maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,536
- 1,360
Jana nilimsikia Museveni akiongea kwa tahadhari kubwa kuwa Tanzania haijatengwa bali kwa sasa wanashughulikia Northern Corridor yaani Mombasa - Kampala - Kigali! Baadaye watashughulikia Southern Corridor yaani Dar - Tabora-Kigoma - Mwanza!
Kwa kifupi Museveni, Kenyatta na Kagame wanaelewa umuhimu wa Tanzania katika EAC lakini wanachofanya ni kutoa msukumo kwa Tanzania ili iharakishe kutafakari hoja zao!
Bila Tanzania hakuna EAC!
museveni ni muongo, kwanini hawakumuita JK kwenye mkutano wa kudiscuss hiyo north coridor??