triumvirate
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 206
- 375
Fuata upepo hao wamejaa JF..unakovuma ndiko yuko hawathubutu kusimama dhidi ya popular opinion.. ugonjwa wa kupenda likes i guesshuyu @ Aspirin mbona anazo nyingi sana za kumtukana hayati. Usiwaamini kabisa bavicha kwenye siasa za hapa Tanzania