Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Atakuwaje rais wa karne wakati nchi haijafikia hata miaka 60? Anyways, hatutapata rais kama Kikwete kwasababu kamwe hatutachagua kama yeye tena. Never again shall we choose a vision-less and spineless leader. Never.
 
Hujatoa sababu za kumsifia huko, mzuri kwa lipi alilofanya.. Sasa eti ni raisi bora, bila hata artifacts!!
 
Sitomsahau jk nilikuwa sina nyumba sasa ninayo katutoa mbali salary laki 5 sasa mil 4!!!
 
Mtoa mada upo sahihi ila hauweza kuona aliyofanya JK kama utakuwa ni mtu wa kukaa tu home na kusoma magazeti ya udaku
Hapo kabla kutoka dar hadi mwanza ilikuwa siku mbili hadi upitie Uganda sasa ni masaa tu
Kuna viwanda zaidi ya 10 vimejengwa barabara ya kwenda mkuranga haijawahi tokea huko awali
Kuna mabadiliko makubwa sana hebu tutembee tutaona
 
Nabii hakubaliki kwao aidha thamani ya kitu huwezi kukijua mpk ukikose.jk rais wa aina yake anatukanwa anabezwa yupo kimya tu marais km hawa wapo wachahe hasa nchi za kiafrika ss ngoja aje mbabe na mtemi km hamjaozea jela.a
 
Kwa hiyo wewe ni kilaza? Maana inaonyesha umesoma wakati wa maraisi hao. Unaposema MTU genious unaangalia vigezo gani?

we nae umedandia train kwa mbele,anaedai waliosoma shule za jk ni vilaza,mi nikamwambia ataje magenious waliosoma kabla ya shule za jk.sasa wewe tena unaniuliza mimi habari ya mageniuos?
 
Hujatoa sababu za kumsifia huko, mzuri kwa lipi alilofanya.. Sasa eti ni raisi bora, bila hata artifacts!!

hakuna haja ya kuuliza mtu,jipime mwenyewe hali yako kimaisha ilikuaje kabla ya 2005 na sasa
 
Hapakaziwi hata Mwenyewe anajua yeye Ni dhaifu !
Sakata la kina Muhongo alipaswa kulimaliza baada ya ukaguzi wa CAG ....

kwani kalimaliza kabla ya ukaguzi wa CAG?.

wewe utakua product ya mulugo
 
JK mwanamume huyu hatutamsahau,mfano MWALIMU miaka yake 24 Mkoa wa KIGOMA aliwaachia sekondari moja tu,Miaka 2 tu yake JK na LOWASA walimaliza kata zote TANZANIA.JK jembe.

Wakati wa Kambarage sekondari hazikuwa kwa wakazi wa maeneo husika. Watu wa Kigoma walisoma kila kona ya Tanzania. Mbeya, Mtwara, Dar, Iringa nk. Hiyo moja ya Kigoma pia ilikuwa na wanafunzi toka kila pembe ya nchi.
Kambarage alijua kuwa shule si majengo pekee. Ni walimu, vitabu, maabara nk. Wamekuja hawa matapeli wanaongelea kuongezeka kwa shule kwa maana ya madarasa. Naomba ieleweke kwamba sipingi ongezeko la idadi ya shule. Lakini lazima liende na ongezeko la vitabu, walimu, maabara zenye vifaa na madawa husika.
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Kwa lipi jema alilolifanya kwa hili taifa😡😡
 
Ni kweli kabisa haitatokea tena maana aliyeumwa na nyoka akiona ujani unatikisika..........
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Kweli Ni wa karne! Hakuna aliyewahi kutembezea bakuli nje ya nchi kama yeye!
 

Attachments

  • 1422367384784.jpg
    1422367384784.jpg
    89 KB · Views: 135
Kikwete baba wa demokrasia,naungana na wewe,hakuna raisi mwelewa na mvumilivu kama kikwete.
 
Back
Top Bottom