KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Hapa hujanyoosha popote juu ya "upotoshaji" unaodai mleta mada anaufanya. Badala yake unabwabwaja mambo tofauti kabisa!Umeandika pumba tupu na katika hilo swala la helium hujui chochote
Kwa taarifa yako tu ipo kiasi cha futi cubic 54 billion ambazo kwenye soko la dunia huo mzigo ni kama trillion 10 hivi hapo hajaingia mkataba na wamiliki wa kitalu kutoa gharama za utafutaji na uchimbaji unakuja potosha umma hapo hizi akili za nyumbu wa DJ
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukuweka chochote kinachoonyesha upotoshaji ni upi, na ukweli ni upi. Mmesoma shule za wapi kiasi hata kuelewa mada mnashindwa?
Hivi nyinyi walevi mnatokea wapi?