Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Sababu ikowazi zenji asingepatikana mkristo kirahisi... Sasa bara wakristo wengi lazma ibalansiwe
Hapana Zanzibar ina wakristo zaidi ya asilimia mbili na wasomi wapo. Usiangalie majina ya kiislam kule zenj mfano mtu anaitwa augustino ramadhani hassan ni mkristo huyo.

Suala la kubance ni hisani ya aliyepo mamlakani sio sheria inasema.
 

Attachments

  • Screenshot_20210318-082445.png
    Screenshot_20210318-082445.png
    40.6 KB · Views: 24
Hatuwezi kuwa na rais na makamu wake wote dini moja!!!
Makamu ni ndugu Willium Lukuvi na Pm atabaki Majaliwa KM. Maona ya waziri mkuu mpya hapo kidooogo ndoto ilivamia na upande wapili....Ova

VP Bashiru PM Majaliwa
 
Kila jambo hutokea kwa sababu,kuku anadonoa punje za nafaka kadri anavyopata wa kudonoa hizo nafaka kwa kuwa baadae zitamletea faida yy na wanaomzunguka, kwa hiyo tumuachie muda kiongozi ajaye(samia) kama mfano wa kuku uliopo juu...
 
Back
Top Bottom