Tanzania inazidi kuchafuka kimataifa!!

Tanzania inazidi kuchafuka kimataifa!!

Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!

Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.

Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.

Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!

Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.

Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

View attachment 3354924
Mama anaupiga mwingi sana.
 
Bado bado, inabidi zifume sanaaa zaidi ya hapa.......polisi wakoleze moto zaidi *****. Yani huu mwaka tunataka mpaka yule bimdala aone kiti kichungu
 
Tokea nchi ipate uhuru hatujawahi kuwa utawala wa kikatili kama huu, kibibi hiki kinafanya ukatiki huku kikiiba mali za nchi na hakifanyi maendeleo yoyote.
The funny part bungeni wanashauri Doto Magari and the likes ndiyo wawe wasemaji wa nchi kumlinda huyo Chura Kiziwi.
Kabendera ameeleza katika kitabu chake pendwa kuwa magu ametoa 10 mil na kumfyatua saa nane ikulu ambapo mnaita wenyewe mahala matakatifu mungu wako magufuli ameuwa ndani ya ikulu.. samia na ukatili wake hajawahi kuinajisi ikulu mazeee.
 
na wameshasema wanawashitaki na hadi ICC mama yenu atashtakiwa
Labda ICC ya Kibera
Nimefanya facts check kwa kutumia various platform
- kwanza hakuna mahali tz, popote pale tanzania walikuja ku promoto mapenzi ya jinsia moja
-pili kulala serena hotel si jambo jipya, viongoz wa nchi hii huwa wanafanya hivyo, na huitaji kuwa tajiri kulala serena. Mtu wa kawaid aukijipanga vizuri unalala . Mtoa mada uache ushamba
Tafuta pesa kidogo

- pili hawakuwa na kosa kisheria, ndio maana hawakupelekwa mahakamani wala kufunguliwa kesi

Ilikuwa rahisi sana kuwaondoa kwa akili bila kutumia nguvu. Lakin wahusika wakakurupuka

Ndio image ya taifa imechafuka, na hapa ni mwanzo tu
Labda mumechafuka nyinyi wa mapenzi ya jinsia moja
 
Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!

Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.

Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.

Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!

Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.

Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

View attachment 3354924
TANGANYIKA YETU IMEBEMENDWA TENA IMEBEMENDWA KATIKA UMRI MDOGO MPAKA LEO HAIJAWEZA KUSIMAMA/KUJISIMAMIA
 
Tanzania sio nchi ya amani tena Tanzania ni nchi iliyojaa damu,dhulma na mateso.Atavuna alichopanda anajitengenezea anguko lake mwenyewe.
 
Tungekosea sisi Ruto asingeomba msamaha dhidi ya wale wakora kutoka Kenya. Msikilize hapa William Ruto


View: https://youtu.be/IBXn4Yd8_bM?si=LuoEtI7TidCGdRjl

Ukisikia Watanzania malaya ndiyo kama nyinyi. Mko tayati kulamba matako ya akina Boniface Mwangi na Agather kisa wanaongea English, sijui mnajisiaje

Use your common sense dude, mbona ameomba msamaha kwa Gen Z wao huko Kenya.
Hii ilikuwa ni general kwa wote ambao kwa namna moja au nyingine amewakwaza and this includes Tanzania, Uganda and Kenyan Gen Z, sasa Wabongo msivyokuwa na akili mnalichukua kitofauti kabisa just to please your wishful thoughts.
 
Back
Top Bottom