Tanzania kujipatia faida ya asilimia 60 nayo Uganda ikipata asilimia 40 kutokana na uwekezaji wa mafuta

Nirahisi sana kujua hii, sijui watu wanajitoa akili makusudi ama vipi.

Ni sawa na doctor mwenye preconceived diagnosis; anakuambia mgonjwa fulani ni HIV positive hata kabla hajamuona mgonjwa mwenyewe na kumfanyia vipimo! ...And those are the self-proclaimed great thinkers of this platform. Afadhali idealistic operations zao ziendelee kuwa nyuma ya keyboard, kwa sababu they aren’t positioned to solve any real problem!
 
Ulistahili uwepo shuleni ukifundisha,tena hizi ghali za st!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeamua kuwazushia wakubwa hawa, una makusudi yako naona, hawawezi kusema uwongo wa namna hiyo. yaani uganda mafuta ni yake halafu ampe tanzania faida kubwa inawezekana hukuelewa labda unaoengelea gharama na mapato ya usafirishaji, kwenye urefu bora hata usingeandika yapo yana km zaidi ya elf4 we unatuletea km1145 ndio liwe refu zaidi duniani!!!! kama ni kampeini umeharibu
 
yes mleta uzi angefafanua na hayo tungemwelewa lakini kwa jinsi alivyotupia lazima aulizwe maswali mengi au akejeliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…