Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo

Kwanza ujue ukitoa SA na TZ from SADC basi nchi zingine ni utopolo tu na Kenya haifanyi trade kubwa nazo. For your info Kenya huwa haitrade sana na SADC kupitia land route. Kwa jumla trade kati ya Kenya na SADC huwa inafanyika sana through the ocean. Yaani water transportation is cheaper than land transportation. So it is cheaper for Kenya to export/import goods from SA through the Indian Ocean than through the land bridge from SA to Kenya. Road transportation is very expensive compared to water transportation. The only landlocked countries that we cannot reach by sea are Malawi, Botswana, Zimbabwe and Zambia. Kenya does very little trade with Malawi, Botswana and Zimbabwe. Trade between Kenya and Zambia is also very low. $70 million from Kenya to Zambia and $50 million from Zambia to Kenya. Soma hapa

At the moment the trade between Kenya and Zambia stands $70million worth of exports in Zambia and about $50million exports into Kenya


So Kenya haihitaji sana SADC ukitoa SA na TZ nchi zingine hazina umuhimu sana kwa Kenya kama unavyodhani wewe. Halafu umuhimu wa market ya TZ umeanza kupungua mlipoanza trade war. Saa hii TZ sio top 5 important export au import market for Kenya. Hio trade war yenu ya kijinga imepunguza umuhimu wenu kwetu. Hampo top 5 kwenye export au import market list.

Tazama top five biggest export markets for Kenya. Na source ni world bank so usilete ubishi.


Kenya top 5 Export and Import partners​


MarketTrade (US$ Mil)Partner share(%)
Uganda611 10.10
Pakistan586 9.69
United States467 7.72
Netherlands458 7.56
United Kingdom397




So kama uonavyo hapa juu Tanzania sio muhimu sana kama unavyodhani wewe. Halafu Uganda unamuona yuko nambari moja kwenye export market ya Kenya? Uganda ni muhimu sana kwetu kwa maana ananunua sana processed goods zetu.

Halafu Tanzania sio top 5 import market for Kenya so upunguze majivuno na sifa za kijinga. Nyinyi ni muhimu lakini sio muhimu kama unavyodhani wewe.

Top 5 import markets to Kenya

ExporterTrade (US$ Mil)Partner share(%)
China3,661 21.07
India1,829 10.53
Saudi Arabia1,705 9.81
United Arab Emirates1,455 8.38
Japan986 5.67




Cc Geza Ulole
Ninarudia tena kwamba, ninyi wakenya uwezo wenu wa kuekewa ni mdogo sana, uwezo wenu wa kufanya analysis ni mdogo mno. Hivi wewe unadhani umuhimu wa nchi ni katika volume of trade pekee?.

Ngoja nikuulize swali, kati ya Pskistan inayonunua chai kwa wingi toka Kenya, na Tanzania inayowauzia chakula kwa bei ndogo na mnakipata kwa wakati muafaka, ni nchi ipi ni muhimu?, japo "volume of trade in terms of cash" inaonekana ni kubwa kati ya Pakistan na Kenya, lakini Tanzania ni muhimu kwa sababu ya umuhimu wa chakula kwa Kenya ambacho ni bei nafuu na kinapatikana kwa wakati.

Kati ya UK inayonunua maua toka Kenya na ninyi mnanunua silaha na "spare parts", na Tanzania ambayo inawauzia Mali ghafi kwa ajili ya viwanda vyenu, ni nchi gani ni muhimu zaidi?, japo " raw materials" bei zake zipo chini hivyo kuonyesha kwamba volume of trade kati ya Tanzania na Kenya ni ndogo ukilinganisha na UK, lakini bila raw materials toka Tanzania, viwanda vya Kenya vitakufa kwa sababu sio rahisi Kenya kuagiza "raw materials" kama pamba, mbao, ngozi, karatasi, toka nchi za mbali.

Mwisho ni kwamba, Kenya imewekeza zaidi Tanzania kuliko nchi yoyote ile hapa duniani, makampuni ya Kenya ni takriban 600, japo uwekezaji huu hauonikani katika volume of trade, lakini ni muhimu kwa uchumi wa Kenya kuliko hizo trade kati ya Uganda na Kenya.

Vivyo hivyo kuhusu biashara na nchi za kusini mwa Africa. Historically Kenya haikuwa na mahusiano mazuri na nchi za Kusini mwa Africa kutokana na kutoshiriki kwake katika ukombozi mwa Africa, na kuegemea "western block during cold war", baada ya "cold war" kumaliza, sasa hivi Kenya inapanua masuko katika nchi za COMESA, 75% za wanachama wa COMESA ni nchi za kusini mwa Africa, ambazo nyingi ni landlocked countries, bila Tanzania Kenya haiwezi kuzifikia.

Viongozi wenu wanajua umuhimu wa Tanzania, ndio sababu walipoambiwa wachague kati ya UK au TZ, waliamua kuichagua TZ na kuachana na UK.
 
Kenya na Tz tunategemeana sana hususan upande wakenya kwasababu mnanunua matunda, mchele,mahindi na vingine kibao kutoka Tz kwa bei nafuu ambayo hamuwezi sehem nyingine yoyote hapa duniani na sisi tunawategemea kwenye makampuni yenu yanayofanya investment hapa Tz lakin nyinyi ndio mna gain sana kwenye huu ujirani kuliko sisi ndio maana serikali yenu haiwez kufanya chochote juu yetu all in all tunategemeqnaa sana ila nyinyi wenzetu mnataka kuleta ubabe ,na very soon mtaanza kununua sukari kutoka bongo kwa wing na gesi
 
Inabidi tuwawekee ngumu!
Wamekuja kupiga magoti baada ya Magari yao kufungiwa, hawa jamaa bila Tanzania hawana maisha.
Tony254,
Hamuwezi kukaa ngumu. Kenya ni kama yule msichana mpenzi wako wa kwanza uliyekuwa ukimpenda hata kushinda mke wako wa sasa. Yaani hata akikukosea unamsamehe hata kabla yeye kuomba msamaha. Tegea kesho utasikia kwamba border imefunguliwa. Mnatupenda na hilo linaonekana wazi.
 
Hamuwezi kukaa ngumu. Kenya ni kama yule msichana mpenzi wako wa kwanza uliyekuwa ukimpenda hata kushinda mke wako wa sasa. Yaani hata akikukosea unamsamehe hata kabla yeye kuomba msamaha. Tegea kesho utasikia kwamba border imefunguliwa. Mnatupenda na hilo linaonekana wazi.
Sasa mbona mnakuja kupiga magoti wakati ninyi ndio mliazuia mahindi yetu bila kutujulisha?, hivi mnajisikiaje kila mara mnapoanzisha chokochoko ambazo mwisho wake mnakuja kupiga magoti?.

Hii ndio ikionyeshe kwamba Tanzania ni muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote, UK ilipiwaweka katika redlist, hamkutuma ujumbe wowote, lakini tulipozuia Magari yenu, mnatuma ujumbe haraka haraka.

Ninarudia tena, Tanzania ni nchi muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote ile.
 
Sasa mbona mnakuja kupiga magoti wakati ninyi ndio mliazuia mahindi yetu bila kutujulisha?, hivi mnajisikiaje kila mara mnapoanzisha chokochoko ambazo mwisho wake mnakuja kupiga magoti?.

Hii ndio ikionyeshe kwamba Tanzania ni muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote, UK ilipiwaweka katika redlist, hamkutuma ujumbe wowote, lakini tulipozuia Magari yenu, mnatuma ujumbe haraka haraka.

Ninarudia tena, Tanzania ni nchi muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote ile.
Sasa unajisifu? Mbona usingoje usifiwe?
 
Ugly truth
Sasa mbona mnakuja kupiga magoti wakati ninyi ndio mliazuia mahindi yetu bila kutujulisha?, hivi mnajisikiaje kila mara mnapoanzisha chokochoko ambazo mwisho wake mnakuja kupiga magoti?.

Hii ndio ikionyeshe kwamba Tanzania ni muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote, UK ilipiwaweka katika redlist, hamkutuma ujumbe wowote, lakini tulipozuia Magari yenu, mnatuma ujumbe haraka haraka.

Ninarudia tena, Tanzania ni nchi muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote ile.
Ugly truth
 
Back
Top Bottom