La uliandika kama nabii,lakini nabii hana heshima kwao,kaenziwa UN,huku nyumbani na wengine wakipambana kupiga kiwi nyeusi kwenye reputation yake.
Wenye masikio tulisikia,wenye macho wakaona ndege alizonunua tangu ziyeyuke miaka kadhaa tangu enzi za Nyerere..
Mikataba ya madini kaifumua pamoja na vitisho vyote.
Corona akasema hakuna kuogopa tujifunze kuishi nayo kuishi nayo kama magonjwa mengine,akazifungulia shule na vyuo na maisha kuendelea kama kama kawaida.
wakati wazungu wakijifunza kuishi nayo ili maisha yaende,leo huku ndo tunatishwa tuogope corona badala ya kuogopa Malaria inayoua kila siku.
RIP Jiwe,ila tulikuelewa sana.