Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Of course amekuwa ni raisi aliyesafiri kwenda ng'ambo mara nyingi kuliko maraisi wote waliomtangulia. Kuvunja hii record itakuwa ngumu kwa raisi ajaye.

Bila ubishi, tumeona ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya zilivyobadilika kuwa ari zaid, nguvu zaidi na kasi zaidi. Hizi mbiu ziliekezwa kwenye nini? Hiki ndicho kinakazia kwa nini hatutapa Raisi Makini kama Mh Dr Prof Kikwete.
 
Wewe nawe lugha ya malikia ndio nini?Lugha si kigezo cha elimu.Elimu hupimwa kwa kigezo cha namna mtu anavyoweza kutatua matatizo katika mazingira yake ya kimaisha kupitia maarifa aliyoyapata shuleni.Huku kusema mpaka uweze kuongea vizuri kiingereza ndio usomi.Huo ni utumwa wa mawazo tunaourithi kutoka kwa wazee wetu ambao walirithishwa na hao wazungu wenye lugha yao.Angalia nchi kama China,Ujerumani,Israel,Ufaransa na nchi nyingine kama Irani katika nchi za kiarabu wanafanya vizuri katika masuala mbalimbali ya kiteknolojia.Huku wakitumia lugha zao tu bila kiingereza katika mitaala yao ya kielimu.
Tuache kujidharau sisi na kuwathamini watu wengine kwa kuthamini kila kitu chao.
Halafu katika suala la elimu kupitia shule za kata.Elimu ipo na watoto wanapata japo si kama tunavyotaka wengi wetu namna inavyotakiwa iwe.Sio kitu cha kushangaa sasa hivi watoto katika mitaa kukuta robo tatu ni wahititimu wa kidato cha nne.Jk kashafanikiwa kujenga kila kata shule na sasa anamalizia na maabara.Je,ni kiongozi gani aliyetawala nchi hii aliyeweza kutengeneza mtandao mpana katika uga wa elimu kiasi hicho.Si Mwinyi,si Mkapa na hata Nyerere aliyeweza hata kujenga darasa mojamoja tu katika kila wilaya.
Acheni unazi nyie,mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Itatuchukua muda mrefu sana kumpata raisi aliyebora kama Jakaya Mrisho Kikwete.

KWELI mkuu upo sawa
 
mkuu ina maana untaka kulinganisha wahitimu wa zamani na sasa? mkuu hata kama unatumika na magamba ona aibu kidogo ,tufanye tathimini toka kata ianze kutoa matokeo ya form four ni asilimia ngapi inayoenda form five na six iwe serekalini au private,kata ni chuo cha kuzalisha madereva bodaboda,wasusi,wapiga miziki,elimu ya kata inakuwezesha kumudu hayo.mkuu mmebuni hadi dv 5 unataka nikutajie mifano,hell no mkuu siwezi
Wewe jamaa bana,sasa wasipozalishwa madereva nani ataendesha haya magari yanazidi kuongezeka?.
nani atasuka watu nywele?,leo nchi zilizoendelea unakuta msusi ana master,leo hapa unashangaa mhitimu wa sekondari kuwa dreva,msusi ama bodaboda?
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Wewe imetumwa na kuwa no kichwa cha panzi. umetimika kirahisi mno.
 
Naam, huo ni ukweli usiopingika.

Yaan kwasababu mmezaliwa juz kat mmeamua kumzka Mwl moja kwa moja... Hawa Watu wana fikra za k Leo Mwl nyerere is the best of all Madisadi Hakuna Kama Mwl till the next time Jesh likishkaa nchi
 
Eeeee Mola wetu tuepushe na hili balaa lisije rudi tena ktk historia ya nchi yetu! Litokomee huko milele! Amin!
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.o

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.
Hapakaziwi hata Mwenyewe anajua yeye Ni dhaifu !
Sakata la kina Muhongo alipaswa kulimaliza baada ya ukaguzi wa CAG ....
 
mi mwenyewe ni adui wa ccm namba moja.. siwapendi sana hasa wizi wao na uhuni..

ila kutoka moyoni nakubali Jakaya kikwete ni rais bora kuliko wote tuliowahi kupata..

hata nchi jirani hazina rais kama kikwete..

Hebu soma ulichoandika hapa!Umekielewa?
Yaani hupendi Chama ambacho kinafanya ufisadi wa kila aina lakini unampenda kiongozi anayekiongoza!!!!

Una akili timamu weye?

JK ni laana!
 
Kwakweli Hakuna Aliyetunukiwa Degree zisizokuwa na tija kama yeye,upo sahihi mleta uzi.
 
Acha ufala huyo ni mtanzania hatakiw kusoma anatakiwa ajionee hayo yaliyopaa,hayo ya kusomwa yasomwe na hao hao IMF na WBANK wasioishi huku kwetu

Hahahahha well said bro....nimekubali hapo, yatupasa tujionee wenyewe watanzania.
 
soma takwimu za IMF au world bank utaona vipi GDP ya Tanzania imepaa kwenye dahari ya JK , elimu ilivyopanuka n.k.

Heeee! Hatuhitaji kuambiwa bali tunahitaji kuona. Acha propaganda wewe.
 
point niliyonote hapa ni kuwa zamani shule za kipindi cha marais kabla ya jk,zilizalisha magenious,sasa ndo nilitaka niwajue hao magenious.
ujue ukiongea kitu uwe na kitu cha kusupport point yako

Kwa hiyo wewe ni kilaza? Maana inaonyesha umesoma wakati wa maraisi hao. Unaposema MTU genious unaangalia vigezo gani?
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

... na pia hatutaki rais wa aina hii kamwe. Tutaendelea kukumbuka ushauri wa mwl Nyerere juu ya huyu kiongozi.
 
Tangu amehudhuria kitchen party yako basi unamsifia kila siku mpaka huku JF.
 
Back
Top Bottom