Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Tanzania kuwa na Rais mwanamke?

Pengine unachosema kikawa kweli au kisiwe. Tusubiri.

Lakini pia huenda hili lililotokea ndio jibu la tafsiri ya kile nilichooneshwa wakati ule. Kumbuka niliona maono katika mazingira ambayo huenda ungesoma hili wakati ule ungeniita kichaa.

Najua unaelewa ninachomaanisha.
Salute to you!! Sasa Em jitahidi muonee supi kaa huoni akiapishwa mmama hiviiii??? So kwaubaya lkn sio lazima kifo!!!
 
49b648ac3ac7424b89367ab643ad3abc.jpg

M sijui hivi huyu samia atamalizia miaka iliyobaki.?
 
Back
Top Bottom