Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,536
- 6,561
Kutoka Tanzania kisiwa cha amani
Sasa kisiwa cha kubaka
Sasa kisiwa cha kubaka
Steve Nyerere na machawa wenzako mpelekeeni huu ujumbe Mama yenu, analihaibisha taifa.Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!
Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.
Habari za Agatha na Boniface kuteswa kijinsia zimeshavuka mipaka ya Tanzania.
Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!
Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.
Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
View attachment 3354924
RabaikaSamia afukuzwe Tanganyika
😆kila mahali upoHatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.
Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??
Jaribu mkuu kushirikisha halamashauri ya kichwa chako kabla hukatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kutakuwa dispenser ya mate tu
Una hakika ni mtu mzima?Utu uzima sio umri.Ada ya mja hunena muungwana ni kitendo.Mbona unatukana na utu uzima wako wote?
Watu wengi hawaijui nchi yao vizuri wanapelekwa tu na wanaharakati uchwara.Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.
Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??
Jaribu mkuu kushirikisha halamashauri ya kichwa chako kabla hukatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kutakuwa dispenser ya mate tu
Kwa umri mtu mzima maana tangu 2006 yuko humu lakini kwa tabia ni katoto.Una hakika ni mtu mzima?Utu uzima sio umri.Ada ya mja hunena muungwana ni kitendo.
hayupo duniani wa kuichafua Tanzania ikachafuka zaidi ya kujichafua waropokaji wenyewe gentleman 🐒Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!
Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.
Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.
Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!
Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.
Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
View attachment 3354924
Jione ulivyo mjinga.Hatuwezi kuchafuka kamwe kwa sababu ya hawa akina Boniface Mwangi na Agatha Athuhire. Hawa ni mawakala wa OSF ya George Soros na Ford Foundation ambazo ndizo zinawapa fedha ku promote LGBTIQ kwa kivuli cha human rights.
Hivi jiulize ni kwa mapenzi gani raia wa Kenya na Uganda anaweza kusafiri Business Class kwenye ndege na kulala Serena Hotel chumba cha USD 400 per night, kisa kuhudhuria kesi ya Tundu??
Jaribu mkuu kushirikisha halamashauri ya kichwa chako kabla hukatetea mada yako. Otherwise kichwa chako kutakuwa dispenser ya mate tu
hayupo duniani wa kuichafua Tanzania ikachafuka zaidi ya waropokaji kujichafua wenyewe na njaa zao gentleman 🐒Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!
Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.
Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.
Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!
Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.
Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
View attachment 3354924
Unasema hayo wakati wabunge wenu wali confirm live hawa watu kuteswa hadi kusema walipaswa kufanyiwa zaidi ya hayo.hayupo duniani wa kuichafua Tanzania ikachafuka zaidi ya kujichafua waropokaji wenyewe gentleman 🐒
script ya upotoshaji ya mwangi kaiandaa maria Sarungi 🐒Unasema hayo wakati wabunge wenu wali confirm live hawa watu kuteswa hadi kusema walipaswa kufanyiwa zaidi ya hayo.
Unategemea nini low IQ tena sagaji linapoongoza nchi. Huyu msagaji anailetea mabalaa Tanzania.Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!
Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.
Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.
Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!
Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.
Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
View attachment 3354924
Hapo bado Gwajima hajatrend kimataifa.Zile habari za Tanzania ni kisiwa cha amani, sasa kwisha!
Siku hizi kwenye news bulletins na headlines za kimataifa, tunatajwa kuhusiana na utekaji, uuaji, uminywaji wa demokrasia, na upumbavu unaofanana na hayo.
Habari za Agatha na Boniface kuteswa kingono zimeshavuka mipaka ya Tanzania.
Sifa ya nchi ishachafuka na watawala wamekuwa mabubu!
Leo tumezungumziwa hivi na Firstpost:
==============
Wanaharakati wawili kutoka Kenya na Uganda wameibuka hadharani wakitoa madai ya kusikitisha kuhusu ukatili wa kingono waliodai kufanyiwa walipokuwa kizuizini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Wanasema walikamatwa baada ya kuonyesha uungwaji mkono kwa kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini.
Kwa mujibu wa wanaharakati hao, walitekwa kutoka katika vyumba vyao vya hoteli, wakawekwa chini ya ulinzi mkali, na kuhojiwa kwa muda mrefu huku wakikumbana na vipigo na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa maafisa wa usalama wa Tanzania. Maelezo yao yanatisha na yanaonyesha hali ya kuvunjwa kwa haki za binadamu na ukandamizaji wa kisiasa unaozidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
View attachment 3354924