green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,304
- 35,850
Nanyie bidhaa zenu mkauze somaliaNani amekuambia kwamba sisi hatuwezi kulipiza kisasi? Sisi mwanzoni tulizuia mahindi pekee ila tunaweza kuzuia kila kitu.
Nanyie bidhaa zenu mkauze somaliaNani amekuambia kwamba sisi hatuwezi kulipiza kisasi? Sisi mwanzoni tulizuia mahindi pekee ila tunaweza kuzuia kila kitu.
Ninarudia tena kwamba, ninyi wakenya uwezo wenu wa kuekewa ni mdogo sana, uwezo wenu wa kufanya analysis ni mdogo mno. Hivi wewe unadhani umuhimu wa nchi ni katika volume of trade pekee?.Kwanza ujue ukitoa SA na TZ from SADC basi nchi zingine ni utopolo tu na Kenya haifanyi trade kubwa nazo. For your info Kenya huwa haitrade sana na SADC kupitia land route. Kwa jumla trade kati ya Kenya na SADC huwa inafanyika sana through the ocean. Yaani water transportation is cheaper than land transportation. So it is cheaper for Kenya to export/import goods from SA through the Indian Ocean than through the land bridge from SA to Kenya. Road transportation is very expensive compared to water transportation. The only landlocked countries that we cannot reach by sea are Malawi, Botswana, Zimbabwe and Zambia. Kenya does very little trade with Malawi, Botswana and Zimbabwe. Trade between Kenya and Zambia is also very low. $70 million from Kenya to Zambia and $50 million from Zambia to Kenya. Soma hapa
At the moment the trade between Kenya and Zambia stands $70million worth of exports in Zambia and about $50million exports into Kenya
Kenya, Zambia agree on strong trade relations
NAIROBI, Kenya, Jun 27- Kenya and Zambia have just concluded the Joint Permanent Commission of Cooperation (JPCC) negotiations that will see the two Kenya breaking news | Kenya news today |www.capitalfm.co.ke
So Kenya haihitaji sana SADC ukitoa SA na TZ nchi zingine hazina umuhimu sana kwa Kenya kama unavyodhani wewe. Halafu umuhimu wa market ya TZ umeanza kupungua mlipoanza trade war. Saa hii TZ sio top 5 important export au import market for Kenya. Hio trade war yenu ya kijinga imepunguza umuhimu wenu kwetu. Hampo top 5 kwenye export au import market list.
Tazama top five biggest export markets for Kenya. Na source ni world bank so usilete ubishi.
Kenya top 5 Export and Import partners
Market Trade (US$ Mil) Partner share(%) Uganda 611 10.10 Pakistan 586 9.69 United States 467 7.72 Netherlands 458 7.56 United Kingdom 397
So kama uonavyo hapa juu Tanzania sio muhimu sana kama unavyodhani wewe. Halafu Uganda unamuona yuko nambari moja kwenye export market ya Kenya? Uganda ni muhimu sana kwetu kwa maana ananunua sana processed goods zetu.
Halafu Tanzania sio top 5 import market for Kenya so upunguze majivuno na sifa za kijinga. Nyinyi ni muhimu lakini sio muhimu kama unavyodhani wewe.
Top 5 import markets to Kenya
Exporter Trade (US$ Mil) Partner share(%) China 3,661 21.07 India 1,829 10.53 Saudi Arabia 1,705 9.81 United Arab Emirates 1,455 8.38 Japan 986 5.67
Cc Geza Ulole
I gat to give it to you man.I can't tolerate their low iq comments so sometimes I find myself correcting them but not all the time.
Usitupangie. Tutauza kokote tatakapo.
Wamekuja kupiga magoti baada ya Magari yao kufungiwa, hawa jamaa bila Tanzania hawana maisha.
Inabidi tuwawekee ngumu!Wamekuja kupiga magoti baada ya Magari yao kufungiwa, hawa jamaa bila Tanzania hawana maisha.
Tony254,
Inabidi tuwawekee ngumu!
Hamuwezi kukaa ngumu. Kenya ni kama yule msichana mpenzi wako wa kwanza uliyekuwa ukimpenda hata kushinda mke wako wa sasa. Yaani hata akikukosea unamsamehe hata kabla yeye kuomba msamaha. Tegea kesho utasikia kwamba border imefunguliwa. Mnatupenda na hilo linaonekana wazi.Wamekuja kupiga magoti baada ya Magari yao kufungiwa, hawa jamaa bila Tanzania hawana maisha.
Tony254,
Sasa mbona mnakuja kupiga magoti wakati ninyi ndio mliazuia mahindi yetu bila kutujulisha?, hivi mnajisikiaje kila mara mnapoanzisha chokochoko ambazo mwisho wake mnakuja kupiga magoti?.Hamuwezi kukaa ngumu. Kenya ni kama yule msichana mpenzi wako wa kwanza uliyekuwa ukimpenda hata kushinda mke wako wa sasa. Yaani hata akikukosea unamsamehe hata kabla yeye kuomba msamaha. Tegea kesho utasikia kwamba border imefunguliwa. Mnatupenda na hilo linaonekana wazi.
Sasa unajisifu? Mbona usingoje usifiwe?Sasa mbona mnakuja kupiga magoti wakati ninyi ndio mliazuia mahindi yetu bila kutujulisha?, hivi mnajisikiaje kila mara mnapoanzisha chokochoko ambazo mwisho wake mnakuja kupiga magoti?.
Hii ndio ikionyeshe kwamba Tanzania ni muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote, UK ilipiwaweka katika redlist, hamkutuma ujumbe wowote, lakini tulipozuia Magari yenu, mnatuma ujumbe haraka haraka.
Ninarudia tena, Tanzania ni nchi muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote ile.
And it has happened!Tulikuwa tunasubiri msiba uishe ndo tuliamshe,btw,Ngoja msikie vilio Sasa kutoka huko, alafu Kama kawaida, nyinyi ndo mtakuwa wakwanza kupiga magoti.
Sio kuwa sisi ndio tunalizia vita ya mahindi?Mumeanzisha sisi ndio tutamaliza vita hii.
Umekubali sio trucks ban imewaingia?Sasa unajisifu? Mbona usingoje usifiwe?
Anakiambia kwamba " Umeona jinsi ambavyo maumivu ya kuzuia gari zenu yalivyowapa maumivu?Sijakuelewa.
Sisi hatukuja kuwapigia magoti badala yake tuliamia kuwasambatatisha ili kuonyesha nguvu yetu ukanda huu.Hata nyinyi mlipata maumivu wakati wa ban wa mahindi.
Nani amekuambia kwamba sisi hatuwezi kulipiza kisasi? Sisi mwanzoni tulizuia mahindi pekee ila tunaweza kuzuia kila kitu.
Ugly truthSasa mbona mnakuja kupiga magoti wakati ninyi ndio mliazuia mahindi yetu bila kutujulisha?, hivi mnajisikiaje kila mara mnapoanzisha chokochoko ambazo mwisho wake mnakuja kupiga magoti?.
Hii ndio ikionyeshe kwamba Tanzania ni muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote, UK ilipiwaweka katika redlist, hamkutuma ujumbe wowote, lakini tulipozuia Magari yenu, mnatuma ujumbe haraka haraka.
Ninarudia tena, Tanzania ni nchi muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote ile.