A
Anonymous
Guest
Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Pwani, napatikana Kijiji kinaitwa Mipeko ambacho kipo Wilayani Mkuranga karibu na Mbande ya Mbagala ya Dar es Salaam, hali yetu ya usalama wa Barabara ni mbaya.
Barabara za kwetu ni mbovu sana, Wananchi tunapata shida sana, kuna kipindi tulichanga hela lakini Viongozi wa Kijiji wakala hela na barabara bado haikujengwa.
Tunaomba Msaada katika hili ili watu wasiendelee kufa na kupata shida, maana mpaka sasa Wamama Wajawazito wana jifungulia njiani kwa ubovu wa njia.
Barabara za kwetu ni mbovu sana, Wananchi tunapata shida sana, kuna kipindi tulichanga hela lakini Viongozi wa Kijiji wakala hela na barabara bado haikujengwa.
Tunaomba Msaada katika hili ili watu wasiendelee kufa na kupata shida, maana mpaka sasa Wamama Wajawazito wana jifungulia njiani kwa ubovu wa njia.