misiba tu!
Hakuna mahala nilionyeshwa msiba au jambo baya.

Inawezekana pengine mwanadamu anaposhindana na kusudi la Mungu ndio misiba hutokea ili tu kusudi la Mungu litimie.

Mimi sio mtaalam wa hayo, wenye utaalam wao watajua zaidi. Ila maono huwa naonyeshwa na yanatimia.

NA SIJUI KWA NINI!
 
Back
Top Bottom