Ninaumia moyo kila ninaposikia serikali ya Tanzania imeagiza ndege mpya ya biashara

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,132
Wiki ijayo tunapokea ndege nyingine ya fedha nyingi sana ambayo itaungana na ndege zingine za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).

Ununuzi wa ndege za mabilioni si tatizo, tatizo ni pale tumeruka hatua muhimu. Tulipaswa kutatua masuala ya maji, umeme, elimu, na afya kwanza kabla ya kufikiria kununua ndege.

Inafika wakati ambapo viongozi na waalikwa katika sherehe za kupokea ndege wanafananishwa na watu wasio na akili. Shule nyingi zina madarasa yanayoonekana kama maghala au mabanda ya kuhifadhi mkaa.

Vyoo na madarasa ambayo serikali inajivunia mtandaoni ni msaada wa COVID-19. Ni vipi tunafanya mambo muhimu kwa msaada halafu pesa zetu zinanunua ndege za mabilioni?

Choo cha shule kinajengwa kwa msaada. Je, unajenga choo kwa msaada na bado unataka sifa mara tatu? Leo hii, matibabu ya wazee na watoto ni bure lakini wanapata tu vipimo na wanapewa Panadol na Aluu, halafu wanatakiwa kununua dawa nyingine dukani.

Hali hii itaendelea hadi lini?

Kwa sasa, tuache masuala ya ndege kwa mashirika binafsi. Tutatue kwanza suala la vyoo shuleni na katika zahanati. Kuna choo kimoja karibu na mahakama, kinafunguliwa na msimamizi, ukiona unahitaji kwenda, lazima ulipe.

Bei ya Boeing 737-9 Max sokoni ni kubwa sana. Fedha hizo zingeweza kutumika kujenga madarasa ya kisasa bila kikomo. Watoto wakiwa darasani, wanaweza kufikiria wako chooni. Madarasa ni mabovu, na ofisi za walimu katika shule za umma zina mashimo ya kutosha.
Screenshot_20240323-132343.jpg
 
Wewe kuumia moyo haitasaidia kitu.

Na hakuna wakumlaumu zaidi yako mwenyewe, actually sisi wananchi wajinga,

Ngoja nikuambie kitu.

Watanzania kukosa maji au matibabu au hata msosi hiyo ni jambo la kawaida.

Watanzania wameishi maisha ya shida angali wakiwa wadogo na wamezoea hivyo kwahiyo kukosa hizo huduma ulizosema kamwe haziwezi kutushtua.

Hao unaowaita viongozi ni upande mmoja tu.

Ukitaka kumpata mtu wakumlaumu ingia chumbani kwako tazama kwenye kioo. Utamwona.
 
Wewe kuumia moyo haitasaidia kitu.

Na hakuna wakumlaumu zaidi yako mwenyewe, actually sisi wananchi wajinga,

Ngoja nikuambie kitu.

Watanzania kukosa maji au matibabu au hata msosi hiyo ni jambo la kawaida.

Watanzania wameishi maisha ya shida angali wakiwa wadogo na wamezoea hivyo kwahiyo kukosa hizo huduma ulizosema kamwe haziwezi kutushtua.

Hao unaowaita viongozi ni upande mmoja tu.

Ukitaka kumpata mtu wakumlaumu ingia chumbani kwako tazama kwenye kioo. Utamwona.
Good point ila umetaiti sana mkuu, umeficha marking scheme, toa basi hata one clue mf sisi ni wajinga because hatupigi kura au sisi wajinga na tujilaumu wenyewe kwa kukwepa kuandamana etc , au ulikuwa una maana gani?
 
itasaidia kurahisisha usafiri na usafirishaji, kuimarisha biashara na safari za watalii kutoka sehemu mbalimbali duniani. Ni mategemeo pia itachochea kuongeza pato la Taifa na ukuaji wa uchumi wa nchi 🐒
 
Wiki ijayo tunapokea ndege nyingine ya fedha nyingi sana ambayo itaungana na ndege zingine za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).

Ununuzi wa ndege za mabilioni si tatizo, tatizo ni pale tumeruka hatua muhimu. Tulipaswa kutatua masuala ya maji, umeme, elimu, na afya kwanza kabla ya kufikiria kununua ndege.

Inafika wakati ambapo viongozi na waalikwa katika sherehe za kupokea ndege wanafananishwa na watu wasio na akili. Shule nyingi zina madarasa yanayoonekana kama maghala au mabanda ya kuhifadhi mkaa.

Vyoo na madarasa ambayo serikali inajivunia mtandaoni ni msaada wa COVID-19. Ni vipi tunafanya mambo muhimu kwa msaada halafu pesa zetu zinanunua ndege za mabilioni?

Choo cha shule kinajengwa kwa msaada. Je, unajenga choo kwa msaada na bado unataka sifa mara tatu? Leo hii, matibabu ya wazee na watoto ni bure lakini wanapata tu vipimo na wanapewa Panadol na Aluu, halafu wanatakiwa kununua dawa nyingine dukani.

Hali hii itaendelea hadi lini?

Kwa sasa, tuache masuala ya ndege kwa mashirika binafsi. Tutatue kwanza suala la vyoo shuleni na katika zahanati. Kuna choo kimoja karibu na mahakama, kinafunguliwa na msimamizi, ukiona unahitaji kwenda, lazima ulipe.

Bei ya Boeing 737-9 Max sokoni ni kubwa sana. Fedha hizo zingeweza kutumika kujenga madarasa ya kisasa bila kikomo. Watoto wakiwa darasani, wanaweza kufikiria wako chooni. Madarasa ni mabovu, na ofisi za walimu katika shule za umma zina mashimo ya kutosha.
View attachment 2942533
Moja ya matamanio ya Mama ni kuwa air hostess
Kwa hiyo tutegemee anga kufunguka Sana
Kila MTU apambanie ndoto zake 😄😄😄
 
Ni kweli, ndege ya pili aina ya B737-9Max inaweza kukabidhiwa kwa ATCL wakati wowote ingawa imechelewa.

B787-8 moja tangu mwaka jana iko parking Malaysia. Bombardier Q300 Iko parking Malta, wakati Airbus 220-300 ni moja au mbili tu zinazofanya kazi iliyokusudiwa, nyingine ziko parking au matengenezoni.

Najiuliza tu kama tuna kazi ya kununua ndege zifike hadi mia huku zikitumika zaidi kwenye ziara za viongozi ughaibuni? 😲
 
Wewe kuumia moyo haitasaidia kitu.

Na hakuna wakumlaumu zaidi yako mwenyewe, actually sisi wananchi wajinga,

Ngoja nikuambie kitu.

Watanzania kukosa maji au matibabu au hata msosi hiyo ni jambo la kawaida.

Watanzania wameishi maisha ya shida angali wakiwa wadogo na wamezoea hivyo kwahiyo kukosa hizo huduma ulizosema kamwe haziwezi kutushtua.

Hao unaowaita viongozi ni upande mmoja tu.

Ukitaka kumpata mtu wakumlaumu ingia chumbani kwako tazama kwenye kioo. Utamwona.
Ahahahah 😂😂😂😂
Sasa nijilaumu kwa lipi?
Je , sikupiga kuwa?
Je, sikusoma?
Je, kosa langu ni lipi?
 
Hopeless leadship, hopeless leaders
Ni kweli, ndege ya pili aina ya B737-9Max inaweza kukabidhiwa kwa ATCL wakati wowote ingawa imechelewa.

B787-8 moja tangu mwaka jana iko parking Malaysia. Bombardier Q300 Iko parking Malta, wakati Airbus 220-300 ni moja au mbili tu zinazofanya kazi iliyokusudiwa, nyingine ziko parking au matengenezoni.

Najiuliza tu kama tuna kazi ya kununua ndege zifike hadi mia huku zikitumika zaidi kwenye ziara za viongozi ughaibuni? 😲
 
Wiki ijayo tunapokea ndege nyingine ya fedha nyingi sana ambayo itaungana na ndege zingine za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).

Ununuzi wa ndege za mabilioni si tatizo, tatizo ni pale tumeruka hatua muhimu. Tulipaswa kutatua masuala ya maji, umeme, elimu, na afya kwanza kabla ya kufikiria kununua ndege.

Inafika wakati ambapo viongozi na waalikwa katika sherehe za kupokea ndege wanafananishwa na watu wasio na akili. Shule nyingi zina madarasa yanayoonekana kama maghala au mabanda ya kuhifadhi mkaa.

Vyoo na madarasa ambayo serikali inajivunia mtandaoni ni msaada wa COVID-19. Ni vipi tunafanya mambo muhimu kwa msaada halafu pesa zetu zinanunua ndege za mabilioni?

Choo cha shule kinajengwa kwa msaada. Je, unajenga choo kwa msaada na bado unataka sifa mara tatu? Leo hii, matibabu ya wazee na watoto ni bure lakini wanapata tu vipimo na wanapewa Panadol na Aluu, halafu wanatakiwa kununua dawa nyingine dukani.

Hali hii itaendelea hadi lini?

Kwa sasa, tuache masuala ya ndege kwa mashirika binafsi. Tutatue kwanza suala la vyoo shuleni na katika zahanati. Kuna choo kimoja karibu na mahakama, kinafunguliwa na msimamizi, ukiona unahitaji kwenda, lazima ulipe.

Bei ya Boeing 737-9 Max sokoni ni kubwa sana. Fedha hizo zingeweza kutumika kujenga madarasa ya kisasa bila kikomo. Watoto wakiwa darasani, wanaweza kufikiria wako chooni. Madarasa ni mabovu, na ofisi za walimu katika shule za umma zina mashimo ya kutosha.
View attachment 2942533
Hiyo mikataba alishasaini yule mbwa aliyekufa na akala cha juu,tuko katika utekelezaji tu, SSH wala asilaumiwe
 
Back
Top Bottom