Tatizo letu ni tabia ya kufikia conclusion bila ya kuwa na all relevant facts mezani. Unazijua responsibilities (obligations) za kila upande, kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa? Unajua jukumu la protection, upkeep ya miundo mbinu ni la nani? Unajua hiyo inayoitwa “faida” inakokotolewaje?
Yapo majukumu ambayo akibebeshwa anayelipwa 60% anaishia kuambulia pesa ya mboga na sana sana indirect benefit inayotokana na watu wake (host) kunufaika kwa namna moja au nyingine!