Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Ukitaka kuendana na Mabeberu usiwabane kwenye issues zao. Uta enjoy sana. Na watakwambia hata uchumi wako umepanda kwa kasi sana. Hili linajulikana kwa watu wenye akili. Hata akina Mobutu walisifiwa sana miaka yao.Daaah,
Ila uongozi wa huyu Mama mambo yananyooka sana aise,
Marekani haijawahi kuipigia debe Tanzania kwa kiasi hiki,Wanamchukia huyu mama hawajui Dunia inaendaje leo