Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Any update za kikao hiki? kinafanyika wapi na saa ngapi?
Naona kwa waandishi wa habari huu ni msimu wa neema, vijibahasha kila kona kama wabunge wa bunge letu tukufu. Wakitoka kuchukua kwa RA, hao wanaenda kwa manji kisha kwa Somaiya afu baadae kwa ndg zao wa vodacom tz ltd. I think huu msimu ni bonge la stimulus package kwa waandishi wa tz ambao wengi wanalack professionalism kwa sababu wanaendekeza njaa!
Hivi wadau hata Saed Kubenea nae anasaini bahasha za nauli kwenye vi press konference hivi??
Naona nao Channel 10 wameshaingia kwenye siasa za ITV, wao wanaonyesha habari zinazomfavour RA na supporters wake e.g. habari za Rostam mwenyewe, lipumba (CUF), Sophia Simba n.k wakati ITV wanaonyesha za Mengi na supporters wake kama Chadema, Selelii mzee wa upako (mch. Lusekelona wengineo.
Angalizo: WanaJF tusije tukaingia/tukaingizwa kwenye makundi haya yasiyo na tija, baada ya Tanzania's TV stations, Radios and newspapers ku lack objectivity (highly biased), JF ioneshe tufauti.
Siku hizi Tanzania ili uweze kupata habari fulani angalau kwa undani wake inabidi usome magazeti zaidi ya 25 na utaimu habari za TV na Radio stations zote, tofauti na hivyo unatoka na picha ndivyo sivyo - sivyo ndivyo!
Naona kwa waandishi wa habari huu ni msimu wa neema, vijibahasha kila kona kama wabunge wa bunge letu tukufu. Wakitoka kuchukua kwa RA, hao wanaenda kwa manji kisha kwa Somaiya afu baadae kwa ndg zao wa vodacom tz ltd. I think huu msimu ni bonge la stimulus package kwa waandishi wa tz ambao wengi wanalack professionalism kwa sababu wanaendekeza njaa!
Hivi wadau hata Saed Kubenea nae anasaini bahasha za nauli kwenye vi press konference hivi??
Naona nao Channel 10 wameshaingia kwenye siasa za ITV, wao wanaonyesha habari zinazomfavour RA na supporters wake e.g. habari za Rostam mwenyewe, lipumba (CUF), Sophia Simba n.k wakati ITV wanaonyesha za Mengi na supporters wake kama Chadema, Selelii mzee wa upako (mch. Lusekelona wengineo.
Angalizo: WanaJF tusije tukaingia/tukaingizwa kwenye makundi haya yasiyo na tija, baada ya Tanzania's TV stations, Radios and newspapers ku lack objectivity (highly biased), JF ioneshe tufauti.
Siku hizi Tanzania ili uweze kupata habari fulani angalau kwa undani wake inabidi usome magazeti zaidi ya 25 na utaimu habari za TV na Radio stations zote, tofauti na hivyo unatoka na picha ndivyo sivyo - sivyo ndivyo!