Miaka yake 25 ya utumishi katika baraza la mawaziri ebu tuone kama kuna mtanzania ambaye anaweza kumfikia hata robo ya records alizojiwekea...
Huwezi kuongea kuhusu barabara ukamwacha JPM pembeni, na tukumbuke ni yeye aliyesema hadharani tutaendesha taxi kutoka Mtwara mpaka Bukoba...Ile ilani aliyopewa pamoja na kuwa si yeye aliyoiandika kila sentensi na ahadi aliyoisema aliitekeleza.... Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania vitu kweli vikaonekana kwa macho na ahadi kutekelezeka japo wengi tulizoea maneno ya kisiasa ambayo tuliaminishwa hata yasipotekelezwa hakuna wa kuhoji...
Pamoja na yote hayo bado kuna watu wanatamani hizo physical foot prints zake labda ingefaa radi izipige ili tu waonyeshe kuwa hakufanya kitu.....Thats how wicked a humanbeing is;
Neno la Mungu linasema..."The heart is deceitful above all things, and desperately wicked: who can know it?" "But those things which proceed out of the mouth come forth from the heart; and they defile the man...
Watanzania time is a good healer, lets wait and see...Ipo siku nayo yaja tutamkumbuka kwa machozi na wala hatoweza kutusikia...Rest in Power Dr. John Joseph Pombe Magufuli!