Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Ulitakiwa ufafanue zaidi kivipi? Ni mtendaji mzuri sana mwenye mafanikio au kuna sehemu ameshindwa?
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Some blind prick! Feel sick to the core, guess im gonna puke...!!
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Hana lolote sifa za ukoka ni kweli hatutapa rais yeyote kama Kikwete maana ndo rais wa kwanza kununua urais pili ni useless na bogus president ever ruled our country kutokana na uwezo wake finyu na katawala kwa miaka 10 kila mtanzania hata asiye na sifa za kuongoza anajiona anauwezo wa kuwa Rais sababu Kikwete kaharibu hadhi ya Rais na kufanya kila mtanzania aamini anaweza ni serikali iliyokuwa ya madili hatujapata kuiona tangu tupate Uhuru.

Nyerere aliwahi sema Rais akinunuliwa na wachache wakampeleka ikulu ndo atawatumikia hao wachache na kweli tumeona kwa JK anawatumikia waliomnunua si kutumikia watanzania
 
Hana lolote sifa za ukoka ni kweli hatutapa rais yeyote kama Kikwete maana ndo rais wa kwanza kununua urais pili ni useless na bogus president ever ruled our country kutokana na uwezo wake finyu na katawala kwa miaka 10 kila mtanzania hata asiye na sifa za kuongoza anajiona anauwezo wa kuwa Rais sababu Kikwete kaharibu hadhi ya Rais na kufanya kila mtanzania aamini anaweza ni serikali iliyokuwa ya madili hatujapata kuiona tangu tupate Uhuru.

Nyerere aliwahi sema Rais akinunuliwa na wachache wakampeleka ikulu ndo atawatumikia hao wachache na kweli tumeona kwa JK anawatumikia waliomnunua si kutumikia watanzania

true fact.... n'dai like mkuu
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Kila jini na mubuyu wake.
 
hakuna haja ya kuuliza mtu,jipime mwenyewe hali yako kimaisha ilikuaje kabla ya 2005 na sasa

2005 nilikuwa naingia A-level, nimemaliza Chuo 2011.. Toka nimalize chuo and what so ever utendaji wa mfumo wa Kikwete haujanifanya niimprove, actually kungekuwa na serikani nzuri ningekuwa more steps ahead than I have today!!
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

Alhamdulillah nimeishi awamu zote,, Kikwete alochofanya ni kusahihisha ya awamu zote na kukubali kubebla lawama. Kama kikwete asingefungua democrasia ya kweli mengi tusingeyajua, Kikwete kwa dhati yake ameruhus watu kusema hata kama katika kusema huko kutamgharimu, haya maovu yanayosemwa leo kuhusu Rushwa ni kwa vile JK karuhusu watu kujadili na kusema waziwazi kinachomponza JK ni kutoa kwa uhuru wa kujieleza. Watu sasa wanaweza sema chochote, labda wanetu hawajui hili, Enzi za mwalimu kwa style hii ya kumtusi JK wengi wangekua Lupango wazee wenzangu watakubaliana nami tu ( sisemi kwa ubaya ) Mwinyi nae alipata dhila kama hii, Enzi za Mzee mkapa wasingeweza sema wayasemayo leo, CUF wanakumbuka kule Pemba nini kilitokea, na hapa Dar !!! Enzi za mwalimu hali kwa wananchi ilikua mbaya sana , kulikua hakuna barabara kabisa wa sumbawanga, kigoma, mtwara mashahidi, barabara zilikua Arusha na Kiliumajaro ,, leo waweza toka mtwara mpka kigali bila kukanyaga vumbi.. ni mengi sana siwezi orodhosha sema tu akuchukuiae hata ukimfanyia vipi bado atakuchukukia ,, ila tujiulize wanaomchukia JK hawayaoni haya ?au kuna agenda iliyojificha?
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

toa data! ukilinganisha na wengine ili sasa mwisho uconclude hilo unalosema !! mweee!! Tanzania haitapa mtu kama mimi!! ni kweli! but how?
 
Usiseme Tz.sema wasanii hawatokaa wampate Rais km jk.khsu tz mbona tutapata rais zaid ya jk bila tabu
 
Back
Top Bottom