Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,499
- 113,609
Kwa vile umeanza na tetesi, then prove!."Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"
Mimi kwa upande wangu, naiona hii story yako to be too good to be true!.
Taarifa ya TRA from time to time, inaonyesha makusanyo yote ya kodi na mapato mengine yote yanawekwa mfuko mkuu hazina, bajeti yote ya serikali inapelekwa bungeni na CAG anafanya ukaguzi. Hakuna hata maramoja Tanzania tumewahi kuwa na budget self sufficient, kila siku tunatengeneza bajeti tegemezi kwa mikopo, grants na misaada, hivyo ingekuwa ni kweli kuna haya malipo ya siri to that extent, tungeona na tusingekuwa tunakopa hivi tunavyokopa!.
Anyway, asante for food for thought kuhusu helium.
P