Alhamdulillah nimeishi awamu zote,, Kikwete alochofanya ni kusahihisha ya awamu zote na kukubali kubebla lawama. Kama kikwete asingefungua democrasia ya kweli mengi tusingeyajua, Kikwete kwa dhati yake ameruhus watu kusema hata kama katika kusema huko kutamgharimu, haya maovu yanayosemwa leo kuhusu Rushwa ni kwa vile JK karuhusu watu kujadili na kusema waziwazi kinachomponza JK ni kutoa kwa uhuru wa kujieleza. Watu sasa wanaweza sema chochote, labda wanetu hawajui hili, Enzi za mwalimu kwa style hii ya kumtusi JK wengi wangekua Lupango wazee wenzangu watakubaliana nami tu ( sisemi kwa ubaya ) Mwinyi nae alipata dhila kama hii, Enzi za Mzee mkapa wasingeweza sema wayasemayo leo, CUF wanakumbuka kule Pemba nini kilitokea, na hapa Dar !!! Enzi za mwalimu hali kwa wananchi ilikua mbaya sana , kulikua hakuna barabara kabisa wa sumbawanga, kigoma, mtwara mashahidi, barabara zilikua Arusha na Kiliumajaro ,, leo waweza toka mtwara mpka kigali bila kukanyaga vumbi.. ni mengi sana siwezi orodhosha sema tu akuchukuiae hata ukimfanyia vipi bado atakuchukukia ,, ila tujiulize wanaomchukia JK hawayaoni haya ?au kuna agenda iliyojificha?