Tanzania inazidi kuchafuka kimataifa!!

Tanzania inazidi kuchafuka kimataifa!!

Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halamashauri ya kichwa chako kabla hukatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kutakuwa dispenser ya mate tu
Kuongea ni rahisi sn
 
Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!

Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.

Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.

Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!

Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.

Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

View attachment 3354924
Nasikitika sana baada ya kunyanyaswa kingono bado wakarudi salama kwao!
 
Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!

Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.

Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.

Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!

Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.

Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

View attachment 3354924
Nahisi ni moja ya sababu Makamu ameamua kustaafu kuliko kupata aibu kila kuchao
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halamashauri ya kichwa chako kabla hukatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kutakuwa dispenser ya mate tu
Mkuu kuna watu wanafanya vitu kwa passion tu sio kwa benefit yeyote ya kutegemea anything in return.

Kuna watu walitoka America kwenda Morroco kuangalia first leg ya finali ya Rs Berkane na Simba.

Sikushangai kuwa na mafikirio hayo najua ni kutokana na mfumo wetu wa kimaisha ulivyo kuwa mgumu huhusani pale tunaporejea ripoti ya BOT na makadirio ya GDP kuhusu pato la Taifa na evaluation ya pato la mtu mmoja mmoja.

Lakini ukifanya tahmini utaona hata kwenye gharama za usafiri sio kubwa kihivyo. Mfano business class ukifanya booking kwenye kwa Air Tanzania siku 10 au zaidi kabla utapata business class ya Go and return kwa Shilingi 1,243,400.00

1748982914638.png


Serena Hotel vyumba vinaanzia dola 195 sawa na 520,650 ambapo ukifanya mahesabu ya jumla pamoja na usafiri ni around 1,764,050

1748983170085.png


Sasa nirudi kwako. Kweli pesa hii ni ya ku question dhumuni la ujio wa huyu mtu kwa madai kuna ajenda ambayo ipo nyuma yake na hivyo anakuja kwa mkakati maalumu?
 
Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!

Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.

Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.

Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!

Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.

Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

View attachment 3354924
international relations ni propaganda, israel mpaka leo ni taifa teule
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halamashauri ya kichwa chako kabla hukatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kutakuwa dispenser ya mate tu
Kosa lako ni kudhani kila mtu ni masikini kama wewe, mbaya zaidi kuna watu takribani milioni 60 TZ wana akili za kimasikini kama wewe! USD 400 Serena na ndege business class ni kitu cha Kushangaza Karne Hii? 🤣
 
Hakuna activist ambaye amewahi kusimama na kufanya promotion ya LGBTIQ. They just acknowledge that we have that kind of people in our communities. Tusiwabague—ni binadamu kama binadamu wengine. Hardliners hawataki kuwa wakweli ingawa ukweli wanaujua. They’re there and have been there since time immemorial. The real question is, what do we do about them? Tuwaue wote? Kujifanya hatuna watu kama hao kwenye communities zetu ni foolishness!
Mkuu Pulchra Animo kama wewe ni mmoja wao wa wanaofukuliwa kisamvu endelea kwa raha zako. Lakini usitake kututangazia, hicho ndicho tunakataa.

Wanaume wa Kenya waliolewa na wanaume wenzao kwa mdoa rasmi mbona wanafahamika
Screenshot_20250604_073613_Chrome.jpg
 
Jione ulivyo mjinga.

Unasema hayo wakati wabunge wako wenyewe wali confirm hawa watu kuteswa hadi kusema walipaswa kufanyiwa zaidi ya hayo.
Hii siyo Jamhuri ya Mabwege kama Wakenya wanavyotaka kutuchukulia. Hii ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iheshimiwe. Kama hawawezi kutupa heshima kwa hiari, tutatumia njia yeyote ile watuheshimu.

Kama hao wanaharakati wenu watathubutu kuja tena Mahakamani kwenye kesi ya Tundu, uniite mbwa niko pale Kimara Kibo
 
Mkuu Pulchra Animo kama wewe ni mkoja wao wa wanaofukuliwa kisamvu endelea kwa raha zako. Lakini usitake kututangazia, hicho ndicho tunakataa.

Wanaume wa Kenya waliolewa na wanaume wenzao kwa mdoa rasmi mbona wanafahamika
View attachment 3355296
Umesahau kuwa yule aliyewahi kuwa mwenezi wa chama chenu na sasa hivi ni DC kule Kilosa aliwahi kuolewa kabisa huko Mombasa wakati akiwa kiongozi wa uvccm hadi akafukuzwa uanachama akaja kurudishwa na Mwenyekiti wa sasa. Huko CCM yamejaa mashoga na wasagaji.
 
Mkuu kuna watu wanafanya vitu kwa passion tu sio kwa benefit yeyote ya kutegemea anything in return.

Kuna watu walitoka America kwenda Morroco kuangalia first leg ya finali ya Rs Berkane na Simba.

Sikushangai kuwa na mafikirio hayo najua ni kutokana na mfumo wetu wa kimaisha ulivyo kuwa mgumu huhusani pale tunaporejea ripoti ya BOT na makadirio ya GDP kuhusu pato la Taifa na evaluation ya pato la mtu mmoja mmoja.

Lakini ukifanya tahmini utaona hata kwenye gharama za usafiri sio kubwa kihivyo. Mfano business class ukifanya booking kwenye kwa Air Tanzania siku 10 au zaidi kabla utapata business class ya Go and return kwa Shilingi 1,243,400.00

View attachment 3355152

Serena Hotel vyumba vinaanzia dola 195 sawa na 520,650 ambapo ukifanya mahesabu ya jumla pamoja na usafiri ni around 1,764,050

View attachment 3355154

Sasa nirudi kwako. Kweli pesa hii ni ya ku question dhumuni la ujio wa huyu mtu kwa madai kuna ajenda ambayo ipo nyuma yake na hivyo anakuja kwa mkakati maalumu?
Unepiga gharama zote, nakushukuru. Sasa huyo Agatha ni journalist tu na huyo Mwangi wanasema ni photographer.

Naomba tu uniwekee hapa vyanzo vya mapato yao ndiyo tutakuwa na informed conclusion
 
Kosa lako ni kudhani kila mtu ni masikini kama wewe, mbaya zaidi kuna watu takribani milioni 60 TZ wana akili za kimasikini kama wewe! USD 400 Serena na ndege business class ni kitu cha Kushangaza Karne Hii? 🤣
Kama siyo cha kushangaza basi na wewe weka kivuli cha tiketi yako ya kupanda ndege hapa mara ya mwisho!!

Bwege unapanda Katarama kwenda kwenu Katoro au Naliendele halafu leo unaona kupanda business class ni kitu cha kawaida
 
Umesahau kuwa yule aliyewahi kuwa mwenezi wa chama chenu na sasa hivi ni DC kule Kilosa aliwahi kuolewa kabisa huko Mombasa wakati akiwa kiongozi wa uvccm hadi akafukuzwa uanachama akaja kurudishwa na Mwenyekiti wa sasa. Huko CCM yamejaa mashoga na wasagaji.
Weka picha ya harusi/ ndoa kama niliyoweka mimi
 
Back
Top Bottom