Mkuu 'Janja', naona sasa ni kama unanizungusha mbuyu!Towards the end of last year yalifanyika makubwa sana baada ya wale jamaa kuvuka border
1. Tuliwatandika directly
2. With sadc tuliwatandika zaiei
there were no television then only actions
UnfortunatelyMkuu 'Janja', naona sasa ni kama unanizungusha mbuyu!
"Tuwatandike sana 'directly', halafu hawo walioendelea kuteka miji, kiasi kwamba Nyusi akimbilie Rwanda kuomba msaada, ilikuwaje tukawashindwa kuwatandika?
Na kama hali ingekuwa hivyo unavyoisema hapa, haya ya Liberata Mulamula ya "kutaka Msumbiji wafanye mazungumzo na MAGAIDI", haya ni ya nini, mbona ni jambo la kushangaza sana?
Ninakuuliza haya maswali, siyo ya kiutaniutani, kwa sababu hii ni hali ngumu ambayo hata sisi inaweza kutukabili.
Majibu yako hapo juu hayaleti maana hata kidogo. Lakini nilikuchukulia kama mtu anayeweza kujadili jambo ajualo vizuri.
Atampatia wapi huyo General?Unfortunately
unawaza in linear mode
tafuta any general wa JW kesho akupe shule ya nini tumefanya
mengine haya naona ni kama zile mbio zenu za kudai dsmokrasia kupitia chama kisicho na demokrasia
kazi ya last year November ni zaidi ya sweeping
Huwa anajipambanua kama gwijiAtampatia wapi huyo General?
SawaHuwa anajipambanua kama gwiji
LNG ni chakula cha kuliwa na wananchi wa msumbiji au tradable commodity?Tunapeleka majeshi kupambana na raia wanaopigania LNG yao isiporwe na walowezi, kwa faida ya nani? Africa mbona tuna kuwa wapumbavu hivi?
Hao Raia wanaopigania gesi,kuchinja Raia wenzao kama wanyama ndo gesi haitatoka?bro unaongea nini sasa?wangekuwa na akili si wangepigana na viongozi wao vilaza walioingia mikataba ya kishenzy au wangepigana na hao tunaowaita mabeberu?unajua namna gani wanaua kikatili raia wasio na Hatia?unajua vile kina mama,watoto,wazee,na wagonjwa wanavyoteseka?anyway unaweza kuwa right kwa maoni yakoTunapeleka majeshi kupambana na raia wanaopigania LNG yao isiporwe na walowezi, kwa faida ya nani? Africa mbona tuna kuwa wapumbavu hivi?
Uliza wewe mkuu hata isipotoka wataivua kama samaki ili wale?labda atatuambia hao raia wakiachiwa hyo gesi wataifanya soft drink tuwe tunakunywa!!LNG ni chakula cha kuliwa na wananchi wa msumbiji au tradable commodity?
Hao Raia wanaopigania gesi,kuchinja Raia wenzao kama wanyama ndo gesi haitatoka?bro unaongea nini sasa?wangekuwa na akili si wangepigana na viongozi wao vilaza walioingia mikataba ya kishenzy au wangepigana na hao tunaowaita mabeberu?unajua namna gani wanaua kikatili raia wasio na Hatia?unajua vile kina mama,watoto,wazee,na wagonjwa wanavyoteseka?anyway unaweza kuwa right kwa maoni
Jessica hijawahi kuwa suluhishoHao Raia wanaopigania gesi,kuchinja Raia wenzao kama wanyama ndo gesi haitatoka?bro unaongea nini sasa?wangekuwa na akili si wangepigana na viongozi wao vilaza walioingia mikataba ya kishenzy au wangepigana na hao tunaowaita mabeberu?unajua namna gani wanaua kikatili raia wasio na Hatia?unajua vile kina mama,watoto,wazee,na wagonjwa wanavyoteseka?anyway unaweza kuwa right kwa maoni yako
Watu wanapigania rasilimali zao, sie tunaenda kuwaongezea machungu walipigana kumwondoa mreno wakaleta mreno mweusiUliza wewe mkuu hata isipotoka wataivua kama samaki ili wale?labda atatuambia hao raia wakiachiwa hyo gesi wataifanya soft drink tuwe tunakunywa!!
Unasema "ninawaza 'in linear mode'"; lakini nikiangalia majibu yako hayana 'logic' yoyote ndani yake!Unfortunately
unawaza in linear mode
tafuta any general wa JW kesho akupe shule ya nini tumefanya
mengine haya naona ni kama zile mbio zenu za kudai dsmokrasia kupitia chama kisicho na demokrasia
kazi ya last year November ni zaidi ya sweeping
Hivi kipindi kile Wana Mtwara wanasema gas yao haitoki waliua watu wangapi na waliteka maeneo mangapi huko Mtwara?Watu wanapigania rasilimali zao, sie tunaenda kuwaongezea machungu walipigana kumwondoa mreno wakaleta mreno mweusi
Haki ya mama sijaelewa umeandika niniUnasema "ninawaza 'in linear mode'"; lakini nikiangalia majibu yako hayana 'logic' yoyote ndani yake!
Kwa hiyo, niwe ninawaza in 'linear mode' or in whatever mode, sioni chochote cha kuwaza katika unayoandika hapa ila unazungukazunguka tu ukidhani unaojibishana nao wamepungukiwa kichwani kama unavyoonekana kuwa na upungufu huo.
Kwa mfano: hili na "mengine haya ni kama zile mbio zzenu za kudai dsmokrasia kupitia chama kisicho na demokrasia" yanahusiana vipi na haya tunayojadili hapa ndani ya mada hii!
Kama unataka tujadili hili, sema tugeukie huko, kwa sababu sioni uwezo ulionao kueleza mapungufu yanayokikabili chama cha CCM kama kilivyo sasa hivi.
"Kazi ya last year November ni zaidi ya sweeping"; halafu hapo hapo hao waliokuwa wamefagiliwa mbali wanateka miji? Unayo akili timamu wewe?
Usitafute kupotosha kitu kisichokuwepo.Haki ya mama sijaelewa umeandika nini
punguza hasira Mzee mwenzangu ukisoma Kwa urio utaelewa tu kuhusu our role (which you tried to downplay it) kule msumbiji
maybe sababu ya umri, na linear thinking yako naweza kupanga Mkoli go wa matukio kama ifuatavyo
1. Before Sisi kwenda - wapi ila mipaka na kuua watu wetu na kuteka , Bahati mbaya wakija hadi askari wetu
2. Baada ya hilo and a few formal communications - jeshi letu likavuka kwenda kufanya kazi ya kuwatandika … na walipigika mno (zaidi ya sweeping)
3. Baada ya hapo kukaa na zoezi la pamoja under sadc coordination ammbapo mataifa mengi yalishiriki, including walio nje ya saec
kuhusu kuwa na Akili timamu au la ntaacha ukitulia ujijibu mwenyewe
Punguza hasira mkuu, utaitwa a Moyo wako bure
kula vizuri, Fanta mazoezi, elewa kiasi tu na usiweke sana hizi posts to heart zitakupa sonona
In linear wayUsitafute kupotosha kitu kisichokuwepo.
Hakuna mahali popote ninapo"down play our role", ambayo haipo! Ninafahamu na wala sihoji uwezo wa vijana wetu. Wakipewa kazi sina shaka na kazi yao.
Tatizo lililopo, ni watu kama wewe, na hao walioko huko serikalini na ndani ya chama cha CCM. Ubovu wenu mwishowe mtauhamishia kwa vijana hawa na mwishowe nao kazi zao zianze kuwa za mashaka.
Tukiendelea na ubabaishaji kama unaojionyesha sasa hivi dhahiri na viongozi hawa miaka minne hii inayofuata, si vigumu kuona maeneo ya kutegemewa kama hii taasisi ya walinzi wa nchi yetu na yenyewe ikaguswa na kuwa ya ubabaishaji, kama unavyoonyesha wewe mwenyewe hapa.
Kiufupi, kuhusu maneno ya mwisho katika mstari wako wa mwisho ni kwamba: Wherever Tanzania is concerned, I will have no regrets to expressing my feelings towards her no matter what.