Tanroads! Barabara zenu Dar es Salaam ni mbovu kupindukia. Tuambieni sisi wananchi mna mipango gani na sisi?

Kwaasenga

Member
Jan 28, 2023
73
102
Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
 
Pesa zinatoka dar kujenga mji mkuu Ddma sasa dodoma kwanza miradi alianzisha Magufuli Kibamba mtasoma namba
 
Kuna barabara ziko chini ya tan road
Na tarura
Hawa tarura ndiyo ovyo kabisa

Ova
 
Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Hata ile ya kuelekea makabe mpaka msakuzi ovyo kabisa,
Na mvua hizi hali itakuwa mbaya zaidi

Ova
 
Hata ile ya kuelekea makabe mpaka msakuzi ovyo kabisa,
Na mvua hizi hali itakuwa mbaya zaidi

Ova
Kumbe huko haijawa mbaya zaidi? Ebu pita hii ya mbezi high ndo utajua barabara mbaya zaidi zinavyofanana. Hii ni hatari mnooo.
 
Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
tusiwe tunalaumu tu tujufunze kushukuru pia
 
Huku kimara ni kama hakuna serikali..

Mi huwa nawaza kama hapa tu mjini wameshindwa mambo yako hivi,kuweka miundo mbinu bora nchi nzima itachukua miaka 1000 chini ya hawa maccm.
 
Huku kimara ni kama hakuna serikali..

Mi huwa nawaza kama hapa tu mjini wameshindwa mambo yako hivi,kuweka miundo mbinu bora nchi nzima itachukua miaka 1000 chini ya hawa maccm.
Njooo ukonga uone Palivyo. Banana - kitunda_ kivule_ msongola mama YANGU. KUTUNDA _ kibeberu_ magole. Maweeeeee.BANANA HADI PUGU ( BARABARA YA NGOMBE AU ZAMBIA) , MY GOD
 
Mimi nikajuaga Daresalama nzima ni lami hadi vibarazani, kumbe kuna sehemu ni kama huku vijijini ambapo tangu kuumbwa kwa nchi hatujawahi kujua lami ni nini
 
Ni kweli kabisa barabara ya Mpiji Magoe ni mbovu zaidi,kutoka Mbezi stand ya daladala mpaka mwisho wa gari (Kwa kengega) umbali wa kama 11KM gari linatumia lisaa lizima kufika. Kwa ubovu huo magari nayo yameharibika karibu yote,usafiri umekuwa wa tabu hasa asubuhi na jioni. Watu wanapata shida sana hasa wanafunzi.
 
Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Mumeambiwa iwekwe 💯 kwenye mafuta mjengwe Barabara za Dar hamtaki,komaeni hivyo hivyo na Jiji lenu la uswazi lenye msongamano.

Na hizi mvua mtaisoma namba.
 
Back
Top Bottom