Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Tanzania haitopata rais kama Kikwete

Hivi unajivunia hizo shule kweli? heri jk wa kwanza aloacha shule moja lakini watu walifaulu lakini sio hizo za kata zinazalisha vilaza .

vilaza kwa vigezo vipi?.
hao ambao walisoma shule zisizolisha vilaza unaweza kututajia?
 
mimi nilichomkubali JK ni kwamba yeye ameridhia na kuelewa kwamba ata wapinzani wanaweza kuiongoza inchi na maisha yakaendelea km kawa, tofauti na mawaziri wake wenye mawazo mtindi ambao wanadhani kuwa wao ndio walizaliwa kuwa viongozi tu,
( shame on U ssm )
 
Subiri hadi karne itimie ndiposa hao wataokuwepo wakati huo ikitimia watabainisha hili...

Lakini hadi hapa tulipo sioni la maana alilofanya hadi kutukuzwa kwa wingi wa maneno uloyaandika...

Alichofanya ni kutimiza baadhi ya wajibu kama kiongozi wa nchi lakini ameshindwa kujenga misingi ambayo waliomtangulia pia walianguka kwa hilo...

sasa kumbe unakubali katimiza wajibu,kwani ulitaka akufanyie kipi zaidi au akubebe mgongoni?
 
vilaza kwa vigezo vipi?.
hao ambao walisoma shule zisizolisha vilaza unaweza kututajia?

mkuu 90% watoto wanaomaliza shule ya kata hawajielewi.Nimekutana na wengi tu ambao huwa nawatafutia nafas za kuokoteza 200-300 kwa mwezi linapofika swala la lugha ya malikia wengi uzikataa nafasi hizo za kazi kwahiyo mkuu nafahamu shule ya kata inazalisha watu gani.
 
mkuu 90% watoto wanaomaliza shule ya kata hawajielewi.Nimekutana na wengi tu ambao huwa nawatafutia nafas za kuokoteza 200-300 kwa mwezi linapofika swala la lugha ya malikia wengi uzikataa nafasi hizo za kazi kwahiyo mkuu nafahamu shule ya kata inazalisha watu gani.

point niliyonote hapa ni kuwa zamani shule za kipindi cha marais kabla ya jk,zilizalisha magenious,sasa ndo nilitaka niwajue hao magenious.
ujue ukiongea kitu uwe na kitu cha kusupport point yako
 
asilimia 90 ya wafuasi wa ukawa ni wamesoma kipindi cha jk,sijui nao ndo hawa vilaza tunaoambiwa hapa
 
Rais galasa kabisa.Hafai hata kuwa mkuu wa mkoa.rushwa, uoga,ukatili na uongozi mbovu.
 
ila kweli inawezekana hiki kizazi ni cha vilaza kweli,mtu hawezi hata kuweka arguments za maana kutetea point zake.
lakini tatizo ni la wazazi wenyewe,kuzaa matoto yasio na akili labda
 
Bywatu8:
Subiri hadi karne itimie ndiposa hao wataokuwepo wakati huo ikitimia watabainisha hili...

__sioni logic ya ulichosema hapa.kwanini tusubiri karne nzima,what is the logic here?
 
by watu8 -Lakini hadi hapa tulipo sioni la maana alilofanya hadi kutukuzwa kwa wingi wa maneno uloyaandika...

-kwani wewe kwako la maana ni lipi,liseme.
 
Nchi yetu Tanzania timeshuhudia vipindi vya marais wengi.Ila kwa uelewa na ufuatiliaji wangu,tunaweza kukaa muda mrefu sana tusipoangalia katika kupata rais kama huyu JK wa pili hapa nchini.

Japo anabezwa,anakashifiwa na kuitwa dhaifu lakini ukweli utabaki palepale Kikwete ni rais bora kuliko wote tuliopata kuwashuhudia.

Siku atakayokaa pembeni tutamkumbuka.

Nadhani inafaa tumtambue kama rais wa karne ktk nch yetu.

I support u
 
by watu8
Alichofanya ni kutimiza baadhi ya wajibu kama kiongozi wa nchi lakini ameshindwa kujenga misingi ambayo waliomtangulia pia walianguka kwa hilo...

-kwanza unasema huoni alichofanya,halafu unageuka tena kudai katimiza wajibu,which is which?
hiyo misingi ambayo hajaweka ni ipi hiyo na ilishawekwa nchi ipi labda utupe mfano
 
Bywatu8:
Subiri hadi karne itimie ndiposa hao wataokuwepo wakati huo ikitimia watabainisha hili...

__sioni logic ya ulichosema hapa.kwanini tusubiri karne nzima,what is the logic here?

Mleta mada kamkweza JK na kumuita ni rais wa karne kwa nchi yetu...

Jumla ya miaka 100 hutimiza karne, hadi sasa umri wa nchi yetu ni nusu ya miaka hiyo...

Mbele yetu tuna nafasi ya kupata marais watano au zaidi...

Sasa kutokana na utangulizi huo, je wawezaje kuweka bayana kuwa JK ni rais wa karne wa JMT ilihali ndio kwanza tungali nusu ya safari hata kufanya ukamilifu wa karne?
 
Back
Top Bottom