Daaah,

Ila uongozi wa huyu Mama mambo yananyooka sana aise,
Marekani haijawahi kuipigia debe Tanzania kwa kiasi hiki,Wanamchukia huyu mama hawajui Dunia inaendaje leo
Ukitaka kuendana na Mabeberu usiwabane kwenye issues zao. Uta enjoy sana. Na watakwambia hata uchumi wako umepanda kwa kasi sana. Hili linajulikana kwa watu wenye akili. Hata akina Mobutu walisifiwa sana miaka yao.
 
Mkuu mama sio wa mchezo mchezo ni vitendo tuu .

Samia yuko kazini 👇

Screenshot_20220117-103127.png


Screenshot_20220117-103137.png
 
Daaah,

Ila uongozi wa huyu Mama mambo yananyooka sana aise,
Marekani haijawahi kuipigia debe Tanzania kwa kiasi hiki,Wanamchukia huyu mama hawajui Dunia inaendaje leo
Chuki ni kwa sababu ya jinsia yake. Wameshajiwekea vichwani mwao kwamba alikuwa msaidizi wa JPM basi wanamlinganisha na hayati ili waone kama kweli ofisi ameiweza.

Wamekariri aina ya uongozi wa JPM kwamba ndio wa huyu mama. Kwao JPM ndio kila kitu linapokuja suala la maana ya uongozi. Mama anao mtindo wake wa uongozi wenye kutofautiana na wa mtangulizi wake na unaleta matunda mazuri kwa nchi anayoiongoza.
 
Daaah,

Ila uongozi wa huyu Mama mambo yananyooka sana aise,
Marekani haijawahi kuipigia debe Tanzania kwa kiasi hiki,Wanamchukia huyu mama hawajui Dunia inaendaje leo
Yule bwan wa O
Ile filamu alikua nae kila sehemu Katka filamu ile
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
Kazi nzuri mno hii,
 
TheGrio ya Marekani waitaja nchi ya Tanzania kuwa miongoni mwanchi tano zinazofaa zaidi kwa utalii 2022 barani Africa wakati wa kipindi cha baridi,

TheGrio, Chaneli maarufu zaidi nchi Marekani wakitumia Mbuga ya Serengeti, bichi mbalimbali visiwani Zanzibar na makumbusho mbalimbali wameihakikishia Dunia kuwa Tanzania ni sehemu salama na inavutia zaidi Africa kwa Kutalii hasa wakati wa baridi,

TheGrio wamekanusha tishio la Usalama kwa watalii na kuihakikishia dunia kuwa Tanzania ni Salama zaidi kwa Utalii Barani Africa ikiwa ni pamoja na Morocco, Nigeria, Africa Kusini na Misri,Heko Rais Samia Suluhu kwa "Royal Tour "

TheGrio wameendelea kuwashawishi Wamarekani na nchi mbalimbali kuwa wafikapo Tanzania watakutana na Serengeti na wataona "The Big five " yaani tembo,twiga,Faru,Nyumbu,Simba na Chui,Hakika jina la Tanzania nje linang'aa Sana tuendelee kuchapa kazi,



<<Unaweza kusoma pia hapa chini>>

WORLD TRAVEL AWARDS WAITAJA TANZANIA KUWA NCHI YA KWANZA AFRICA KWA UTALII

===​

Katika ripoti yake iliyotoka mwishoni mwamwaka wa jana 2021 World Travel Awards ( WTA ) wameitaja nchi yetu ya Tanzania kuwa ndio nchi bora kabisa kwa Utali barani Africa mwaka 2021|22​


Tanzania tumepata nafasi hii ya kwanza baada ya kuzipiku nchi nyingine kumi na mbili ( 12 ) tulizopambanishwa nazo nchi hizo ni SA,Nigeria,Ghana,Misri,Morocco,Namibia,Botswana,Kenya,Rwanda,Uganda,Msumbiji na Zambia,

WTA ni taasisi inyojishughulisha na utafiti na kutoa zawadi kwa nchi,Mtu au taasisi binafsi zinazofanya vizuri zaidi katika nyanja za Utalii, Usafiri wa anga, Hoteli na huduma nyinginezo za kijamii,

Tanzania hasa baada ya ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa ikifanya vizuri Sana katika sekta hii ya Utali hasa baada ya kipindi kifupi Cha mieizi hii michache Rais Samia Suluhu Hassan watalii wameongezeka kwa asilimia 338.

Mfano tu,Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

==============================​

Tanzania voted 2021 Africa leading travel destination ahead of South Africa, Nigeria, Rwanda and Egypt​


Summary
  • Tanzania was voted Africa's leading destination in the 2021 World Travel Awards (WTA).
  • World Travel Awards is the travel industry's most prestigious awards programme, rewarding leaders in the tourism, airline, hotel and hospitality sectors.
  • Tanzania has been nominated in the African leading travel destination since 2018
Tanzania has been voted as Africa's leading travel destination ahead of South Africa, Nigeria, Rwanda and other countries of the continent.

Tanzania was voted Africa's leading destination in the 2021 World Travel Awards (WTA).

World Travel Awards is the travel industry's most prestigious awards programme, rewarding leaders in the tourism, airline, hotel and hospitality sectors.

READ MORE: UK to review ban on travellers from Africa today

World Travel Awards gala ceremonies are regarded as milestone events in the travel calendar, attended by the industry's key decision-makers, figureheads, influencers and media.

The programme, its winners and its sponsors are represented globally on social media, with fresh daily content across multiple platforms.

"World Travel Award celebrates its 28th anniversary year in 2021. Its annual programme is renowned as the most prestigious and comprehensive in the global industry.

Each year World Travel Awards covers the globe with its Grand Tour – a series of regional gala ceremonies to recognise excellence within each continent, culminating in a Grand Final at the end of the year," a statement on its website said.

The WTA received nominations of different countries on different categories on the global scale.

In Africa, a host countries were nominated for leading travel destination category, Tanzania, however, won the award.

Here are the nominated countries;
  • Botswana
  • Egypt
  • Ghana
  • Kenya
  • Morocco
  • Mozambique
  • Namibia
  • Nigeria
  • Rwanda
  • South Africa
  • Uganda
  • Zambia

Awesome
 
Back
Top Bottom