joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Hahahaha, lazima tuwafundishe adabu ili msijaribu kurudia ujinga, ni mwendo wa kuwachapa bakora tu. Kama mlizuia mahindi yetu kwa mwezi mmoja, sisi tunazuia gari zenu kwa miezi miwili.Hapa nyinyi ndio mnatuchokoza.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app