Tanzania haijaolewa EAC - Samwel Sitta

Tanzania haijaolewa EAC - Samwel Sitta

Izack Mwanahapa

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
497
Reaction score
236
Bungeni leo kwenye kipindi cha maswali na majibu akijubu swali la Mbunge John Komba kuhusu EAC Waziri wa wizara ya Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema hakubaliani na kauli ya kusema Tanzania inasubiri talaka kutoka Nchi za Afrika mashariki zinazoonekana kuizunguka EAC.

Waziri Samwel Sitta amesema Tanzania inaeneo la 52% katika eac na nchi zinazobaki zina 48% hivyo akasema katika EAC Tanzania ni muoaji kama litatokea jambo baya Tanzania ndio itatoa Talaka.
 
Dodoma. Wabunge wa bunge la tanzania wamedai kuwa tanzania imepewa talaka ndani ya jumuiya ya EAC, kutokana na kitendo cha kenya, rwanda na uganda kuamua kujiunga wenyewe na kutengeneza shirikisho lao bila kushirikisha tz & burundi.. Kitendo cha nchi izo kuanzisha system ya kusafiri bila pasport na kuamua kutumia bandari ya mombasa tu, ndivyo vilivyokasirisha wabunge wa tanzania.
 
Jana nilimsikia Museveni akiongea kwa tahadhari kubwa kuwa Tanzania haijatengwa bali kwa sasa wanashughulikia Northern Corridor yaani Mombasa - Kampala - Kigali! Baadaye watashughulikia Southern Corridor yaani Dar - Tabora-Kigoma - Mwanza!

Kwa kifupi Museveni, Kenyatta na Kagame wanaelewa umuhimu wa Tanzania katika EAC lakini wanachofanya ni kutoa msukumo kwa Tanzania ili iharakishe kutafakari hoja zao!

Bila Tanzania hakuna EAC!
 
Jana nilimsikia Museveni akiongea kwa tahadhari kubwa kuwa Tanzania haijatengwa bali kwa sasa wanashughulikia Northern Corridor yaani Mombasa - Kampala - Kigali! Baadaye watashughulikia Southern Corridor yaani Dar - Tabora-Kigoma - Mwanza!

Kwa kifupi Museveni, Kenyatta na Kagame wanaelewa umuhimu wa Tanzania katika EAC lakini wanachofanya ni kutoa msukumo kwa Tanzania ili iharakishe kutafakari hoja zao!

Bila Tanzania hakuna EAC!

Museven alijibu maswali ya waandishi kihuni kweli.Ila hili game la majitaka analiweza kweli kweli
 
"CCM ni kokolo...humu ccm kuna mataahira, makopo, wahuni, etc" capt. John Komba (Mb-Mbinga magharibi) sasa tukiwa na eneo kubwa kiasi hicho what are we earning from it? ukilinganisha na hao wadogo 48%
 
ni kawaida tanzania Kauli za mawaziri kupishana utadhani hakuna vikao vya baraza la mawaziri.lazima aseme ipo ili aendelee kuwa waziri
 
Ha ha ha ha ha ha nimeipenda hii Tanzania kwasababu ina eneo 52% huku nchi nyingine zikibakiwa na 48%.Hapa Tanzania ni muoaji kwakigezo cha eneo ngoja wala urojo wakusikie.
 
Mimi nitaendelea kuwa na msimamo kuwa, surely we don't need EAC in the prevailing situation (having Kagame and Museveni with their ideology of creating Bahima Empire). These two are violent tyrants, war mongers, ready to shed innocent blood to have their goals attained. Muungano ni kitu kizuri sana, lakini sio kuungana na watu wenye nia mbaya kama hao wawili!.. Ni watu ambao hawana nia njema na Tanzania, na hata huo muungano wa EAC hawana nia njema nao kwani wana agenda zao za siri!... Tuwe makini sana na hawa watu watutsi (nisieleweke kuwa ni mbaguzi au nina chuki na watutsi, la hasha, ila tabia zao ovu ndio ninazozichukia)...
 
hiyo jumuiya yenyewe hatuna shida nayo hata chembe wakitaka wasepe tu.
 
"CCM ni kokolo...humu ccm kuna mataahira, makopo, wahuni, etc" capt. John Komba (Mb-Mbinga magharibi) sasa tukiwa na eneo kubwa kiasi hicho what are we earning from it? ukilinganisha na hao wadogo 48%

kumnukuu KOMBA,ni kujidhalilisha
 
Back
Top Bottom