Tanzania inazidi kuchafuka kimataifa!!

Tanzania inazidi kuchafuka kimataifa!!

Hii siyo Jamhuri ya Mabwege kama Wakenya wanavyotaka kutuchukulia. Hii ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iheshimiwe. Kama hawawezi kutupa heshima kwa hiari, tutatumia njia yeyote ile watuheshimu.

Kama hao wanaharakati wenu watathubutu kuja tena Mahakamani kwenye kesi ya Tundu, uniite mbwa niko pale Kimara Kibo
Ndo limeshafika kimataifa sasa. Mnatesa na kunyanyasa kingono watu. Jiandaeni kuchukuliwa hatua kali.
 
"Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu"
[/QUOTE]
Neno jipya kabisa na limetumika kwa mtu sahihi
 
Mambo mengine ni kutofikiri vizuri tu. Kama kweli walidhani ni watu hatari kwa nini wasingewarudisha makwao tu bila kuwatesa? Au kama wangewakataza tu kuingia nchini wakaishia uwanja wa ndege kama walivyofanya kwa Martha Karua na jopo lake wangepungukiwa na nini?
 
Unepiga gharama zote, nakushukuru. Sasa huyo Agatha ni journalist tu na huyo Mwangi wanasema ni photographer.

Naomba tu uniwekee hapa vyanzo vya mapato yao ndiyo tutakuwa na informed conclusion
Kwamba taaluma zao haziwatoshi kumiliki kiasi hicho yani Milioni 1 na laki saba?
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla hujatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu
Jaribu kuficha umaskini wako sio kila mtu anaona $400 ni kubwa
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla hujatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu
Acha kupenda kuliwa ubwabwa wewe. Kwa hiyo hizi gharama za chumba cha USD 400 per night, ziliwekwa kwa ajili ya akina nani sasa ? Wakati hizo hela apa bongo wapo watu wanaweza kumudu kulala hata kwa siku 4.
 
Mambo mengine ni kutofikiri vizuri tu. Kama kweli walidhani ni watu hatari kwa nini wasingewarudisha makwao tu bila kuwatesa? Au kama wangewakataza tu kuingia nchini wakaishia uwanja wa ndege kama walivyofanya kwa Martha Karua na jopo lake wangepungukiwa na nini?
OVERNIGHT: Human Rights Foundation calls on UN Special Rapporteur on Torture to investigate Tanzania for cruel, inhuman, or degrading treatment after harrowing stories of sexual abuse while in detention by activists Boniface Mwangi and Agather Atuhaire
 
Wakati enzi zile yule bwana alifanya mambo yanayofanana kama hayo na wewe ulikuwa mstari wa mbele ukisema ananyosha nchi na victims mliwaita wajinga na wamejitakia.

Sometimes haya mambo bwana mpaka yakukute ndio utaelewa.
Vitu vilivyoonekana sawa jana vinaweza kuonekana vibaya leo kutokana na athari zake au namna vilivyotekelezwa.
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla hujatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu
If someone travels to support a fellow activist like Tundu Lissu in court, it doesn’t automatically mean there’s a hidden LGBTIQ agenda behind it.

ukisema kila anayetetea haki ana ajenda fiche, tunatengeneza mazingira ya woga na kuua uhuru wa kusema. That is how authoritarianism creeps in—by labeling dissent as foreign-influenced or evil.

suala la usafiri wa Business Class au kulala hotelini kwa gharama ya juu si hoja yenye uzito wa kimaadili kama hakuna ushahidi kuwa fedha hizo zimetoka kwa njia ya kifisadi au kwa matumizi yasiyo halali. Kuna watu wengi wanaofadhiliwa kisheria au kwa misingi ya kazi zao. Hii siyo sababu ya kupunguza uhalali wa hoja zao.

Kuwapinga watu kama Boniface Mwangi na Agatha Athuhire kwa tuhuma zisizo na ushahidi ni kushindwa kwa hoja. Tujikite kwenye substance ya wanachosema badala ya kuangalia nani kawatuma au walilala wapi. Mbona viongozi wetu wanalala hotels za $1000 per night bila hata kuwajibika kwa wananchi, hatulalamiki?
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla hujatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu
uliyoyasema hayahalalishi kuteswa na kudhulumiwa kingono

kama mna hoja si mna mahakama zenu, muwashitaki!
 
1749026061837.jpg
 
Nasikitika sana baada ya kunyanyaswa kingono bado wakarudi salama kwao!
Kuishi baada ya janga si ushahidi kuwa hakuna janga lililotokea. Unyanyasaji wa kingono huacha majeraha ya ndani yasiyoonekana kwa macho, na maumivu yake hayawezi kupimwa kwa hali ya mtu kurudi nyumbani salama.
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla hujatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu
Hii aina ya reasoning ni hatari sana! Critical thinking is thinking about one's own thinking!
 
Kama siyo cha kushangaza basi na wewe weka kivuli cha tiketi yako ya kupanda ndege hapa mara ya mwisho!!

Bwege unapanda Katarama kwenda kwenu Katoro au Naliendele halafu leo unaona kupanda business class ni kitu

Kama siyo cha kushangaza basi na wewe weka kivuli cha tiketi yako ya kupanda ndege hapa mara ya mwisho!!

Bwege unapanda Katarama kwenda kwenu Katoro au Naliendele halafu leo unaona kupanda business class ni kitu cha kawaida
Ninapoishi mimi situmii VPN kuingia X na majira haya jua linazama 21:00 , naomba niishie hapa.
 
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla hujatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu
Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.

Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??

Jaribu mkuu kushirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla hujatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kitakuwa dispenser ya mate tu
Nyie wajinga mmoja mmoja ndiyo mnaharibu hili Taifa Kila kitu Kiko wazi usikute nyie ndiyo mnamdanganya Mama wa watu,Kila binadamu anakosea ukijua Kuna sehemu umekosea ni rahisi kusahihisha,Mama hao inner Circle yako anza kuwaza tofauti jinsi ulivyokuwa unawaona mwanzo.
 
Ndo limeshafika kimataifa sasa. Mnatesa na kunyanyasa kingono watu. Jiandaeni kuchukuliwa hatua kali.
Mataifa gani hayo unayoyaogopa? Haya yanayofadhili shughuli za ushoga?
Kwamba taaluma zao haziwatoshi kumiliki kiasi hicho yani Milioni 1 na laki saba?
Kuja kusikiliza kesi ya Tundu tu? Are you okay kwenye brain yako?
 
Back
Top Bottom