Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Tanzania haitopata rais kama Kikwete

mwalukuni mchanyato

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
406
Reaction score
233
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.
 
Tupia ka akaunti namba kako hapo; hata riz mwenyewe atakutupia kidogo humo kwa niaba ya bakee. Mnajikomba kwa id fake, mtapata nini??
 
Ni kwa sababu Jakaya Kikwete ni mmoja tu, kwa hiyo huwezi kabisa kumpata kama yeye. Lakini kwa suala la kuongoza vizuri nchi, huwezi sema nchi haiwezi kupata Rais bora kumzidi au wa kiwango chake wakati viongozi bora wanazaliwa kila siku.
Ni aibu kwako muanzisha hii thread kwa kutoa maelezo haya hadharani kwa nchi yenye raia zaidi ya milioni 45 kwa kutopata kiongozi kama yeye. Umechemka sana mkuu.
Ova
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya maraisi wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata raisi kma huyu jk wa pili hapa nchini.
Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni raisi bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.
Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.
Nadhani inafaa tumtambue kama raisi wakarne ktk nch yetu.Jakaya Mrisho Kikwete.

Naam, huo ni ukweli usiopingika.
 
Vigezo gani umetumia mwenzetu? Jee ujinga, maradhi na umasikini kapunguza kwa mtanzania wa kawaida?
 
Ni kwa sababu Jakaya Kikwete ni mmoja tu, kwa hiyo huwezi kabisa kumpata kama yeye. Lakini kwa suala la kuongoza vizuri nchi, huwezi sema nchi haiwezi kupata Rais bora kumzidi au wa kiwango chake wakati viongozi bora wanazaliwa kila siku.
Ni aibu kwako muanzisha hii thread kwa kutoa maelezo haya hadharani kwa nchi yenye raia zaidi ya milioni 45 kwa kutopata kiongozi kama yeye. Umechemka sana mkuu.
Ova

Msome vizuri kaandika "tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia" sasa wewe hayo yako umeyatowa wapi?
 
Ni kweli kabisa. Nadhani Tanzania haitapata tena Rais ambaye mpaka kaingia madarakani hajui kwa nini nchi anayoiongoza ni masikini. Hayo ni maajabu ambayo ni nadra sana kuyapata duniani.
 
Ni kweli kabisa. Nadhani Tanzania haitapata tena Rais ambaye mpaka kaingia madarakani hajui kwa nini nchi anayoiongoza ni masikini. Hayo ni maajabu ambayo ni nadra sana kuyapata duniani.

soma takwimu za IMF au world bank utaona vipi GDP ya Tanzania imepaa kwenye dahari ya JK , elimu ilivyopanuka n.k.
 
...yaaa hatutapata serikali dhaifu kama hii tena maana ukawa ni imara kuongoza nchi...
 
Nadhani inafaa tumtambue kama raisi wakarne ktk nch yetu.Jakaya Mrisho Kikwete.

Subiri hadi karne itimie ndiposa hao wataokuwepo wakati huo ikitimia watabainisha hili...

Lakini hadi hapa tulipo sioni la maana alilofanya hadi kutukuzwa kwa wingi wa maneno uloyaandika...

Alichofanya ni kutimiza baadhi ya wajibu kama kiongozi wa nchi lakini ameshindwa kujenga misingi ambayo waliomtangulia pia walianguka kwa hilo...
 
Msome vizuri kaandika "tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia" sasa wewe hayo yako umeyatowa wapi?

Msome vizuri heading yake kaandika "Tanzania haitopata Rais kama Kikwete" sasa wewe sijui huo ubishi wako umeutoa wapi?
Ova
 
Rais ambaye ni mwizi na aliyeweza kuifanya Ikulu kugeuzwa danguro la mafisadi kugawana mabilioni ya wizi ndani ya Ikulu na ambaye amesababisha Wafadhili kugomea kutoa zaidi ya $1 billion. DHAIFU hadi kushinikizwa na Kinana na Nape awafukuze Mawaziri wabovu mara mbili lakini yeye hili la utendaji mbovu wa hao Mawaziri hakuliona. Janga kubwa la Taifa.

Ni kweli kabisa. Nadhani Tanzania haitapata tena Rais ambaye mpaka kaingia madarakani hajui kwa nini nchi anayoiongoza ni masikini. Hayo ni maajabu ambayo ni nadra sana kuyapata duniani.
 
JK mwanamume huyu hatutamsahau,mfano MWALIMU miaka yake 24 Mkoa wa KIGOMA aliwaachia sekondari moja tu,Miaka 2 tu yake JK na LOWASA walimaliza kata zote TANZANIA.JK jembe.

Hivi unajivunia hizo shule kweli? heri jk wa kwanza aloacha shule moja lakini watu walifaulu lakini sio hizo za kata zinazalisha vilaza .
 
Back
Top Bottom